Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,692
- 26,584
Majina ya ambao tayari wametangaza kuachia ngazi na majimbo yao
1. Mustafa Mkulloo - morogoro-------- Makubaliano maalum na Malisa kama sikosei.
2. Bernad Membe- Mtama------------------ Urais
3. Zito Zuberi Kabwe- Kigoma kaskazini------ Urais (Msitilie manani sana huyu, hata aliwahi kuahidi kuwa 2010 hata gombea na badala yake atajikita na kujiandaa kwenda kufundisha lakini haikuwa hivyo)
4. Anna Makinda--- -Songea(Siyo Songea ni Njombe)------ Anastaafu na Kumuachia Mwanyika wa Barrick
5.Mizengo Pinda --Mpanda-------------------------------- Anakwenda kutumikia nafasi yake mpya ya Ufalme wa Nyuki.
6. Samweli Sita -----Urambo Mashariki--------------------- Urais
7. P. Ndesamburo -----Moshi Mjini------------------------- Anastaafu
8. Shukuru Kawambwa ------------------------------- Anampisha Ritz namba wani.
9. Harrison Mwakyembe----------------- Itategemea na upepo wa Mgombea nafasi ya Urais chamani mwao unavyokwenda, au namna atakavyoshauriwa.
10. Mark Mwandosya --------------------------------------- Sababu za Kiafya
11.
12.
Nitaendelea ku-Update list na kuiweka live mpaka 2015. Stay on your words.
1. Mustafa Mkulloo - morogoro-------- Makubaliano maalum na Malisa kama sikosei.
2. Bernad Membe- Mtama------------------ Urais
3. Zito Zuberi Kabwe- Kigoma kaskazini------ Urais (Msitilie manani sana huyu, hata aliwahi kuahidi kuwa 2010 hata gombea na badala yake atajikita na kujiandaa kwenda kufundisha lakini haikuwa hivyo)
4. Anna Makinda--- -Songea(Siyo Songea ni Njombe)------ Anastaafu na Kumuachia Mwanyika wa Barrick
5.Mizengo Pinda --Mpanda-------------------------------- Anakwenda kutumikia nafasi yake mpya ya Ufalme wa Nyuki.
6. Samweli Sita -----Urambo Mashariki--------------------- Urais
7. P. Ndesamburo -----Moshi Mjini------------------------- Anastaafu
8. Shukuru Kawambwa ------------------------------- Anampisha Ritz namba wani.
9. Harrison Mwakyembe----------------- Itategemea na upepo wa Mgombea nafasi ya Urais chamani mwao unavyokwenda, au namna atakavyoshauriwa.
10. Mark Mwandosya --------------------------------------- Sababu za Kiafya