Wana ccm ndio wanafaidi hii nchi na ndio maana hawataki kusikia hoja ya katiba mpyamawaziri na manaibu waziri kama 100, ma DAs na makatibu wa wizara ni kama 400 nyingine. Hawa wote ni wana ccm na ndio maana wanatushinda.
Ile ni familia kwa ajili ya kutetea maslahi ya kundi/tabaka fulaniAnaongea Bishop Mpemba.
Kodi nyingi tunazo kusanya zinaishia kuwalipa mishahara first class citizen!.....
Mkuu, bora wabunge viti maalum watakaoingizwa kwa weledi wao kuliko hawa wa kuwakilisha eti moshi mjini na moshi vijijini watu wawili tofaut. Gairo na kilosa wawili tofauti. Iringa mjini na vijijini wawili tofaut. Arumeru east na west wawili tofaut na nk. Hii ni hasara. Wanaenda kutengeza/ kuzalisha nini bungeni?Wapo KISIASA ZAIDI hawana TIJA kwa TAIFA hebu Fikiria WABUNGE wa VITI MAALUMU wana KAZI gani BUNGENI na Nje ya BUNGE? NCHI YA AJABU KABISA
Hebu Fikiria Wabunge Fake 19 Serikali inawalipa MISHAHARA kisa KUIKOMOA CHADEMA
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hata wangekuwa wanafanya kazi lakini ndo wawe wengi kiasi hicho? Hii ni hasara. Tunawekeza hela nyingi sana Kama taifa kwenye kupiga sogaTanzania hakuna bunge ni genge tu la wahuni na matapeli
Anaongea Bishop Mpemba.
Kodi nyingi tunazo kusanya zinaishia kuwalipa mishahara first class citizen!...
Kweli kabisa polisi ni muhimu shida wanavyotumika sio kwa tija maana polisi Tanzania utaalamu na intelijensia yao ni kuzuia mikutano na maandamano ya kisiasa lakini sio kutimiza lile lengo la msingi kumlinda raia na mali zake mfano kwenye matukio ya wizi na ujambazi Wana maneno mengi na rushwa tu ila hakuna wanachokifanyaPolisi ni muhimu sana katika jamii, kitu cha muhimu ni kuwalipa mishara mizuri kwa wakati unaopaswa. Hiyo mishara ya ma DC na RC ingetumika kuongeza polisi tena wenye usafiri hata kama ni pikipiki.
Yes tena sio wana ccm wote. Bali hayo makundi hapo juu ndio yanadanganya umma wa wanaccm kwamba ccm ni nzuri. Pamoja na kuwa umma wenyewe umeshawachoka bado wanatumia nguvu ya dola kuwepo hapo walipoWana ccm ndio wanafaidi hii nchi na ndio maana hawataki kusikia hoja ya katiba mpya
Tatizo sio polisi. Ni viongozi wa polisi. Wale viongozi wa juu wa polisi hawazidi 10 Ndio wamefanya nchi ikawa hivi wakishirikiana na vyombo vyingine vya dola.Kweli kabisa polisi ni muhimu shida wanavyotumika sio kwa tija maana polisi Tanzania utaalamu na intelijensia yao ni kuzuia mikutano na maandamano ya kisiasa lakini sio kutimiza lile lengo la msingi kumlinda raia na mali zake mfano kwenye matukio ya wizi na ujambazi Wana maneno mengi na rushwa tu ila hakuna wanachokifanya