Wabunge 400 wa kazi gani kwa nchi masikini Kama Tanzania?

kujadili jambo kwa kutumia furaha sana au uchungu sana hutoa matokeo yasiyofaa.

leo hii tunaona wabunge 600 hawafai, sababu si robo wala 1/8 wanatoka upinzani, ni sababu hakuna kabisa mbunge kutoka upinzani. inawezekana kabisa tungekuwa na wabunge 300 wa upinzani story zingekuwa tofauti....
Swala la idadi ya wabunge tulishalisemea sana hata wakati wa wapinzani. Ktk Sera yaChadema mwaka 2020 tulipropose Serikali ya majimbo. Wabunge wasiozidi 100 tu. Hii inaendana na .atakwa ya wananchi ktk Rasmi ya katiba mpya ya warioba.
 
Swala la idadi ya wabunge tulishalisemea sana hata wakati wa wapinzani. Ktk Sera yaChadema mwaka 2020 tulipropose Serikali ya majimbo. Wabunge wasiozidi 100 tu. Hii inaendana na .atakwa ya wananchi ktk Rasmi ya katiba mpya ya warioba.
kama hoja ni matumizi hata hao 100 ni wengi sana,ilitakiwa mmoja kila mkoa.
 
Anaongea Bishop Mpemba.

Kodi nyingi tunazo kusanya zinaishia kuwalipa mishahara first class citizen!...
Halafu bado kuna watu wanataka katiba mpya watu wateuliwe kuliowa posho eti kuandika katiba mpya na hiyo katiba mpya eti iruhusu serikali za mikoa/ majimbo zenye mabunge yake. Mzigo wote huo aubebe mwananchi maskini ambao vipato vyao kwa mwezi wengi wao ni chini ya Laki tatu.
 
Halafu bado kuna watu wanataka katiba mpya watu wateuliwe kuliowa posho eti kuandika katiba mpya na hiyo katiba mpya eti iruhusu serikali za mikoa/ majimbo zenye mabunge yake. Mzigo wote huo aubebe mwananchi maskini ambao vipato vyao kwa mwezi wengi wao ni chini ya Laki tatu.
waeleze wajumbe jinsi gani ya kupunguza hiyo idadi kubwa ya wabunge bila mchakato wa katiba mpya. Ficha upumbavu wako
 
waeleze wajumbe jinsi gani ya kupunguza hiyo idadi kubwa ya wabunge bila mchakato wa katiba mpya. Ficha upumbavu wako
Kwani hiyo idadi ya sasa ilipatikana kwa mchakato wa katiba unaoupigia debe. Katiba imerekebishwa mara kadhaa tangu mwaka 2077 bila huo mchakato wako. Hoja yako inathibitisha ulivyo juha.
 
Hawa wakubwa hakuna hata mmoja ana uchungu wa taifa hili ni wachumia tumboni,wamezoea kuletewa chakula mezani. Ukiwaondoa hapa walipo,ukawapeleka mtaani,nusu yao watakufa kwa ugonjwa wa moyo katika mwaka mmoja.
 
Kweli kabisa polisi ni muhimu shida wanavyotumika sio kwa tija maana polisi Tanzania utaalamu na intelijensia yao ni kuzuia mikutano na maandamano ya kisiasa lakini sio kutimiza lile lengo la msingi kumlinda raia na mali zake mfano kwenye matukio ya wizi na ujambazi Wana maneno mengi na rushwa tu ila hakuna wanachokifanya
Si unajua kazi ya chawa LAKINI? Hata police kutokana na mfumo mbovu ulivyo wanajikuta wamekua machawa wa SERIKALI unajua ukiwa chawa hata bosi wako akijamba unasifia kwamba ushuzi wake Kama harufu ya udi wa kiharabu...

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Matumizi na muundo wa maisha ya maskini yanafanana.

Kuwa na watu wengi wanaokula bila ya kuwa na tija.

Binafsi, sioni TIJA YOYOTE ya uwepo wa Bunge.
 
Back
Top Bottom