Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,402
- 320
kwa hiyo ni sababu tosha mwarabu ama mhindi kutokuwa mhindi ama mwarabu kwa vile amezaliwa afrika? asili itabnaki pale pale hata ungezaliwa wapi, uarabu ni uarabu na kuzaliwa afrika ni kitu kingineSoma kitabu kipya cha Mahmood Mamdani, kinaonesha kuwa kuna Waarabu wenye asili ya Afrika huko Sudan. Tena ni wazawa kabisa wa Afrika. Kitabu hicho kinaitwa Saviours and Survivors: Darfur, Politics, and the War on Terror.
hivyo hata tukisoma kitabu hicho hakina jipya la kuwatenganisha kwa asili ya kuzaliwa