Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

Bahati mbaya taarab na mim n.vitu viwili tofaut


Nichambe nikunyambe uone changu kimbembe

aisee hata hivyo we kiboko, nadhani level yako ni Bondpost naona katupia hiki kule celeb kuhusu jidee Uso umemshupaa kama mwiko wa pilau
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom