Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Jamani nimesikia leo hili swala nkasema naweza pata mawazo hapa yenye maana
kuna topic walikuwa wakijadili clouds fm ,,lakini ikanigusa nina mtoto wa mama mdogo ana miaka 23 mpaka leo ananuliwa Taulo la ndani(PD),nguo za ndani,..
kwa mchango wa wengi wakawa wanakunusha na kusema inategemea mazingira gani na umri gani@!##
kwenu wana JF dhambi kumnunulia mwanao Nguo za ndani????[/QUOTE]
size ya kiuno utauliza??? "ufataki unaaanza taratibu"