Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

1. Gari la kuvutwa haliovateki.
2. Mganga haagizi tembele.
3. Wimbo wa taifa haupigwi
disko.
4. Feni haiwashwi beach.
5. Mbwa hanenepi miguu.
6. Mjini shule, kijijini tuition.
7. Heshima pesa,shikamoo
makelele.
8. Hata bibi alikuwa kijana.
9. Mshikaki hauchomwi kwa
jiko la gesi.
10. Kipara bila pesa ni kovu.

Mshikaki hauchomwi kwa jiko la gesi,....hata bibi alikuwa kijana
 
Ahhha chukua hiii


Chukieni mpendavyo semeni mtakavyo
Waja ndivo mlivyo na mim ntabaki kama nilivyo
Wewe hii naona idara yako sikuwezi.

Ngoja na mimi nikuongezee hii:-

Wape wape vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri yao - KHADIJA KOPA(Malkia wa mipasho)
 
Wewe hii naona idara yako sikuwezi.

Ngoja na mimi nikuongezee hii:-

Wape wape vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri yao - KHADIJA KOPA(Malkia wa mipasho)

Nina utamu wa kuku naliwa hadi mifupa
Utajiju ww mwenye utamu wa samaki unaliwa miba inatupwa
 
Nina utamu wa kuku naliwa hadi mifupa
Utajiju ww mwenye utamu wa samaki unaliwa miba inatupwa
Endelea kuweka vyomba mimi vyangu vya kubabaisha vimeisha kila nikifikiria sipati chombo cha kuweka.

Babu jinga inama ufikiri mali yako inaliwa - Mzee Majuto
 
Endelea kuweka vyomba mimi vyangu vya kubabaisha vimeisha kila nikifikiria sipati chombo cha kuweka.

Babu jinga inama ufikiri mali yako inaliwa - Mzee Majuto

Hahha chukua hiyo




Sina.roho mbaya maishani mwangu
Ntakufa kama muwa na utamu wangu
 
Back
Top Bottom