hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
mang"ombe utayajua tu. Ndugai ni mtu mtulivu mvumilivu na mwenye busara sana. hakuna mtu smart kama Ndugai
Ni mtu wake kivipi?
What were they battling for !!??
What were they battling for !!??
Una maana gani?Ina maana haukuona nguvu ya Magufuli kwenye Kumweka Dr. Tulia Ackson?
Tulia Ackson ndiye Naibu Spika. Wewe unaandika nini?Ina maana haukuona nguvu kwenye Kumweka Dr. Tulia Ackson?
Mbona Ngugai ni team Lowassa? Lowassa kamweka mtu wake unachezea pesa wewe?
Yametimia. Nasubiri kwa shauku kubwa kusikia Tulia Akson akitangazwa kuwa Naibu Spika
hakuna kitu huyo kazi yake ni kuchanganyikiwa ataona safari hiikilichomnyoa kanga, yaani akitaka afuate haki na sheria asijaribu kupindisha, chochoteUKAWA mpooooo hesabuni maumivu!
Mbona Ngugai ni team Lowassa? Lowassa kamweka mtu wake unachezea pesa wewe?
Ni mtu wake kivipi?
Acha umbayuwayu wewe alokudanganya Ndugai ni team Lowassa nani, ?? peleka akili ya Bavicha huko
Kwani Zungu amekatwa kama alivyokatwa Sitta?Yametimia. Nasubiri kwa shauku kubwa kusikia Tulia Akson akitangazwa kuwa Naibu Spika