Kuna kila Dalili huu uwepo na mpango kuwa na hawa wabunge 19 Bungeni ni mpango wa kifisadi na wahusika ni viongozi wakubwa ikiwepo CHADEMA, kwa namna tu hili suala linavyopelekwa.
Kuna fununu kuwa hawa wabunge huchanga pesa kila mwezi na kuweka kwenye akaunti ,Hawa ni watu wazima kila mtu anaweza tunza Pesa, huu umoja wa kutunza pesa umetoka wapi?
Je, mwisho wa siku zinapelekwa wapi?
Lakini hata comment ya Mh Mbowe kwamba kina Mdee waache uhuni ni comment ya kimasihala sana na inafikirisha sana.
Ustaarabu wa Tundu lissu,Tulia na Mnyika kwenye hili suala ni wa kiwango cha Juu ,Huu wote tunamjua Tundu lissu alivyo.
Kwa hili Watanzania Tuamke tunapigwa .
Kuna fununu kuwa hawa wabunge huchanga pesa kila mwezi na kuweka kwenye akaunti ,Hawa ni watu wazima kila mtu anaweza tunza Pesa, huu umoja wa kutunza pesa umetoka wapi?
Je, mwisho wa siku zinapelekwa wapi?
Lakini hata comment ya Mh Mbowe kwamba kina Mdee waache uhuni ni comment ya kimasihala sana na inafikirisha sana.
Ustaarabu wa Tundu lissu,Tulia na Mnyika kwenye hili suala ni wa kiwango cha Juu ,Huu wote tunamjua Tundu lissu alivyo.
Kwa hili Watanzania Tuamke tunapigwa .