Lazima ccm mtajikojolea kama siyo kujinyea kabisa mwaka huu. Lowassa anawazidi nguvu kwa kuitumia misukule mliyoifuga miaka nenda, rudi, akina Komba, maji marefu, chatanda, ntukamazina nk, sijui kama Lusinde alikosekana hapo. Wenye akili ndani ya ccm wanajua kabisa kuwa wakimteua Lowassa watashindwa kwenye uchaguzi kwa sababu ya kinyesi alichojipakaza, ananuka. Lakini kwa sababu siku nyingi ccm imefuga misukule, ambayo mmeitumia kupandia ngazi, kwa kuimba, kukata viuno hadharani na kuloga, sasa misukule hiyohiyo imeanza kuleta madhala kwa chama, inawaangamiza kwa kushabikia bila kufikiri. Mpitishe awe mgombea ndipo matakapojutia upofu wenu.