Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

Sikuchoshi bana, wewe mwenyewe unafahamu fika kuwa mimi sikukaribii hata theluthi linapokuja suala la vyombo.

Mimi nakuchokoza tu ili utuwekee vyombo. Tunapata burudani kutoka kwako.

Hebu angalia ulivyoshuka vyombo kama hauna akili nzuri.

Haya hapo chini nakuja hivi:-










Mchumia juani hulia kivulini
unaenisubiri nishuke tafta kiti ukalie maana utasimama saana
 
Ukibebwa kunja miguu.......

usilete jeuri........na hela ya mkopo...........
 
Kuruka ruka kwa maharage jiko ndio kuiva kwenyewe
 
Back
Top Bottom