Wabunge 150 wa CCM wajitosa kumuunga mkono Lowassa

Wabunge 150 wa CCM wajitosa kumuunga mkono Lowassa

Wenzio huvuta hata visekunde viwili au vitatu ndo wanachangia mada walizopost kwenye accounts zao zingine.

Sasa wewe umepost , halafu sekunde hiyohiyo unasukuma comment! Mh!

Lakini huu ni muendelezo wa njaa zako kwa Lowasa. Na atakubakeni mno semester hii.

HOJA YA MWISHO KWAKO; Vip issue ile ya #SUKARI ya Pinda? Kwamba Lowasa alikomea kukupa uzi uleule akakosa ushahidi? Watu wa namna yenu siwatofautishi na waliofanya uchochezi wa Interahamwe.

Mungu anawamulika. Mtaaibika tu.Time never lies!
Nyie Zito aliwaita wapambe mliofitini na Mbowe
 
Wenzio huvuta hata visekunde viwili au vitatu ndo wanachangia mada walizopost kwenye accounts zao zingine.

Sasa wewe umepost , halafu sekunde hiyohiyo unasukuma comment! Mh!

Lakini huu ni muendelezo wa njaa zako kwa Lowasa. Na atakubakeni mno semester hii.

HOJA YA MWISHO KWAKO; Vip issue ile ya #SUKARI ya Pinda? Kwamba Lowasa alikomea kukupa uzi uleule akakosa ushahidi? Watu wa namna yenu siwatofautishi na waliofanya uchochezi wa Interahamwe.

Mungu anawamulika. Mtaaibika tu.Time never lies!
kwanza kabisa naomba utambue kwamba mimi ni fast reader.... nauwezo mkubwa sana wa kusoma na kwa haraharaka, kwaiyo hilo lisikupe shida....... andiko la sukari anytime this week nalidondosha....... Leo nani katumia hii Id
 
Mwizi tena aingie magogoni!?! Astagafilulah, haiwezekani.
 
kwanza kabisa naomba utambue kwamba mimi ni fast reader.... nauwezo mkubwa sana wa kusoma na kwa haraharaka, kwaiyo hilo lisikupe shida....... andiko la sukari anytime this week nalidondosha....... Leo nani katumia hii Id

Hihihihihiiiiiii!!

Yaan Mkuu #OCAMPO ; Sielewi jina lako limekuwaje kubwa humu ndani kwa style hii. Any ways, mtu kupata umaarufu mjini,anaweza hata kuamua kuvua nguo akarandaranda mitaani then jion akang'aa kwenye walls za media.

Yaan wewe ni mweupe mno ktk hoja. Hauna hata chembe ya namna mtu anaweza akavutiwa na hoja zako(achilia mbali kum'impress mtu).

Eti unasoma harakaharaka, nfyuuuuu!! Wewe umetumia ID mbili tofauti kupost & kuchangia kwenye uzi huu. Na unabahati mbaya tumeku'grasp tayari.

Hoja ya SUKARI v/s PINDA, Imekuwa almost miezi miwili hivi nakuuliza.Daily umetoa ahadi tu bila utekelezaji. Pima upepo mkuu; Lowasa is finished(Morally,Politically & Physically).

MWISHO; Nakupongeza kwa jambo moja, "YOU ARE NOT AGGRESSIVE" in arguments.
 
Wakati ule wa mwalimu kikwete na lowasa walikuwa boys II men. Tayari walikuwa vibaka. Sasa ni men II death. Tayari JK kakwepua bilioni 9 za ESCROW. Maana yake men II death washakubuhu na kuwa majambazi. Ikulu tena kuwapa majambazi haikubaliki.
 
Wabunge 150 ndo wanamuunga mkono kwa njaa zao, sisi wananchi tusiomtaka tunamsubiri mtaani, waaalah hatuna maneno mengi kama chiriku.
 
Wabunge 150 ndo wanamuunga mkono kwa njaa zao, sisi wananchi tusiomtaka tunamsubiri mtaani, waaalah hatuna maneno mengi kama chiriku.

Wanatajwa wabunge 150 lakini wanaonekana kwenye habari hawazidi watano!
 
Yale mambo ambayo wenye ufahamu hawakuweza kuyaona sasa wanaotharaulika wameweza kuyaona pasipo shaka kabisa. Edward Lowassa ndo atakuwa chanzo cha CCM KUSIMAMA AU KUFA. hakuna watu ambao watakuwa tayari kumwona akiangushwa kwa kupitia siasa hizi za maji taka. utakuja kunambia. subiri tu wakati ufike.

Kama CCM ikimtosa lowassa kwa hila nchi itatikisika
 
Ccm imekufa ndiyo lakini si kiasi cha kutuletea fisadi msaka urais!

CCM imekufa lakini Lowasa ataifufua na kweli yeye ndiye chaguo la wengi hata watoto wadogo wanamwongelea,Mungu mlinde afikie malengo yake.
 
Tatizo ukisha kuwa kwenye hili lichama no matter we we ni mzuri, mwizi, au malaika, system itakuongoza kwenye ufisadi tu, crew nzima ya nyinyiem ni mapiga dili tu.
 
Hihihihihiiiiiii!!

Yaan Mkuu #OCAMPO ; Sielewi jina lako limekuwaje kubwa humu ndani kwa style hii. Any ways, mtu kupata umaarufu mjini,anaweza hata kuamua kuvua nguo akarandaranda mitaani then jion akang'aa kwenye walls za media.

Yaan wewe ni mweupe mno ktk hoja. Hauna hata chembe ya namna mtu anaweza akavutiwa na hoja zako(achilia mbali kum'impress mtu).

Eti unasoma harakaharaka, nfyuuuuu!! Wewe umetumia ID mbili tofauti kupost & kuchangia kwenye uzi huu. Na unabahati mbaya tumeku'grasp tayari.

Hoja ya SUKARI v/s PINDA, Imekuwa almost miezi miwili hivi nakuuliza.Daily umetoa ahadi tu bila utekelezaji. Pima upepo mkuu; Lowasa is finished(Morally,Politically & Physically).

MWISHO; Nakupongeza kwa jambo moja, "YOU ARE NOT AGGRESSIVE" in arguments.
Mkuu swala la uchunguzi ni complex process siyo swala la kulala kuamka then nilete uzi. inahitaji uchunguzi wa kina ili nikija niwe na evidence.... baada ya kuleta ule uzi wa kwanza nikiri walishtuka na kujipanga so evidence zikawa ngumu kupata ila thanks God siku ya ijumaa nilikamilisha na kuzipata, so soon from alhamisi kitu kinadondoshwa.........

kuhusu umaarufu humu ndani wala siyo maarufu kama unavyodai... kuna mtu maarufu humu ndani kuliko Mwanakijiji, Lizaboni, Wewe, Pasco, Minyoo, funza, msalani, zito, Mwigullu nk
 
Rais ajae ni Dr W Slaa, deadly!!! Hizo cinema zenu za Lumumba hazituhusu.

Slaa hana sifa ya kuwa rais
Isitoshe ni mgonjwa sana
Mtampoteza na heka heka za kampeni zingatieni ushauri wa watabiri.
 
Lowassa anafaa kupeperusha Bendera ya CCM... "Bila CCM imara nchi itayumba" By JKN... Tunataka kiongozi ambaye anajua kuwa Cheo ni dhamana na kuwa atakuwa tayari kukubali kuachia madaraka pindi ikibidi ... Hao wengine wenye kung'ang'ania madaraka hawafai na nihatarishi kwa amani na usalama wa nchi yetu ...
 
Back
Top Bottom