Wababa wanalalamika kuwa watoto wanawajali mama zao zaidi

Enzi za ujima mtoto wa kiume alianza kuandamana na baba tangu akishajua kujisafisha baada ya kujisaidia. Wanakwenda kuwinda pamoja.

Hata kama unapenda mpira weka DSTV usngalie nao. Wakikozoea hata shida zao watakuambia.
Uzuri wake siku hizi wanawake nao wanajituma sana kuleta kipato nyumbani na bado wanatimiza majukumu yao kama mama kwa watoto na kama mke kwa mume.

Heshima zenu kwa hilo.
 
Baba huwa anajitoa kila kitu kuhakikisha mtoto anapata huduma zote za msingi.

Mtoto anapokuwa mkubwa mawazo na kujitoa kila kitu kipo katika kuijenga familia yake na yeye kumjali mke/mume na watoto wake.

Nafasi ya baba (babu) kuhudumiwa na kupata mahitaji kama alivyokuwa akitoa ni ndogo (afadhali kwa mama japo pia ni ndogo) sababu watoto wako bize na familia zao mpya.

Ukizingatia umri umeenda, na nguvu za mapambano hamna, upendo wa watoto hamna "UNASUBIRI KUFA TU" ili ukapumzike.
 
Hii hali wababa mnaijenga wenyewe. Hivi baba ulishawa kutaka kujua mwandiko wa mtoto wako, rafiki zake au hata mwalimu wa mtoto wako. Mapenzi si pesa tu unaziacha nyumbani. Kujenga bound na mtoto, unajenga mazoea ya kumuogesha hata mara moja kwa wiki tangu anazaliwa mpaka akiweza kuoga mwenyewe.

Kuwa na familia ni jukumu mfano wake ni jukumu la kusoma ukiwa mwanafunzi. Una uamuzi wa kuwa brother men au mwanafunzi bora. Wa Baba muelewe kuwa unavuna ulichopanda. Mtoto anaogopa hata kukuomba hela ya kalamu kalamu yake ikipotea.

Unapokwenda kula nyama choma, ulishawaza watoto wako pia wanaipenda. Kama uwezo nunua kilo mbili za nyama, unamwambia mke wako achome na wote wagaiwe. Hizi ni kumbukumbu mtoto anakua nazo.

Hakuna sumu tunayowapa watoto ni kwakua wanakumbuka wavyotapikia mikono yetu wakiwa wagonjwa na jinsi tunavyoamua kuwaachia nyama zote mezani mboga ikiwa ndogo na baba yuko kwenye tungi.
Pumba tupu!
 
Vijijini kweli, na bado utakuta mwanamke kazalishwa kama kuku. Lakini bado wanamudu majukumu kama mama na mke.
Tena kijijini baba nyumbani ni Mfalme, anawekewa mpaka maji ya kuoga bafuni. Huku Darisalama kama nyumba haina maji bafuni hii ni shughuli ya mama. Baba akishaoga huyooo.
 
Baba huwa anajitoa kila kitu kuhakikisha mtoto anapata huduma zote za msingi.

Mtoto anapokuwa mkubwa mawazo na kujitoa kila kitu kipo katika kuijenga familia yake na yeye kumjali mke/mume na watoto wake.

Nafasi ya baba (babu) kuhudumiwa na kupata mahitaji kama alivyokuwa akitoa ni ndogo (afadhali kwa mama japo pia ni ndogo) sababu watoto wako bize na familia zao mpya.

Ukizingatia umri umeenda, na nguvu za mapambano hamna, upendo wa watoto hamna "UNASUBIRI KUFA TU" ili ukapumzike.
Kusema kweli mimi sina tatizo kabisa hapo baadae kama watoto wangu watamjali mama yao kuliko mimi. Ni kitu ambacho nataka kiwe hivyo l.

Ni jambo zuri kwa watoto kuwajali mama zao kuliko sisi, hayo ni maoni yangu.
 
Tena kijijini baba nyumbani ni Mfalme, anawekewa mpaka maji ya kuoga bafuni. Huku Darisalama kama nyumba haina maji bafuni hii ni shughuli ya mama. Baba akishaoga huyooo.
Hio ni kweli lakini mie kama nyumba haina maji, umeme, au chakula; kama baba nitajiona nimefeli na sijatimiza wajibu wangu kama baba kwenye familia.
 
Kusema kweli mimi sina tatizo kabisa hapo baadae kama watoto wangu watamjali mama yao kuliko mimi. Ni kitu ambacho nataka kiwe hivyo l.

Ni jambo zuri kwa watoto kuwajali mama zao kuliko sisi, hayo ni maoni yangu.
Hapana.

Nguvu ulizo nazo sasa hivi sio kama utakazo kuwa nazo baadae, upendo na kujali bado unahitajika sana kwako baba tena kutoka kwa mama na watoto pia.

Umenifurahisha uliposema huna tatizo wakimjali mama yao (ni kma vile wewe baba sio muhimu sana, au umeshajitolea unasubiria zako kufa)
 
Hii hali wababa mnaijenga wenyewe. Hivi baba ulishawa kutaka kujua mwandiko wa mtoto wako, rafiki zake au hata mwalimu wa mtoto wako. Mapenzi si pesa tu unaziacha nyumbani. Kujenga bound na mtoto, unajenga mazoea ya kumuogesha hata mara moja kwa wiki tangu anazaliwa mpaka akiweza kuoga mwenyewe.

Kuwa na familia ni jukumu mfano wake ni jukumu la kusoma ukiwa mwanafunzi. Una uamuzi wa kuwa brother men au mwanafunzi bora. Wa Baba muelewe kuwa unavuna ulichopanda. Mtoto anaogopa hata kukuomba hela ya kalamu kalamu yake ikipotea.

Unapokwenda kula nyama choma, ulishawaza watoto wako pia wanaipenda. Kama uwezo nunua kilo mbili za nyama, unamwambia mke wako achome na wote wagaiwe. Hizi ni kumbukumbu mtoto anakua nazo.

Hakuna sumu tunayowapa watoto ni kwakua wanakumbuka wavyotapikia mikono yetu wakiwa wagonjwa na jinsi tunavyoamua kuwaachia nyama zote mezani mboga ikiwa ndogo na baba yuko kwenye tungi.
Hayo huyasemayo naona kama yana ukweli vile
 
Baba huwa anajitoa kila kitu kuhakikisha mtoto anapata huduma zote za msingi.

Mtoto anapokuwa mkubwa mawazo na kujitoa kila kitu kipo katika kuijenga familia yake na yeye kumjali mke/mume na watoto wake.

Nafasi ya baba (babu) kuhudumiwa na kupata mahitaji kama alivyokuwa akitoa ni ndogo (afadhali kwa mama japo pia ni ndogo) sababu watoto wako bize na familia zao mpya.

Ukizingatia umri umeenda, na nguvu za mapambano hamna, upendo wa watoto hamna "UNASUBIRI KUFA TU" ili ukapumzike.
Ni jukumu letu kulea watoto tulio wazaa lakini kumlea mzazi ni mapenzi.
 
Hapana.

Nguvu ulizo nazo sasa hivi sio kama utakazo kuwa nazo baadae, upendo na kujali bado unahitajika sana kwako baba tena kutoka kwa mama na watoto pia.

Umenifurahisha uliposema huna tatizo wakimjali mama yao (ni kma vile wewe baba sio muhimu sana, au umeshajitolea unasubiria zako kufa)
Najua nguvu za sasa sio kama za baadae, lakini ikitokea chochote kama watoto wangu watatakiwa kuchagua nani wa kumjali zaidi basi wamjali mama yao. Wote tunaomba watujali kwa kiwango sawa lakini kama mada ilivyosema, inaonekana wana wajali zaidi mama zao.

Ndio maana nikasema nawaandaa waweze kujitegemea wenyewe na mimi pia najiandaa kujimudu maisha ya uzeeni. Siwezi kujiachia nikasema watoto wangu watanijali nikizeeka.
 
Hii hali wababa mnaijenga wenyewe. Hivi baba ulishawa kutaka kujua mwandiko wa mtoto wako, rafiki zake au hata mwalimu wa mtoto wako. Mapenzi si pesa tu unaziacha nyumbani. Kujenga bound na mtoto, unajenga mazoea ya kumuogesha hata mara moja kwa wiki tangu anazaliwa mpaka akiweza kuoga mwenyewe.

Kuwa na familia ni jukumu mfano wake ni jukumu la kusoma ukiwa mwanafunzi. Una uamuzi wa kuwa brother men au mwanafunzi bora. Wa Baba muelewe kuwa unavuna ulichopanda. Mtoto anaogopa hata kukuomba hela ya kalamu kalamu yake ikipotea.

Unapokwenda kula nyama choma, ulishawaza watoto wako pia wanaipenda. Kama uwezo nunua kilo mbili za nyama, unamwambia mke wako achome na wote wagaiwe. Hizi ni kumbukumbu mtoto anakua nazo.

Hakuna sumu tunayowapa watoto ni kwakua wanakumbuka wavyotapikia mikono yetu wakiwa wagonjwa na jinsi tunavyoamua kuwaachia nyama zote mezani mboga ikiwa ndogo na baba yuko kwenye tungi.
Akuna kitu ka icho
 
Ni jukumu letu kulea watoto tulio wazaa lakini kumlea mzazi ni mapenzi.
Hiyo sheria ndo tatizo linapoanzia hapo hapo, kiufupi mimi naona bora tufuate sheria/maandiko ya kwenye dini angalau yanampa nafasi mzazi na sio "kulea mzazi ni mapenzi".

Kwenye dini zetu, mzazi amepewa nafasi kubwa sana na hadhi ya juu "ni wajibu" kuliko hii ya sheria za kutunga za nchi/kimataifa kwamba kumlea ni mzazi ni mapenzi.

Mimi namuwazia zaidi baba ambae amezeeka hana nguvu tena za mapambano ya kimaisha, upendo wa watoto hakuna, msaada hakuna "yani kama vile anasubiri muda wake ufike tu"
 
Hiyo sheria ndo tatizo linapoanzia hapo hapo, kiufupi mimi naona bora tufuate sheria/maandiko ya kwenye dini angalau yanampa nafasi mzazi na sio "kulea mzazi ni mapenzi".

Kwenye dini zetu, mzazi amepewa nafasi kubwa sana na hadhi ya juu "ni wajibu" kuliko hii ya sheria za kutunga za nchi/kimataifa kwamba kumlea ni mzazi ni mapenzi.

Mimi namuwazia zaidi baba ambae amezeeka hana nguvu tena za mapambano ya kimaisha, upendo wa watoto hakuna, msaada hakuna "yani kama vile anasubiri muda wake ufike tu"
Unapoanza kazi jenga mazingira utakayoishi bila ile kazi ukiwa mzee.

Hata ukiwa na mali kama huna nguvu bila ndugu yako wa damu ni rahisi kuibiwa. Hapa ndipo mapenzi na mzee yanapohitajika.
 
Hiyo sheria ndo tatizo linapoanzia hapo hapo, kiufupi mimi naona bora tufuate sheria/maandiko ya kwenye dini angalau yanampa nafasi mzazi na sio "kulea mzazi ni mapenzi".

Kwenye dini zetu, mzazi amepewa nafasi kubwa sana na hadhi ya juu "ni wajibu" kuliko hii ya sheria za kutunga za nchi/kimataifa kwamba kumlea ni mzazi ni mapenzi.

Mimi namuwazia zaidi baba ambae amezeeka hana nguvu tena za mapambano ya kimaisha, upendo wa watoto hakuna, msaada hakuna "yani kama vile anasubiri muda wake ufike tu"
Mkuu japo kisayansi inasema sie tunazeeka kabla ya wake zetu lakini mwisho wa siku jinsi unavyoishi sasa ndio itatabiri jinsi utakavyo zeeka.

Labda kwa vile niko kwenye sekta ya afya na nimeona mengi sana kiasi cha kusema kwamba, " ni kizeeka sitaki kuteseka kama hivi". Kuna wazee wanaumwa, wanateseka , na unaweza kujiuliza kama wana ndugu au?
 
Najua nguvu za sasa sio kama za baadae, lakini ikitokea chochote kama watoto wangu watatakiwa kuchagua nani wa kumjali zaidi basi wamjali mama yao. Wote tunaomba watujali kwa kiwango sawa lakini kama mada ilivyosema, inaonekana wana wajali zaidi mama zao.

Ndio maana nikasema nawaandaa waweze kujitegemea wenyewe na mimi pia najiandaa kujimudu maisha ya uzeeni. Siwezi kujiachia nikasema watoto wangu watanijali nikizeeka.
Sawa.

Vizuri, usijiachie ukizeeka kusema watoto watakusaidia japo ukizeeka pesa sio kipaumbele kama upendo kwa sababu nguvu ya kutafuta na ubunifu za kuongeza pesa unapungua kwa kiwango kikubwa.

Vijana (watoto) wana mambo mengi sana, na wanakuwa biz kupambana na maisha yao. "UPENDO HAMISHIA KWA WAJUKUU" kufill gap.
 
Mkuu japo kisayansi inasema sie tunazeeka kabla ya wake zetu lakini mwisho wa siku jinsi unavyoishi sasa ndio itatabiri jinsi utakavyo zeeka.

Labda kwa vile niko kwenye sekta ya afya na nimeona mengi sana kiasi cha kusema kwamba, " ni kizeeka sitaki kuteseka kama hivi". Kuna wazee wanaumwa, wanateseka , na unaweza kujiuliza kama wana ndugu au ?
Excellent.

Big up mkuu, upo njia sahihi na unalolifanya ni sahihi pia. Just keep it up!!
 
Back
Top Bottom