Wabunge ambao wamesema wanastaafu 2015

Wabunge ambao wamesema wanastaafu 2015

Mkwawa

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
1,334
Reaction score
1,466
Wabunge kadhaa tayari wametangaza kustaafu au kuacha kugombea nafasi za Ubunge mwaka 2015. Kila mmoja akiwa na sababu tofauti ila wengi inaonekana ni kiwewe cha kushindwa baada ya kugundua kuwa wameshindwa kuwasaidia wapiga kura wao. Wengine ni uzee, au kujipanga na kugombea Urais kwani katiba ya sasa hairusu kugombea vyote kwa wakati mmoja, na wengine ni kuzongwa na kashfa na ufisadi. Wengine wameamua kubadilisha career nk. Kila sababu walau inaonyesha swala la kung'ang'ania ubunge linaanza kupungua kadiri miaka inavyokwenda. Wananchi ongezeni kasi ya kudai haki zenu na kuwawajibisha wabunge na serikali ili kasi ya mendeleo ipatikane na wavivu na walaghai wale kona.

Majina ya ambao tayari wametangaza kuachia ngazi na majimbo yao

1. Mustafa Mkulo -
2. Bernad Membe- Mtama
3. Zitto Zuberi Kabwe- Kigoma kaskazini
4. Anna Makinda--- Njombe
5.Mizengo Pinda --Mpanda
6. Samweli Sita -----Urambo Mashariki
7. P. Ndesamburo -----Moshi Mjini
8.
9.
10.
11.
12.

Majina ya ambao hawafai kurudi Bungeni 2015 kwa uzembe/uvivu/tuhuma/mzigo kwa taifa/hawana mchango/hawana sifa wala
uwezo na ufisadi

1. John Komba
2. Karamagi
3.Maji marefu
4.Sofia Simba
5. Ngeleja
6.E Lowassa
7. David Mathayo
8.Cyril Chami
9. Anna Kilango Maleccela
10.Shukuru Kawambwa
11.Andrew Chenge
12.
13.
14.
15.

Nitaendelea ku-Update list na kuiweka live mpaka 2015. Stay on your words.
 
Huko wilaya ya mwanga prof maghembe ameanza kuomba kura za 2015 ukisoma gezeti la mwananchi la leo pg ya tisa utasoma vituko vyake eti viongozi wa ccm wanahujumu miradi
 
kisa asichaguliwe kipindi kingine cha nne Naomba mumpe ushauri wa bure
 
Yule Mbunge wa CDM kule Mpanda aliwahi kutamka ndo mara yake ya mwisho, vipi kafanya U-Turn?
 
Hivi Andrew Chenge bado kakomaa, hatoi tamko!
 
WABUNGE WENGI WA MAGAMBA HASA WAJANJA WASHASOMA ALAMA ZA NYAKATI WENGI KUEPUKA AIBU WATAACHIA NGAZI CHEZEA M4C NA LEMA WEWE. Magamba yanababuka ka nini.
 
Dr Mwakyembe-Kyela!Linasubiriwa tamko tu wana Kyela tuingie mitaani kushangilia ushindi wetu wa kuondoka kwa Mbunge aliyeitwala Kyela kwa "mkono wa chuma"!!(Take my word seriously and if possible put it in your bank account)
 
Wengine ni kwa sababu ya kutaka madaraka makubwa (zitto), wengine ni kuogopa nguvu ya umma.
6. Nasikia hata Dewji hatagombea. Lakini hata akigombea atajuta kwanini amegombea
 
Nafikiri kuna wengine wanatakiwa kupumzishwa kwani hawana msaada wowote kwa wananchi na bunge. Kwa mfano Komba
 
SAMWEL SITTA-URAMBO MASHARIKI alishatangaza hagombei tena,

najiandaa mzee wa ussoke kwenda kulichukua jimbo.....PEOPLEEEEEEEEES
 
...


Nitaendelea ku-Update list na kuiweka live mpaka 2015. Stay on your words.

Mkuu hiyo statement imenitisha kama kuzimu! Wajanja huwa wanatanguliza: KWA MAPENZI YA MOLA.
 
Magamba ndo walivyo, wanatangaza hatagombea huku wanaumia roho. Si mnakumbuka kituko alichofanya Msekwa kwenye Uspika 2005.
 
IVI URAI DRs la pili uliftwa. Makinda amehamishiwa ln songea. Umemsahau Shibuda na Mbowe.
 
Back
Top Bottom