Wabunge 150 wa CCM wajitosa kumuunga mkono Lowassa

Wabunge 150 wa CCM wajitosa kumuunga mkono Lowassa

Katika magazeti ya leo story kubwa ni wabunge kumuunga mkono Lowassa eti watu kama Komba, Chatanda, Ntukamazina wote wamefunguka.

Binafsi mradi huu niliutarajia sema ulichelewa, kinachooudhi ni magazeti yetu kutofanya utafiti kidogo kujua huu ni mradi wa watu.

Kwa hivi sasa hakuna weledi, tunatumikia wenye fedha kuanzia viongozi hadi wataalamu wapo mifukoni mwa wenye fedha ambazo hatukuwahi kujua wamezitoa wapi.

Mtatufanya tusome mitandao maana huku watu wanahoji, wanauliza wanatia mashaka.Eti mtu anafaa kuwa rais kwa sababu aliposhuka kwenye gari alishangiliwa?

NCHI HII BADO SANA!

Mh! I wish waandishi wa habari wangezingatia weledi kama wako huu. Lakini kila kitu ni "Business as usual". Very sad & shocking.

Lowasa han namna yoyote ya kupambana ktk kinyang'anyiro hiki zaid ya kutukia Rungu la pesa. Si tu kwamba it is through money atawabak watu, bali hana sifa yoyote ile inayoweza kumshawishi Mtanzania zaid ya Pesa.

Insha allah kwake kwamba, people are foolishly hungry. Watampatia may-be (wajumbe-NEC). Mziki utakuja kwa wananchi. Coz nchi hii ni zaid ya Wa'NEC, ni zaid ya Lowasa et al.
 
Wananchi gani hao? Nawashangaa sana watanzania, huku wanalia na ufisadi, huku wanakumbatia fisadi
Mpaka gazeti lenu la Jambo Leo lishalegeza msimamo, safari hii mnalo.......... au ndiyo Riz kaanza kuwakimbia....
 
Kumbe naongea na mtu ambaye hajasoma magazeti. hilo la Mwigulu linausu utafiti uliyofanywa na TEDRO kwa wagombea vijana accross all parties...
Ocampo four, mzee wa kuchuruzika mate anakulipa kiasi gani? Kati yako wewe na John Okello, nani zaidi?
 
Unauonaje utafiti huo ukampo
kwa vijana nafkiri kidogo wako sahihi. manake Mwigulu ana uwezo kuliko vijana wengine like January, Nchimbi, Kigwangala nk....... na infact hata baadhi ya wazee kama Membe uwezo wake ni mdogo sana ukiulinganisha na wa Mwigullu......
 
kwa vijana nafkiri kidogo wako sahihi. manake Mwigulu ana uwezo kuliko vijana wengine like January, Nchimbi, Kigwangala nk....... na infact hata baadhi ya wazee kama Membe uwezo wake ni mdogo sana ukiulinganisha na wa Mwigullu......

Uwezo wa Membe ni mdogo sana..... Kuliko kumpa Membe urais bora tumpe Hawa Ghasia au Asumpta Mshana
 
kwa vijana nafkiri kidogo wako sahihi. manake Mwigulu ana uwezo kuliko vijana wengine like January, Nchimbi, Kigwangala nk....... na infact hata baadhi ya wazee kama Membe uwezo wake ni mdogo sana ukiulinganisha na wa Mwigullu......
Hapa lazima Lizabon atoe chozi Mtama hana uwezo kumbe
 
Last edited by a moderator:
kwa vijana nafkiri kidogo wako sahihi. manake Mwigulu ana uwezo kuliko vijana wengine like January, Nchimbi, Kigwangala nk....... na infact hata baadhi ya wazee kama Membe uwezo wake ni mdogo sana ukiulinganisha na wa Mwigullu......

Nina kupm chek inbox yako
 
Ocampo four, mzee wa kuchuruzika mate anakulipa kiasi gani? Kati yako wewe na John Okello, nani zaidi?
sijawahi hata kuonana uso kwa uso na Lowassa.... infact yeye yupo Dar es Salaam ila mimi niko Kenya kikazi
 
Niliahi kusema hakuna wa kuzuia nguvu ya Lowassa kwa sasa. Ni Mungu pekee

Wenzio huvuta hata visekunde viwili au vitatu ndo wanachangia mada walizopost kwenye accounts zao zingine.

Sasa wewe umepost , halafu sekunde hiyohiyo unasukuma comment! Mh!

Lakini huu ni muendelezo wa njaa zako kwa Lowasa. Na atakubakeni mno semester hii.

HOJA YA MWISHO KWAKO; Vip issue ile ya #SUKARI ya Pinda? Kwamba Lowasa alikomea kukupa uzi uleule akakosa ushahidi? Watu wa namna yenu siwatofautishi na waliofanya uchochezi wa Interahamwe.

Mungu anawamulika. Mtaaibika tu.Time never lies!
 
Back
Top Bottom