Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Mzee umepiga pullovers lakini au ndo ushaacha kabisa?
mzee hiyo sana tu!
inanijenga kichizi.
sasa hivi nimeivamia shoulder
tatizo navimba kwelikweli!shemeji yako ananishauri nipunguze.
Mzee umepiga pullovers lakini au ndo ushaacha kabisa?
mzee hiyo sana tu!
inanijenga kichizi.
sasa hivi nimeivamia shoulder
tatizo navimba kwelikweli!shemeji yako ananishauri nipunguze.
Kama tuna akili kwa nini tuko maskini?
Kwa mara ya kwanza umeandika jambo lenye akili sana na wasio na akili hawatakuelewa.
mnataka utajiri wakati resources zoote ''zinabeba boksi''!
you guys are funny!
nadhani wabongo wa kwanza kutotumia akili na hawa waliotorokea ughaibuni!
wanaitwa ''wazungu weusi''
Geoff be careful mazee, wako wengi humu ohoooooooo
ndo wasaliti au wanaua na kupuliza wamekwenda kupata urahisi ulaya na marekani.kazi kweli kweli ngoja wakusikiemnataka utajiri wakati resources zoote ''zinabeba boksi''!
you guys are funny!
nadhani wabongo wa kwanza kutotumia akili na hawa waliotorokea ughaibuni!
wanaitwa ''wazungu weusi''
Geoff be careful mazee, wako wengi humu ohoooooooo
poa,Unatumia protein shake gani? nina dili nzuri hapa ya Wheybolic Extreme 60
mleta hoja ndo mjinga number moja akishindwa kutetea hoja yake kwa mifano.Pia mleta hoja ni mjanja sana anataka wanaJF ndo wampe ujinga huu upo wapi akisingizia eti kashindwa kuuelezea huu ujinga kisa atajaza sijui pages nyingi hahaha PhD thesismimi nawapa dozi tu!
hawaweze generalize fact kwamba ''wabongo kutotumia akili''.infact mods naomba mfanye kinachowezekana
mnataka utajiri wakati resources zoote ''zinabeba boksi''!
you guys are funny!
nadhani wabongo wa kwanza kutotumia akili na hawa waliotorokea ughaibuni!
wanaitwa ''wazungu weusi''
Hehehehehe.wazungu weusi mboni wako wengi wengi tu na hata bongo wako wengi wa kumwaga tu. Huwaoni mamiss wanavyojifanya hawajui kiswahili na kujibu kwa kiingereza kule kwa Michuzi? Huoni wazungu weusi walivyokuwa wanamcheka Kanumba kutoongea kiingereza (kizungu) fasaha? Au hao siyo wazungu weusi? Lol
hivi mtu anaemiss-allocate resources ana akili timamu?mfano mtu ni injinia labda,unakuta anabeba boksi,au anafagia.........
huo ni uamuzi binafsi na sidhani kama una athari zozote katika maslahi ya kitaifa kulinganisha na mtu anayeibia BOT mabilioni ya ma shilingi na dola.
in the loong run tunapata athari kubwa saana!
injinia wa majengo au umeme anapoamua kubeba boksi NI HATARI KWA NCHI YAKE ALIKOKIMBIA kwasababu nchi husika itarudi kwenye nchi ile ile ambako mtaalamu wao anabeba boksi na ku-hire an expert of the same proffession tena kwa gharama kubwa zaidi.get it?
Nah..sikubaliani na wewe. Uamuzi wa mtu binafsi ni uamuzi wa mtu binafsi. !!
Huyo huyo mtu binafsi anaweza kuamua kuendesha mkokoteni au kuuza genge pamoja na kuwa na shahada yake ya uhandisi hapa hapa Tanzania.!!
uamuzi BINAFSI!=VIMELEA VYA UFISADI HIVI.ubinafsi kwa maana ya UMIMI,USELFISH ndio umezaa mafisadi ambao hata wewe unawapigia kelele!SORRY FOR YOU NGABU.i never thought ungeweza kuwa na mtizamo huu kichwani mwako,anyways...........
mtu huyu akiamua kwa ulicho kihubiri basi ni kama HAKWENDA SHULE KABISA!kuna possibility huenda anavuta sana bange kiasi cha kuona kila kitu POA TU!
kweli mkuu.sometimes hapa JF pana bore sana..yaani ni bifu tuuu bila hata kuangalia mtu kaandika nini.sasa Yo Yo kuwa na bans kuna connection gani...I fully agree with you Yo Yo wa TZ tumezidi kufanya mambo kwa mazoea.hiyo ipo sana hata sehemu za kazi na kwinginekoYoyo kwa jinsi wabongo walivyo wameshindwa hata kukusoma ili waelewe unachomaanisha wewe,
Yoyo yupo sahihi kabisa.