Wabongo acheni kukariri maisha

Kama unaishi kwa utaratibu wako usijichanganye na wanoishi kwa utaratibu mwingine, sana sana wataishia kukupigia kelele kwamba maisha unayoishi sio sawa

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ndio maana nimesema kwa kuwa yeye ameamua kuishi kwa utaratibu fulani aishi hivyo bila kujaji taratibu zingine
 
Si wanasemaga ukifa kama haukufunga ndoa hawakisalii[emoji16],

Unaanza ukumiwa kabla ya kushindiliwa kifusi[emoji23]
 
Funga Ndoa acha maneno mengi, ipo siku utajua nini maana ya kushiriki mambo ya Kanisa bado hujapatwa na changamoto.
 
pigaaa domoo lakeee akili zimkaeee
 
Unaweza kufunga ndoa lakini usimfukuze bali ukamwacha
 
Ni kweli ndoa ni makubaliano ya hiyari,

Lakini yanampa mwanandoa kujiamini zaidi na mwenza wake kuliko kuishi bila ndoa.

Mwanamke akiwa na ndoa huwezi kufukuza kiholela,
Kama hawara.
 
Ukishaenda kanisani ambako watu wanakulazimisha kufunga ndoa kinyume na maoni yako tu unakosa haki ya kuwaambia watu wasikariri maisha.

Kwa sababu hata wewe itaonekana unakwenda kanisani kwa kukariri maisha.

Kanisani kama ni sehemu ambako watu wanaamini katika kufunga ndoa, na wewe huamini katika hilo, kwa nini bado unakwenda na kuwaharibia watu imani zao?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…