Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Katika Mambo yanayoitia DOSARI SERIKALI ya AWAMU ya 6 ni hili la WABUNGE 19 waliofukuzwa na CHADEMA lakini Mpaka leo Wapo BUNGENI na WANALIPWA Mishahara na Posho ambazo ni KODI za WANANCHI MASIKINI.
MCHAKATO wa Kuwapata hao WABUNGE HALAMU uliandaliwa na kufanikishwa na UTAWALA wa AWAMU ya 5
UTAWALA wa AWAMU ya 6 kuendelea kuwakingia KIFUA WABUNGE hao ni DOSARI KUBWA kwa UTAWALA wa AWAMU ya 6.
Ni wakati sasa kuiondoa DOSARI hiyo inayoichafua Serikali ya AWAMU ya 6 kwa KATIBA iliyoapwa na kuahidi KUILINDA na KUIHESHIMU kwani inasema Wazi kuwa MBUNGE lazima Atokane na Chama cha Siasa
na Mbunge ATAPOTEZA UBUNGE wake Endapo atafukuzwa UANACHAMA wake
HALIMA na GENGE lake TAYARI Wamefukuzwa na CHADEMA wanachofanya sasa ni KUCHELEWESHA MCHAKATO wa KUWAFUKUZA kwa KUFUNGUA KESI za KUPINGA KUFUKUZWA kwao.
MCHAKATO wa Kuwapata hao WABUNGE HALAMU uliandaliwa na kufanikishwa na UTAWALA wa AWAMU ya 5
UTAWALA wa AWAMU ya 6 kuendelea kuwakingia KIFUA WABUNGE hao ni DOSARI KUBWA kwa UTAWALA wa AWAMU ya 6.
Ni wakati sasa kuiondoa DOSARI hiyo inayoichafua Serikali ya AWAMU ya 6 kwa KATIBA iliyoapwa na kuahidi KUILINDA na KUIHESHIMU kwani inasema Wazi kuwa MBUNGE lazima Atokane na Chama cha Siasa
na Mbunge ATAPOTEZA UBUNGE wake Endapo atafukuzwa UANACHAMA wake
HALIMA na GENGE lake TAYARI Wamefukuzwa na CHADEMA wanachofanya sasa ni KUCHELEWESHA MCHAKATO wa KUWAFUKUZA kwa KUFUNGUA KESI za KUPINGA KUFUKUZWA kwao.