Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Miaka ya nyuma kdg alikuja mzungu akatengene sinema ya docmentary,ikionyesha wabongo hasa kanda ya ziwa wakila mabaki ya sangara toka viwandani, maarufu mapanki! Kumbe hata wakenya hali imewakumba! Source Citizen tv! Leo saa moja!