Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

mke mwema anatoka kwa bwana,mume mwema anatoka benki
 
Sikuchoshi bana, wewe mwenyewe unafahamu fika kuwa mimi sikukaribii hata theluthi linapokuja suala la vyombo.

Mimi nakuchokoza tu ili utuwekee vyombo. Tunapata burudani kutoka kwako.

Hebu angalia ulivyoshuka vyombo kama hauna akili nzuri.

Haya hapo chini nakuja hivi:-
anaependa kukusema usimseme mgeuze big g umle umteme

kwake mm malkia taji ameshanivika
hata mnichukia bure tahangaika

umeshindwa kurusha vocha utaweza kurusha roho!!

kama unataka kutamba ngojea taa zizimwe.....
kwnye mwanga huna nambanguo zenyewe mpaka azimwe............

ahhah unanichosha bana

Mchumia juani hulia kivulini
 
Back
Top Bottom