Wabongo acheni kukariri maisha

Kiingilio bei gani??

Sare nazo unagawa bure??

Chama kina faida gani??

Kwanza lazima ule kiapo kabla ya kujiunga kwamba hutoolewa wala kuoa.
Baada ya hapo utapewa form mbili za kujaza, utaleta picha za passport size pamoja na wadhamini wawili.
Baada ya kujaza form na kuzirudisha utaulizwa maswali na kiongozi wetu wa chama, baada ya hapo utapewa mtihani ni mrahisi najua utafaulu. Ni mtihani unafanya online ukiwa nyumbani.

Hapo ndipo utapewa maelezo ya michango na masharti yake n.k.

Faida za chama:

Chama kinatoa mikopo kuanzia milioni 1 hadi mil 100 kwa uaminifu mkubwa.
Bima ya afya unapata.
Ukipata sherehe nyumbani chama kinasaidia 50% ya bajeti, ukipata majanga chama kinasimamia kila kitu.
Chama kinatoa mikopo ya gari, huku ukilipia kidogo kidogo kwa miaka hata 10.
Chama kina miradi mbali mbali kama ufugaji, kilimo, biashara n.k, sheria muajiriwa lazima awe mwanachama, mpaka sasa tuna ng'ombe wa maziwa zaidi 100. Kuku wa mayai zaidi ya 5000, na mashamba ya kutosha.


Kuhusu sare , chama hakina sare zaidi tuna vitambulisho maalumu vyenye bar code, unapofika ofisini kwetu uki scan ile card tu unaingia ndani.

Ahsante sana, karibu ujiunge hutojutia.
 
Ndoa ni kujipa stress.
Ndoa ni utapeli.
Ndoa itakuharibia maisha yako.
Ndoa ilikuwa zamani sio hiki kizazi cha AI.
Ndoa ni ajira kwa mwanamke.
Kama walivyosema ikimbieni zinaa, basi ikimbie ndoa hivyo hivyo.
Hivi mnaposema ndoa ni ajira kwa mwanamke huwa mnamaanisha nini, like jukumu la mwanaume kwenye ndoa linatakiwa kuwa lipi, sababu majukumu ya mwanamke tayari yanajulikana
 
Hivi mnaposema ndoa ni ajira kwa mwanamke huwa mnamaanisha nini, like jukumu la mwanaume kwenye ndoa linatakiwa kuwa lipi, sababu majukumu ya mwanamke tayari yanajulikana
Mbona ipo wazi.
Wanawake wengi ni hypergamy na hilo liko wazi, wanataka kuolewa na mwanaume mwenye status ya juu au ana pesa, sasa unaweza elezea kwa nini wanawake ni hypergamy?

Wanawake wanageuza wanaume kama sehemu ya kujipatia kipato, unakuta mtoto anaumwa dawa elfu tano mwanamke anasema elfu 50. Inabidi utoe.

Mwanamke hata awe ana milioni 100 bank, anataka na laki yako moja ailambe japo ndio umebaki nayo.
Mwanamke unampa pesa nyumbani wale vizuri, anapika vyakula vya ajabu kisa atunze pesa ajenge kwao pasipo kukushirikisha.

Wanawake ni wabinafsi na hilo silaumu ndivyo walivyo umbwa its just a fact of female nature, kazi ya mwanaume kwa mwanamke ni kum entertain muda wote awe na furaha

It doesnt mean to hate them for it or start being bitter and angry towards them.

Wanawake wanajijali wao tu, they care about their own needs being met, they care about their own survival.
Mwanamke hajali eti mapenzi uliyoweka kwake na kutia kwako huruma, miaka mliokaa pamoja, kiasi gani cha pesa mmetumbua pamoja.

Mwanamke anchojali ni kupata mwanaume wa hadhi ya juu kuliko wewe, seeking out the highest value male.

Ukiona mwanamke anakupiga jicho flani hivi, dirty look au dharau flani, jua kabisa ni kiashiria tosha kwamba you are not her first choice.

Mwanamke anachojali ni vitu gani utampa na kumfurahisha, kumsisimua , yani mwanaume ni kama mshehereshaji 😂 , mwanaume anakuwa mburudishaji. Kumfanya mwenye furaha muda wote. Siku akitokea jamaa anakuzidi, mwanamke anakuacha na hatoangalia ni miaka migapi au vitu vipi uliwekeza na kutia kwako huruma wanakuacha😂.

Naongea ukweli mchungu .

Nimepita relationship nyingi, hakuna mtu ataniambia kuhusu navyofahamu wanawake, nime experirnce pia kwa ndugu na rafiki wa karibu, na likija suala la kuwasoma akili zao nishawaelewa kitambo sana na umri wangu wa ujanani kabla sijazeeka.

Na date nao kama kawaida tena hot girls, na mahitaji natoa kama kawaida kwa sababu najua ni nature yao, siwezi badilisha.

Nazidi kusisitiza sidharau wala kuchukia mwanamke lakini nachosema ni uhalisia
 
Mbona ipo wazi.
Wanawake wengi ni hypergamy na hilo liko wazi, wanataka kuolewa na mwanaume mwenye status ya juu au ana pesa, sasa unaweza elezea kwa nini wanawake ni hypergamy?

Wanawake wanageuza wanaume kama sehemu ya kujipatia kipato, unakuta mtoto anaumwa dawa elfu tano mwanamke anasema elfu 50. Inabidi utoe.

Mwanamke hata awe ana milioni 100 bank, anataka na laki yako moja ailambe japo ndio umebaki nayo.
Mwanamke unampa pesa nyumbani wale vizuri, anapika vyakula vya ajabu kisa atunze pesa ajenge kwao pasipo kukushirikisha.

Wanawake ni wabinafsi na hilo silaumu ndivyo walivyo umbwa its just a fact of female nature, kazi ya mwanaume kwa mwanamke ni kum entertain muda wote awe na furaha

It doesnt mean to hate them for it or start being bitter and angry towards them.

Wanawake wanajijali wao tu, they care about their own needs being met, they care about their own survival.
Mwanamke hajali eti mapenzi uliyoweka kwake na kutia kwako huruma, miaka mliokaa pamoja, kiasi gani cha pesa mmetumbua pamoja.

Mwanamke anchojali ni kupata mwanaume wa hadhi ya juu kuliko wewe, seeking out the highest value male.

Ukiona mwanamke anakupiga jicho flani hivi, dirty look au dharau flani, jua kabisa ni kiashiria tosha kwamba you are not her first choice.

Mwanamke anachojali ni vitu gani utampa na kumfurahisha, kumsisimua , yani mwanaume ni kama mshehereshaji , mwanaume anakuwa mburudishaji. Kumfanya mwenye furaha muda wote. Siku akitokea jamaa anakuzidi, mwanamke anakuacha na hatoangalia ni miaka migapi au vitu vipi uliwekeza na kutia kwako huruma wanakuacha.

Naongea ukweli mchungu .

Nimepita relationship nyingi, hakuna mtu ataniambia kuhusu navyofahamu wanawake, nime experirnce pia kwa ndugu na rafiki wa karibu, na likija suala la kuwasoma akili zao nishawaelewa kitambo sana na umri wangu wa ujanani kabla sijazeeka.

Na date nao kama kawaida tena hot girls, na mahitaji natoa kama kawaida kwa sababu najua ni nature yao, siwezi badilisha.

Nazidi kusisitiza sidharau wala kuchukia mwanamke lakini nachosema ni uhalisia
Mkuu wanawake wanaofanya hivyo lazima kuna mambo yalipelekea kuwa hivyo iwe kapitia yeye mwenyewe au kayaona kwa wanaomzunguka, wameshajua siku hizi wanaume hawana mapenzi ya dhati hivyo nao wanakaa kwenye uchumba au ndoa kwa kujihami, fikiria unakaa na mtu anayeongea kauli kama "mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja" au "mwanamke akizingua kidogo tu piga chini tafuta mwingine wanawake ni wengi sana"

Sasa kwa hali hiyo unafikiri kuna binti ataingia kwenye mahusiano mzima mzima akijua kwamba muda wowote anaweza kupigwa chini, maana kiubinadamu kuzingua kupo tu hakuna mkamilifu ila wanaume wengi hawana uvumilivu, jambo dogo tu tayari kashatafuta mchepuko au kashampiga mwenzie chini ilihali wao wanataka wakikosea wavumiliwe tu

Mwanaume kumpa hela mwanamke siyo kwamba ndio anampenda hata wanaume wenyewe huwa wanakiri hilo na ndio maana hata malaya wanaowanunua wanawapa hela, huwa mnatoa tu hela ili mpate mapenzi na si kwamba mnafurahia ndio maana malalamiko ni mengi, hebu vaeni viatu vya wanawake yani binti ajitoe kiasi hicho kwa mtu ambaye ana wanawake wengine na wote anawahonga
 
Ukishaenda kanisani ambako watu wanakulazimisha kufunga ndoa kinyume na maoni yako tu unakosa haki ya kuwaambia watu wasikariri maisha.

Kwa sababu hata wewe itaonekana unakwenda kanisani kwa kukariri maisha.

Kanisani kama.ninsehemu ambako watu wanaamini katikankufunga ndoa, na wewe huamini katika hilo, kwa nini bado unakwenda na kuwaharibia watu imani zao?
Mimi singagi, mwaka WA 15 huu, anaenda ni mwanamke
 
Mimi singagi, mwaka WA 15 huu, anaenda ni mwanamke
Kama ni lazima sana kwenda kanisani angalau atafute kanisa lililoendelea kidogo ambalo halina watu washamba wanaowapa watu pressure za ndoa.

Suala la ndoa no suala la mtu binafsi.

Mbona Yesu hakuoa na kanisa zima linamfuata?
 
Kama ni lazima sana kwenda kanisani angalau atafute kanisa lililoendelea kidogo ambalo halina watu washamba wanaowapa watu pressure za ndoa.

Suala la ndoa no suala la mtu binafsi.

Mbona Yesu hakuoa na kanisa zima linamfuata?
Wapendwa wanapenda kukalia wenzako kooni sana, wanajiona wamemaliza
 
Wapendwa wanapenda kukalia wenzako kooni sana, wanajiona wamemaliza
Hawa watu wanachekesha sana, huku wameambiwa wasihukumu wenzao na yule asiye na dhambi ndiye awe wa kwanza kurusha jiwe, huku hawaishi kutupa mawe.

Mimi atheist, siamini dini wala Mungu.

Kuna mama mmoja mlokole alikuwa karibu sana nami, siku moja aliniambia, mwanangu, najua wewe si mtu wa dini na wala huamini Mungu, lakini maisha yako unavyoishi, unawafanya hao wanaosema wanaamini Mungu waonekane kama wanafiki, halafu wewe usiyeamini Mungu ndiye unaishi kama unaamini Mungu.

Nikauliza, kwa nini? Akasema nimekuona wewe ni mtu wa msaada sana, una moyo wa upendo sana, na hao wanaojiita walokole ukiwaomba msaada hawakusaidii, wanakwambia tu "tutakuombea kwa Mungu".

Nikamtania nikamwambia "Mama mimi siwezi kukuombea kwa Mungu kwa sababu siamini Mungu yupo, hivyo inabidi niifanye kazi ya Mungu mimi mwenyewe, nikusaidie mwenyewe tu".

Mara nyingine hao walokole wanakuwa wakatili sana katika kutojali feelings za watu, wanajiona wao wanamjua zaidi Mungu.
 
Funga Ndoa acha maneno mengi, ipo siku utajua nini maana ya kushiriki mambo ya Kanisa bado hujapatwa na changamoto.
Mkuu,

Kwa hiyo wewe kimsingi unashiriki mambo ya kanisa kwa kuogopa kupatwa na changamoto bila ya kuwa msharika wa kanisa?
 
Siku nikifa, ndio mfano mnaouona, kwahyo ndoa ni Kwa ajili ya mtu akifa tuu ausio
Hapana lazima uendane na jamii yaani kama hufuati dini ni sawa ila ndoa ni muongozo hata wa kiserkali..

Kwa vyovyote huwezi kukimbia kwa jamii ya kitanzania .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom