Waarabu Wenye Asili ya Kiafrika?

the man iz serous 'mtambo' coz i used to question my self, how if we are the so
called great thinkers, we are like him? huyo jamaa hawezi kujibu hoja

Jamaa labda anapepo la Talmud .lol, maana utamuona anaingia kwene thread yeyote na kuweka copy and paste yake WITHOUT ANY RELEVANCE ..BWa ha ha ha
 
Na ni kitabu cha kina nani kinaosema hivi?!
"Jehovah created the non-Jew in human form so that the Jew would not have to be served by beasts. The non-Jew is consequently an animal in human form, and commanded to serve the Jew day and night." - Midrasch Talpioth, p225-L.

Swali na jibu lako lipo in red.
wewe ni mtu wa ajabu sana-unauliza swali na unalitolea jibu? You are questions are too rhetoric
 
Jamaa labda anapepo la Talmud .lol, maana utamuona anaingia kwene thread yeyote na kuweka copy and paste yake WITHOUT ANY RELEVANCE ..BWa ha ha ha
ndiyo matatizo ya kukaririshwa vitabu visivyo na elimu ndani
zaidi ya ubishi tu sasa angalia ye anadhani kila mtu ni maamuma humu
 
Ha ha ha..sasa hivi anapekua copy and paste nyingine, ataibuka na nyingine muda si mrefu.lol
Jews May Rob and Kill Non-Jews Sanhedrin 57a . When a Jew murders a Gentile ("Cuthean"), there will be no death penalty. What a Jew steals from a Gentile he may keep.
 
Counterpunch:
Topic ya aina kama hii iliwahi kuletwa huko nyuma na ilikuwa na heading 'Sehemu zote walizopita Waarabu hapa nchini kumebakia umasikini tu'. Nakumbuka kuna mmoja alichangia kwa kuuliza: 'Na hizo sehemu nyingine zenye umasikini ambako Waarabu hawakupita, ni nani alisababisha huo umasdikini? halikupatikana jibu la kuridhisha!

Jibu la kuridhisha ni kwamba: Waarabu ndio waliosababisha umaskini Africa, hata sehemu ambazo mnaona hawakupita. Hawa watu ni wabaya sana na wamewaua "waislamu" wenzetu wengi huko Darfur.
 
Jibu la kuridhisha ni kwamba: Waarabu ndio waliosababisha umaskini Africa, hata sehemu ambazo mnaona hawakupita. Hawa watu ni wabaya sana na wamewaua "waislamu" wenzetu wengi huko Darfur.
Minor Tractates. Soferim 15, Rule 10. This is the saying of Rabbi Simon ben Yohai: Tob shebe goyyim harog ("Even the best of the gentiles should all be killed").
 
Waarabu ni watu waliofanya biashara ya utumwa kwa muda mrefu sana na victim wakubwa wa biashara hiyo haramu ni Waafrika! Wazungu pia walifanya biashara hiyo kwa muda mrefu. Kwa upande wa Wazungu wao walizaa na Waafrika ambao walichukuliwa utumwani na ndio maana kuna Wamarekani wenye asili ya Kiafrika. Hata hivyo sijawahi kusikia Waarabu wenye asili ya Kiafrika! Tuseme kwamba waarabu hawakuzaa na Waafrika au kilitokea nini hasa?

Hii mada kwa tunavyowasikia mara nyingi inataka kusema eti waarabu waliwahasi watumwa wao ili wasizaliane ndio maana wako wachache.Lakini uchache wao huko Arabuni waweza kuwa na maana pia waarabu hawakufanya biashara hii na wale walioko huko wachache ni wale waliokwenda kwa sababu nyengine za kimaisha.Pamoja na hivyo uislamu unapinga biashara ya Utumwa na kwa upande mwengine kanisa ndilo lililofanya sana biashara hii.Soma kipande hapo chini uone.

Biashara ya Utumwa na Kanisa

Mnamo mwaka 1517, Mmisionari maarufu Bishop Bartholome de Les Cacas, ambaye alikuwa rafiki wa Wahindi Wekundu alimshauri Mfalme wa Hispania kuwa Waafrika toka Afrika ya kati wangefaa sana kwa kazi ya utumwa kuliko wenyeji wa Amerika, ushauri huu ulikubaliwa na mfalme wa Hispania. Mfalme wa Hispania alitoa mkataba kwa raia wake mmoja unaomruhusu kusafirisha watumwa 4,000 kwa mwaka toka Afrika kuwapeleka visiwa vya Caribean na kwa mara ya kwanza utumwa ulianzishwa kati ya Afrika ya Wareno na Marekani ya Wahispania.
Wazungu walitajirika kutokana na nguvu kazi ya utumwa toka ng'ambo kuliko walivyofaidika kutokana na nguvu kazi huru katika nchi zao. Ombi la Bishop Batholeme delas cacas lilikuwa mamilioni ya Waafrika kutiwa utumwani. Mwanasheria P. Dcuntin mwandishi wa kitabu The Atlantic Slave Trade
amekadiria kati ya milioni 15-20. Mwanamapinduzi wa Kimarekani marehemu Malcomx alisema kuwa kiasi cha milioni 100 ya Waafrika walitiwa utumwani na kufikishwa Amerika wakiwa hai. Haijulikani idadi ya waliofia safarini.
John Hawkins alifanya safari tatu Afrika Magharibi katika miaka ya 1560, na kuchukua Waafrika ambao waliwauza kwa Wahispania Marekani. Aliporudi Uingereza baada ya safari kwanza, kwa sababu ya faida kubwa aliyopata, malkia Elizabeth wa kwanza alitamani kushiriki katika safari ya pili; na alitoa meli iitwayo Jesus (Yesu) kwa safari hiyo. Hawkins aliondoka na Jesus (meli) kuchukua watumwa Waafrika zaidi na aliporudi Uingereza alipata faida kiasi kwamba, Malkia Elizabeth alimpa nishani. Hawkins aliamua kuwa nembo ya cheo chake kuwa alama ya Mwafrika aliyefungwa minyororo.(1)
Maaskofu na wachungaji wa kanisa wa ngazi za chini, walikuwa na watumwa wao waliofanya kazi mashambani, kuwabeba machela mabwana zao, wachungaji walipelekwa huko na huko katika safari zao. (2) Hayo yalifanyika sehemu nyingi za Afrika na kwingineko makanisa yalikokuwa yakijengwa enzi hizoza biashara ya utumwa. Na wale watumwa waliokamatwa Marekani walibatizwa kwa mpigo wakati wakipakiwa melini. Askofu alijengewa kiti maalum gatini kwa ajili ya kazi hiyo
 
TUPO WENGI SANA WAARABU WENYE ASLI YA AFRICA. NA MIMI NI MMOJA WAPO.

Katika oman wapo sehemu za suur. bongo tupo wengi sana. nenda znz
 
Hii mada kwa tunavyowasikia mara nyingi inataka kusema eti waarabu waliwahasi watumwa wao ili wasizaliane ndio maana wako wachache.Lakini uchache wao huko Arabuni waweza kuwa na maana pia waarabu hawakufanya biashara hii na wale walioko huko wachache ni wale waliokwenda kwa sababu nyengine za kimaisha.Pamoja na hivyo uislamu unapinga biashara ya Utumwa na kwa upande mwengine kanisa ndilo lililofanya sana biashara hii.Soma kipande hapo chini uone

Utumwa ulifanywa na westerners na ukristo wao and waarabu na uislamu wao. Kwa hili wote ni wa kupigwa nyundo.
 
Mbona Tupo hivi Waafrika jamani? Tumekuwa wepesi wa kubaguana hasa wenyewe kwa wenyewe kisa hawa watu wa nje {Waarabu na Wazungu} kuna interest gani tunaipata hasa kwenye huu ubaguzi? Nina Imani kuwa hatutaweza kuendelea ikiwa hii dhana ya umimi au usisi na uwao ikiendelea vichwani mwetu. {Mbona tunajisikia sana wakati sio waanzilishi wa DINI hata mmoja, mbona unanibagua kwa dini wakati hakuna hata NABII m1 kutoka kwenu, aliyeandikwa kwenye vitabu vya DINI unayo itetea?}. Mbona Hatupendani Jamani!
 
Biashara ya Utumwa na Kanisa

Mnamo mwaka 1517, Mmisionari maarufu Bishop Bartholome de Les Cacas, ambaye alikuwa rafiki wa Wahindi Wekundu alimshauri Mfalme wa Hispania kuwa Waafrika toka Afrika ya kati wangefaa sana kwa kazi ya utumwa kuliko wenyeji wa Amerika, ushauri huu ulikubaliwa na mfalme wa Hispania. Mfalme wa Hispania alitoa mkataba kwa raia wake mmoja unaomruhusu kusafirisha watumwa 4,000 kwa mwaka toka Afrika kuwapeleka visiwa vya Caribean na kwa mara ya kwanza utumwa ulianzishwa kati ya Afrika ya Wareno na Marekani ya Wahispania.
Wazungu walitajirika kutokana na nguvu kazi ya utumwa toka ng'ambo kuliko walivyofaidika kutokana na nguvu kazi huru katika nchi zao. Ombi la Bishop Batholeme delas cacas lilikuwa mamilioni ya Waafrika kutiwa utumwani. Mwanasheria P. Dcuntin mwandishi wa kitabu The Atlantic Slave Trade
amekadiria kati ya milioni 15-20. Mwanamapinduzi wa Kimarekani marehemu Malcomx alisema kuwa kiasi cha milioni 100 ya Waafrika walitiwa utumwani na kufikishwa Amerika wakiwa hai. Haijulikani idadi ya waliofia safarini.
John Hawkins alifanya safari tatu Afrika Magharibi katika miaka ya 1560, na kuchukua Waafrika ambao waliwauza kwa Wahispania Marekani. Aliporudi Uingereza baada ya safari kwanza, kwa sababu ya faida kubwa aliyopata, malkia Elizabeth wa kwanza alitamani kushiriki katika safari ya pili; na alitoa meli iitwayo Jesus (Yesu) kwa safari hiyo. Hawkins aliondoka na Jesus (meli) kuchukua watumwa Waafrika zaidi na aliporudi Uingereza alipata faida kiasi kwamba, Malkia Elizabeth alimpa nishani. Hawkins aliamua kuwa nembo ya cheo chake kuwa alama ya Mwafrika aliyefungwa minyororo.(1)
Maaskofu na wachungaji wa kanisa wa ngazi za chini, walikuwa na watumwa wao waliofanya kazi mashambani, kuwabeba machela mabwana zao, wachungaji walipelekwa huko na huko katika safari zao. (2) Hayo yalifanyika sehemu nyingi za Afrika na kwingineko makanisa yalikokuwa yakijengwa enzi hizoza biashara ya utumwa. Na wale watumwa waliokamatwa Marekani walibatizwa kwa mpigo wakati wakipakiwa melini. Askofu alijengewa kiti maalum gatini kwa ajili ya kazi hiyo
Portuguese Jews, who had developed their mastery of the slave trade off the west coast of Africa on the island of Sao Thome where they employed up to 3,000 black slaves. They arrived in Brazil in 1503 and by 1600 the bulk of the slave trade and up to 100 plantations in Brazil, with some 10,000 black slaves, were in the hands of the Jews. In the mid 1600,s slave revolts and war with Portugal caused many Jews to leave for the Caribbean, Amsterdam and New Amsterdam (later New York).
Jews could buy slaves cheaper from their co-religionists (there was one price for the Jew and one price for the other or goim) and then sell them to the plantation owners at profits of up to 300% with interest of 3-4% monthly. Slaves were also rented at exorbitant rates to non-Jews to the extent that Adrian Lems, on June 13, 1643 wrote to his company that non-Jewish planters could not prosper because the price and interest on slaves was too high. According to Arnold Wiznitzer in "Jews in colonial Brazil "if it happened that the date of such an auction fell on a Jewish holiday the auction had to be postponed. This occurred on Friday, October 16th, 1644."
Slavery was a major feature of Jewish life in Surinam where slaves, often kept nearly naked and fed only yams and bananas. Slaves were often given away as gifts. By 1730 there were some 1,300 Jews in Surinam, a third of the white population. There were 400 plantations where some 80,000 black slaves toiled.
Tortures included flogging, mutilations such as slitting of noses or cutting off ears, hanging and quartering, drowning, starvation and burning alive.
Slaves sometimes chose suicide and would swallow their tongues or jump into boiling sugar cane.
When the government considered passing a law to idle slaves on the Sabbath the Jews protested saying it would be a "crippling disability".
The English explorer Captain John Gabriel Stedman wrote in his narrative of his expeditions of witnessing an execution of a slave presided over by a Jew named De Vries in Surinam. The Black man was laid upon a wooden cross with arms and legs expanded and was fastened by ropes and his hand chopped off.
Kwa hiyo tunaona kabla ya Kanisa kuiingilia biashara ya Utumwa Mayahudi tayari walishaianza na kulwafundisha Wakristi baadae.
Itaendelea Inshaalah
 
kuwatetea waarabu kuwa hawana ubaguzi, ni sawa na kuitetea qurani ambayo mwisho utaishiwa point?
Hivi ndio Torah inavyosema:
Genesis 9: 25 And he said, Cursed be Canaan; a servant of servants shall he be unto his brethren.
[26] And he said, Blessed be the LORD God of Shem; and Canaan shall be his servant.
[27] God shall enlarge Japheth, and he shall dwell in the tents of Shem; and Canaan shall be his servant".
Hii Genesis 9:25-27 ndio inayopendwa sana na Mayahudi kwa sababu inatoa ruhusa ya vizazi vya Haam (inasemekana ni Waafrica) wafanywe kuwa ni watumwa.
Kutokana na hii Genesis 9:25-27 wao Waafrica watakuwa watumwa daima. Nenda kaangalie Mombasa jinsi Mayahudi wanavyowafanya wanawake wa Kiafrica!
Kwa bahati "mbaya zaidi" ni wanawake wa Kikristo wanaotoka sehemu nyingine kuja Mombasa kufanya "Kazi". Nina maanisha "ndugu" zao wanaochangia Kitabu (Torah)!
*Na ni kwa nini Sephardic Jews wanaitwa kooshim huko "Israel"?!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom