Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 640
Hivi ni kweli kuwa wabunge wote wa upinzani wanafaa kurudi bungeni 2015?can you be fair to say that?
Hivi ni kweli kuwa wabunge wote wa upinzani wanafaa kurudi bungeni 2015?can you be fair to say that?
Wengine ni kwa sababu ya kutaka madaraka makubwa (zitto), wengine ni kuogopa nguvu ya umma.
6. Nasikia hata Dewji hatagombea. Lakini hata akigombea atajuta kwanini amegombea
5:Mfalme wa Nyuki....!(PM)
Usimsahau na Tyson ingawa na yeye eti ana ndoto za kuwania urais wa Tz
Mkuu Ben Saanane ufugaji nyuki ni sehemu ya mkakati wa kilimo kwanza! Basi amekuwa mfalme wa nyuki, kesho mfalme wa mahindi hadi mwisho kabisa mfalme wa kilimo kwanza!
Mkuu Kimbunga,
Pinda anajulikana kama Mfalme wa Nyuki huko Katavi.Alitawazwa Rasmi katika hafla ya kuuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013.Alinyijakulia Tuzo ya kuwa Mfalme hodari wa Nyuki....Tuheshimu Tuzo za watu.Soma hapa
MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Pinda apewa tuzo ya Mkoa wa Katavi *Atangazwa rasmi kuwa Mfalme wa Nyuki
professor maghembe anafuatia hapo vinginevyo magwanda wanachukua kwa ulainiWabunge kadhaa tayari wametangaza kustaafu au kuacha kugombea nafasi za Ubunge mwaka 2015. Kila mmoja akiwa na sababu tofauti ila wengi inaonekana ni kiwewe cha kushindwa baada ya kugundua kuwa wameshindwa kuwasaidia wapiga kura wao. Wengine ni uzee, au kujipanga na kugombea Urais kwani katiba ya sasa hairusu kugombea vyote kwa wakati mmoja, na wengine ni kuzongwa na kashfa na ufisadi. Wengine wameamua kubadilisha career nk. Kila sababu walau inaonyesha swala la kung'ang'ania ubunge linaanza kupungua kadiri miaka inavyokwenda. Wananchi ongezeni kasi ya kudai haki zenu na kuwawajibisha wabunge na serikali ili kasi ya mendeleo ipatikane na wavivu na walaghai wale kona.
Majina ya ambao tayari wametangaza kuachia ngazi na majimbo yao
1. Mustafa Mkulo -
2. Bernad Membe- Mtama
3. Zitto Zuberi Kabwe- Kigoma kaskazini
4. Anna Makinda--- Njombe
5.Mizengo Pinda --Mpanda
6. Samweli Sita -----Urambo Mashariki
7. P. Ndesamburo -----Moshi Mjini
8.
9.
10.
11.
12.
Majina ya ambao hawafai kurudi Bungeni 2015 kwa uzembe/uvivu/tuhuma/mzigo kwa taifa/hawana mchango/hawana sifa wala
uwezo na ufisadi
1. John Komba
2. Karamagi
3.Maji marefu
4.Sofia Simba
5. Ngeleja
6.E Lowassa
7. David Mathayo
8.Cyril Chami
9. Anna Kilango Maleccela
10.Shukuru Kawambwa
11.Andrew Chenge
12.
13.
14.
15.
Nitaendelea ku-Update list na kuiweka live mpaka 2015. Stay on your words.
Magamba ndo walivyo, wanatangaza hatagombea huku wanaumia roho. Si mnakumbuka kituko alichofanya Msekwa kwenye Uspika 2005.
Kuna haja ifanyike critical analysis kutambua ni mbunge gani tunamhitaji arud na nani hatumuhitaji, Mimi naona kuna wabunge wengi ambao majimbo yao wengi wetu hatuyajui kabisa hasa huko pembezon mwa nchi,basically, utakuta wabunge hao hakuna wanachofanya ila sema inaccessibility na lack of information on their performance ndo inawaokoa. Huko nadhan hata M4C huwa haifiki na hata ikifika ni rasharasha tu. Hatuwezi kuikomboa nchi kutoka kwa maCCM kama jitihada zetu km chama zimeconcentrate kwenye miji mikubwa. Huku kwenye miji mikubwa hata usipowahutubia,wapiga kura wanasikia na kuona live utumbo unaofanywa na serikali. Huko mbwinde ndipo kuna dire need ya kuelekeza nguvu na kupiga kambi ya kudumu.Wabunge kadhaa tayari wametangaza kustaafu au kuacha kugombea nafasi za Ubunge mwaka 2015. Kila mmoja akiwa na sababu tofauti ila wengi inaonekana ni kiwewe cha kushindwa baada ya kugundua kuwa wameshindwa kuwasaidia wapiga kura wao. Wengine ni uzee, au kujipanga na kugombea Urais kwani katiba ya sasa hairusu kugombea vyote kwa wakati mmoja, na wengine ni kuzongwa na kashfa na ufisadi. Wengine wameamua kubadilisha career nk. Kila sababu walau inaonyesha swala la kung'ang'ania ubunge linaanza kupungua kadiri miaka inavyokwenda. Wananchi ongezeni kasi ya kudai haki zenu na kuwawajibisha wabunge na serikali ili kasi ya mendeleo ipatikane na wavivu na walaghai wale kona.
Majina ya ambao tayari wametangaza kuachia ngazi na majimbo yao
1. Mustafa Mkulo -
2. Bernad Membe- Mtama
3. Zitto Zuberi Kabwe- Kigoma kaskazini
4. Anna Makinda--- Njombe
5.Mizengo Pinda --Mpanda
6. Samweli Sita -----Urambo Mashariki
7. P. Ndesamburo -----Moshi Mjini
8.
9.
10.
11.
12.
Majina ya ambao hawafai kurudi Bungeni 2015 kwa uzembe/uvivu/tuhuma/mzigo kwa taifa/hawana mchango/hawana sifa wala
uwezo na ufisadi
1. John Komba
2. Karamagi
3.Maji marefu
4.Sofia Simba
5. Ngeleja
6.E Lowassa
7. David Mathayo
8.Cyril Chami
9. Anna Kilango Maleccela
10.Shukuru Kawambwa
11.Andrew Chenge
12.
13.
14.
15.
Nitaendelea ku-Update list na kuiweka live mpaka 2015. Stay on your words.