Wabunge ambao wamesema wanastaafu 2015

Wabunge ambao wamesema wanastaafu 2015

Shibuda, prof. Kulikoyela kahigi,sylvestor machemli, na selasini
 
Prof Msola,Lusinde Bwana Mitusi,Airo,Nyangwine,Hawa Ghasia,Yule wa Shinyanga Mjini (Kura 1),Makongoro Mahanga,Nundu Pale Tanga Mjini,hao woote ongeza na wa kwako!
 
Mkuu na maponeo ya ma bosi aka viti maalumu wasiwepo kabisa mjengoni 2015 bila kujali wa Chama gani



Wabunge kadhaa tayari wametangaza kustaafu au kuacha kugombea nafasi za Ubunge mwaka 2015. Kila mmoja akiwa na sababu tofauti ila wengi inaonekana ni kiwewe cha kushindwa baada ya kugundua kuwa wameshindwa kuwasaidia wapiga kura wao. Wengine ni uzee, au kujipanga na kugombea Urais kwani katiba ya sasa hairusu kugombea vyote kwa wakati mmoja, na wengine ni kuzongwa na kashfa na ufisadi. Wengine wameamua kubadilisha career nk. Kila sababu walau inaonyesha swala la kung'ang'ania ubunge linaanza kupungua kadiri miaka inavyokwenda. Wananchi ongezeni kasi ya kudai haki zenu na kuwawajibisha wabunge na serikali ili kasi ya mendeleo ipatikane na wavivu na walaghai wale kona.

Majina ya ambao tayari wametangaza kuachia ngazi na majimbo yao

1. Mustafa Mkulo -
2. Bernad Membe- Mtama
3. Zitto Zuberi Kabwe- Kigoma kaskazini
4. Anna Makinda--- Njombe
5.Mizengo Pinda --Mpanda
6. Samweli Sita -----Urambo Mashariki
7. P. Ndesamburo -----Moshi Mjini
8.
9.
10.
11.
12.

Majina ya ambao hawafai kurudi Bungeni 2015 kwa uzembe/uvivu/tuhuma/mzigo kwa taifa/hawana mchango/hawana sifa wala
uwezo na ufisadi

1. John Komba
2. Karamagi
3.Maji marefu
4.Sofia Simba
5. Ngeleja
6.E Lowassa
7. David Mathayo
8.Cyril Chami
9. Anna Kilango Maleccela
10.Shukuru Kawambwa
11.Andrew Chenge
12.
13.
14.
15.

Nitaendelea ku-Update list na kuiweka live mpaka 2015. Stay on your words.
 
Ni mpaka pale tutakapo amua kutumia akili kuliko ushabiki, hatujui tunachokitafuta hivyo tunapoteza muda bila kujuwa.

Hao wote mnao wa list hapa kuwa hawafai nina uhakika asilimia 100 wakigombea kwa ticket ya CDM watakuwa malaika, ni ajabu sana aina ya ushabiki tulio nao. Sijui kama Mbowe au Dr. Slaa akigombea Urais kwa ticket ya CCM kama ataeleweka kwa wajinga walio wengi.
 
Mkuu Ben nalijua hilo kwamba ni mfalme wa nyuki kwa maana ya kuhamasisha ufugaji wa nyuki na siyo kwamba ni mfalme wa nyuki yaani nyuki mkubwa! Ndio maana nikasema ufugaji nyuki ni sehemu ya mkakati wa kilimo kwanza kwa hiyo ameanzia ufalme wa nyuki, kesho wa mahindi, keshokutwa wa ufugaji samaki, nk, nk hadi atakuwa mfalme wa kilimo kwanza. Anaenda incrementally !!!

Mkuu Kimbunga,

Kwani mimi nilimaanisha nini zaidi ya hilo,ha ha ha!
 
WABUNGE WENGI WA MAGAMBA HASA WAJANJA WASHASOMA ALAMA ZA NYAKATI WENGI KUEPUKA AIBU WATAACHIA NGAZI CHEZEA M4C NA LEMA WEWE. Magamba yanababuka ka nini.
LEMA kafanya nini wewe mbona mnamtukuza sana chama hakiendeshi kama duka nyie eboo
 
David mwakyusa, Dhambi(Mbozi mash), Philip mulugo, victor mwambalaswa, nao pia watafute carrier nyingne siasa wanabaka.
 
Never TRUST POLITICIAN!!!!

Utasikia, nimeombwa na wazee niendelee................bla bla bla
 
Wengi baadaye utawasikia "wapiga kura wangu wameniomba nigombee"!
 
Hata Livinstone Lusinde (Bwana Matusi) angefikiria kung'atuka kachafua sana mdomo wake kiasi hata wito wake wa kutaka wabunge wapimwe akili ni wazi alikuwa anaomba kupimwa yeye! Wachapa usingizi nao wangepumzika, lakini balaa nasikia mmojawapo anautaka urais!
 
Zitto Kabwe, Membe, Samweli Sitta, Lowasa...." wana sababu zao binafsi kwa kutaka kugombea Urais"
 
Wabunge kadhaa tayari wametangaza kustaafu au kuacha kugombea nafasi za Ubunge mwaka 2015. Kila mmoja akiwa na sababu tofauti ila wengi inaonekana ni kiwewe cha kushindwa baada ya kugundua kuwa wameshindwa kuwasaidia wapiga kura wao. Wengine ni uzee, au kujipanga na kugombea Urais kwani katiba ya sasa hairusu kugombea vyote kwa wakati mmoja, na wengine ni kuzongwa na kashfa na ufisadi. Wengine wameamua kubadilisha career nk. Kila sababu walau inaonyesha swala la kung'ang'ania ubunge linaanza kupungua kadiri miaka inavyokwenda. Wananchi ongezeni kasi ya kudai haki zenu na kuwawajibisha wabunge na serikali ili kasi ya mendeleo ipatikane na wavivu na walaghai wale kona.

Majina ya ambao tayari wametangaza kuachia ngazi na majimbo yao

1. Mustafa Mkulo -
2. Bernad Membe- Mtama
3. Zitto Zuberi Kabwe- Kigoma kaskazini
4. Anna Makinda--- Njombe
5.Mizengo Pinda --Mpanda
6. Samweli Sita -----Urambo Mashariki
7. P. Ndesamburo -----Moshi Mjini
8.
9.
10.
11.
12.

Majina ya ambao hawafai kurudi Bungeni 2015 kwa uzembe/uvivu/tuhuma/mzigo kwa taifa/hawana mchango/hawana sifa wala
uwezo na ufisadi

1. John Komba
2. Karamagi
3.Maji marefu
4.Sofia Simba
5. Ngeleja
6.E Lowassa
7. David Mathayo
8.Cyril Chami
9. Anna Kilango Maleccela
10.Shukuru Kawambwa
11.Andrew Chenge
12.
13.
14.
15.

Nitaendelea ku-Update list na kuiweka live mpaka 2015. Stay on your words.
Ongeza na Masele wa jimbo la Mbogwe -Geita
 
Back
Top Bottom