Wewe kiboko huna mpinzani. Ngoja nikuchokoze na hii:-Ubaya sikua nao
Nawalipa.visa vyao
Wewe kiboko huna mpinzani. Ngoja nikuchokoze na hii:-
Usione vyaelea ujue vimeundwa
Akufa ae kwa dhiki ndiye rafikikwake yeye sijipendekezi ni wajibu wangu kumuenzi
Akufa ae kwa dhiki ndiye rafiki
Wacha weee, mkali sana wewe.kila mtu ana pochi tatizo noti
Wacha weee, mkali sana wewe.
Nakuja na hii:-
Tenda wema usingoje shukurani
Nimeipata sasa hivi hii:-Watu na nyota zetuuu utajiju ww mwenye nyota ya samaki ukishikwa unateleza
Nimeipata sasa hivi hii:-
Utakula ulipopeleka mboga
Usijisifu una mbio.......msifu anae kukimbiza..........
Kheri ya umasikini wangu kuliko utajiri wa mwenzanguWakopesha sifa kwa bei ghali utalupwa.dharau kwa bei ya chini kabisa.....
Kheri ya umasikini wangu kuliko utajiri wa mwenzangu
Siugui Busha naugua tezi dume
Siugui Busha naugua tezi dume
Kwa hisani ya Ankal.Kama halikuwashi bas linakukereketa
Mama yangu weeeee
Kwa hisani ya Ankal.
Chukua hii:-
Sichagui sibagui atakaenizika simjui
Kutangulia si kufikaAnaenichukia kaz kwake kila mja na.rizik yake
Kutangulia si kufika
mamaafacejero uko poa.salute!
Haya tuendelee mimi naanza na hii:-Sikumroga sikumchawia muulizeni nini kimemvutia