Waarabu Wenye Asili ya Kiafrika?

Angalia hapa na uone aibu. Hizi sio picha za kuchora.Hao ni babu na bibi zetu waliokuwa wanafanywa hvyo!

74.jpg

Google Image Result for http://wysinger.homestead.com/74.jpg

Amandla.......
 
Tippu Tip aliandika autobiography yake kwa kiswahili lakini alitumia script ya kiarabu. Dr. Heinrich Brode ndiye aliyeandika kwa script ya kirumi. Unachokisoma ni kitabu alichoandika mmisheni. Sasa kama hao wamisheni wote walikuwa na ajenda ya siri, kwa nini unaamini maneno ya mmoja wao? Kitabu chenyewe hiki hapa:Maisha ya Hamed bin Mohammed el Murjebi yaani Tippu Tip kwa maneno yake mwenyewe, kimefasiriwa na W.H. Whitely (toleo la Kiswahili - Kiingereza), East Africa Literature Bureau 1974.

Hatuko kubishana bali kutafuta ukweli.

Amandla........
 
Tippu Tip or Tib (1837 - June 14, 1905), real name Hamad bin Muḥammad bin Jumah bin Rajab bin Muḥammad bin Sa‘īd al-Murgabī, (Arabic: حمد بن محمد بن جمعة بن رجب بن محمد بن سعيد المرجبي‎), was a Swahili-Zanzibari trader, notorious slaver, plantation owner and governor. Working for a succession of sultans of Zanzibar, he led many trading expeditions into east-central Africa, sometimes involving the slave trade and ivory. He constructed profitable trading posts that reached deep into Central Africa.
He built himself a trading empire that he then translated into clove plantations on Zanzibar. Abdul Sheriff reports that when he left for his twelve years of "empire building" on the mainland, he had no plantations of his own. However, by 1895, he had acquired "seven shambas [plantations] and 10,000 slaves."
Abdul Sherif si mmisheni lakini ameandika kuwa ndugu yake Masoud M. Said alikuwa na mashamba makubwa saba na WATUMWA 10,000! Hao watumwa aliwapataje kama hakujihusisha na biashara ya utumwa?

Soma hapa ( paragraph ya mwisho) alivyosema mwenye kuhusu jinsi alivyowakamata watu mia nane uzaramuni akawafunga kamba (yoke) na kuwapeleka Mkamba! Vibarua unawafunga kamba?

http://books.google.com/books?id=y3...&resnum=4&ved=0CCIQ6AEwAw#v=onepage&q&f=false



Amandla......
 
Angalia hapa na uone aibu. Hizi sio picha za kuchora.Hao ni babu na bibi zetu waliokuwa wanafanywa hvyo!

View attachment 10595

Google Image Result for http://wysinger.homestead.com/74.jpg

Amandla.......
Fundi kwanza ulikanusha kuwa hicho kitabu hakuna.Sasa umetafuta umekiona.Ni mkusanyiko wa barua za Tippu Tip alizoziandika wakati huo huo unaoitwa wa biashara ya utumwa na si maandishi ya baada ya kile kinachoitwa kusimamishwa biashara ya utumwa, kama ambavyo ulimdhania mwanzo Tippu Tipu.
Fundi Mchundo weka akili yako sawa,usipagawe kwa kushtushwa na ukweli.Hizo picha unazosema,ni za bibi na babu zetu,ni za bibi na babu wetu sote,na si za wa kwako peke yako unayeingia kanisani.Mbona wewe unajitia maumivu zaidi.Huoni kwamba unatumika?.
Upande mwengine unasema Hizi sio picha za kuchora.Nani kakuhakikishia hivyo!.Tuseme ni kweli ni hivyo,mbona ni katika meli ya wazungu,ati walipewa agizo wasiwarudishe makwao kwa sababu wangeweza kukamatwa tena,badala yake wawapeleke Marekani.Uhuru huu wewe unaukubali?.Huoni kwamba ni uongo wa wafanyabiashara ya utumwa tu,yaani wazungu wakristo.

Hapo sokoni kwenye watumwa nani alikuwa muuzaji na nani mnunuzi?.
 
Fundi kwanza ulikanusha kuwa hicho kitabu hakuna.Sasa umetafuta umekiona.Ni mkusanyiko wa barua za Tippu Tip alizoziandika wakati huo huo unaoitwa wa biashara ya utumwa na si maandishi ya baada ya kile kinachoitwa kusimamishwa biashara ya utumwa, kama ambavyo ulimdhania mwanzo Tippu Tipu.
Fundi Mchundo weka akili yako sawa,usipagawe kwa kushtushwa na ukweli.Hizo picha unazosema,ni za bibi na babu zetu,ni za bibi na babu wetu sote,na si za wa kwako peke yako unayeingia kanisani.Mbona wewe unajitia maumivu zaidi.Huoni kwamba unatumika?.
Upande mwengine unasema Hizi sio picha za kuchora.Nani kakuhakikishia hivyo!.Tuseme ni kweli ni hivyo,mbona ni katika meli ya wazungu,ati walipewa agizo wasiwarudishe makwao kwa sababu wangeweza kukamatwa tena,badala yake wawapeleke Marekani.Uhuru huu wewe unaukubali?.Huoni kwamba ni uongo wa wafanyabiashara ya utumwa tu,yaani wazungu wakristo.

Hapo sokoni kwenye watumwa nani alikuwa muuzaji na nani mnunuzi?.

Sijawahi kukanusha bali nilikuambia uniambie nani alikiandika. Nilipoona unapata kigugumizi nikakitafuta. Si mkusanyiko wa barua bali ni simulizi ya maisha yake. Ndani mwake hajakana kuwa hakuhusika na biashara ya utumwa bali alielezea jinsi alivyoingia katika biashara ya pembe za ndoviu na utumwa!

Wewe babu zako ni wale waliovaa kanzu na mimi babu zangu na bibi zangu ni wale waliochuchumaa chini. Haiwezekani tukaona uchungu sawa. Wale waliochuchumaa wangekuwa ni babu na bibi zako hata siku moja usingewatetea hao waliovaa kanzu hata kama mna dini moja.

Moja ya picha (photograph) ni kwenye dau na nyingine ni kwenye meli ya wazungu ambao walikuwa wameweka blockade kwenye kisiwa cha unguja kuzuia madau yasisafirishe watumwa. Wakati picha hizi zikipigwa biashara ya utumwa ilikuwa imeishapigwa marufuku ulaya na marekani. Kutokana na hilo, ni kweli kuwa kuna wazungu walikuwa wanakuja Zanzibar kununua watumwa ili kuwapeleka Marekani (kaskazini na kusini) , Mauritius n.k. Hao wangepelekwa marekani wangekutana na aina nyingine ya utumwa lakini si ule wa kufanywa bidhaa. Hata hivyo hakuna mahali ambapo nimekana ushiriki wa wazungu na wakristu katika biashara hii dhalimu. Ninachokisema biashara hii katika eneo letu iliendeshwa kwa kiasi kikubwa na waarabu.

Unataka kutuambia kuwa waarabu hawakuhusika na biashara ya utumwa? yaani kwa akili zako unataka kusema kuwa ni wazungu ndiyo walioingia ndani ya Tanganyika, kukamata watumwa. Wazungu ndio waliokuwa na yale ma karavanserai Bagamoyo ambamo waliweka watumwa wao kanbla ya kuwasafirisha Unguja. Na ni wazungu ambao waliendesha soko la watumwa Zanzibar! Waarabu walikaa pembeni wakisikitika kuhusu ukatili wa hawa wazungu! Are you really serious!

Kwenye soko muuzaji, dalali mara zote walikuwa waarabu. wanunuzi walitoka sehemu nyingi za dunia. mwanzoni karibu wote walikuwa waarabu na pengine wahindi lakini baada biashara ya trans atlantic ilipobanwa, wazungu nao walikuja kununua watumwa. Waafrika walihusika katika kuwauza ndugu zao na mateka yao kwa waarabu walioingia ndani ya nchi kama wakina Tippu Tip.

Amandla.........
 
Sijawahi kukanusha bali nilikuambia uniambie nani alikiandika. Nilipoona unapata kigugumizi nikakitafuta. Si mkusanyiko wa barua bali ni simulizi ya maisha yake. Ndani mwake hajakana kuwa hakuhusika na biashara ya utumwa bali alielezea jinsi alivyoingia katika biashara ya pembe za ndoviu na utumwa!

Wewe babu zako ni wale waliovaa kanzu na mimi babu zangu na bibi zangu ni wale waliochuchumaa chini. Haiwezekani tukaona uchungu sawa. Wale waliochuchumaa wangekuwa ni babu na bibi zako hata siku moja usingewatetea hao waliovaa kanzu hata kama mna dini moja.

Moja ya picha (photograph) ni kwenye dau na nyingine ni kwenye meli ya wazungu ambao walikuwa wameweka blockade kwenye kisiwa cha unguja kuzuia madau yasisafirishe watumwa. Wakati picha hizi zikipigwa biashara ya utumwa ilikuwa imeishapigwa marufuku ulaya na marekani. Kutokana na hilo, ni kweli kuwa kuna wazungu walikuwa wanakuja Zanzibar kununua watumwa ili kuwapeleka Marekani (kaskazini na kusini) , Mauritius n.k. Hao wangepelekwa marekani wangekutana na aina nyingine ya utumwa lakini si ule wa kufanywa bidhaa. Hata hivyo hakuna mahali ambapo nimekana ushiriki wa wazungu na wakristu katika biashara hii dhalimu. Ninachokisema biashara hii katika eneo letu iliendeshwa kwa kiasi kikubwa na waarabu.

Unataka kutuambia kuwa waarabu hawakuhusika na biashara ya utumwa? yaani kwa akili zako unataka kusema kuwa ni wazungu ndiyo walioingia ndani ya Tanganyika, kukamata watumwa. Wazungu ndio waliokuwa na yale ma karavanserai Bagamoyo ambamo waliweka watumwa wao kanbla ya kuwasafirisha Unguja. Na ni wazungu ambao waliendesha soko la watumwa Zanzibar! Waarabu walikaa pembeni wakisikitika kuhusu ukatili wa hawa wazungu! Are you really serious!

Kwenye soko muuzaji, dalali mara zote walikuwa waarabu. wanunuzi walitoka sehemu nyingi za dunia. mwanzoni karibu wote walikuwa waarabu na pengine wahindi lakini baada biashara ya trans atlantic ilipobanwa, wazungu nao walikuja kununua watumwa. Waafrika walihusika katika kuwauza ndugu zao na mateka yao kwa waarabu walioingia ndani ya nchi kama wakina Tippu Tip.

Amandla.........


Kitabu ulichokiona wewe kwenye google inaonesha ni tofauti na nilichonacho mimi.Cha kwangu kinaitwa Maisha ya Hamed bin Muhammad el-Marjeb na kimetolewa na hao hao East African Literature Bureau.Hebu tutajie sehemu inayosema yeye kasema kuwa aliingia kwenye biashara ya pembe za ndovu na utumwa, ili tuone iwapo ni kitabu hicho hicho.
Katika wale waliochuchumaa na waliovaa kanzu bibi yako ni yupi na akiitwa nani na mimi babu yangu ni yupi na akiitwa nani?.Wewe unasema wale waliochuchumaa ndio wa kwako na wa kwangu ni wale waliovaa kanzu.Upuuzi wako mwengine ni kulazimisha hivyo kwa nia ya kujenga hoja mbovu,ilhali babu zako yawezekana ni wale waliovaa kanzu na mimi ni wale waliochuchumaa.Ulichonacho si uchungu kwamba bibi yako alikuwa mtumwa, bali chuki ya kulazimisha.Wewe hapana shaka umewahi kufiwa na baba ama mke,mtoto na kadhalika. Hivi machozi kwa ajili yao unayapata kila siku ukiwakumbuka.?.hilo si katika maumbile.Hivyo dalili ni ile ile kwamba wewe huna uchungu bali una chuki ya kupandikizwa.
Umesema Wakati picha hizi zikipigwa biashara ya utumwa ilikuwa imeishapigwa marufuku ulaya na marekani. Kutokana na hilo, ni kweli kuwa kuna wazungu walikuwa wanakuja Zanzibar kununua watumwa ili kuwapeleka Marekani (kaskazini na kusini) , Mauritius n.k. Hao wangepelekwa marekani wangekutana na aina nyingine ya utumwa lakini si ule wa kufanywa bidhaa.
Kwa mara ya mwanzo hapa umekiri kuwa wazungu na wakristo walishiriki biashara hii haramu ya utumwa,tofauti na hata kiini cha hii mada na ukanushaji wenu kabla.Ikiwa wazungu wakristo wakija kununua kwa meli huoni kwamba walikuwa ni wababe wa biashara hii na hivyo walichokifanya ni kuwanyang’anya waarabu dhaifu watumwa wao tu ili wakawauze wao.Au una ushahidi zaidi kuonesha nani alikuwa akiwalipa wakamataji wa watumwa na nani alikuwa akiwazuia maharamia wa meli za watumwa wasiendelee kununua na kuuza?.Na nani alikuuwa akiwafuata kuangalia walipokuwa wakiwapeleka watumwa wao?,iwapo ni Carribean au Marekani kwenyewe.Haiwi leo meli zote za kivita zimeshindwa kuzuia maharamia wa kisomali wasiteke meli itakuwa enzi hizo!.
Kuhusu nani alikuwa mfanyabiashara mkubwa wa watumwa kila mwenye akili timamu anajua kuwa ni wazungu na ndiyo sababu halisi ya mwanzo kwanini watu wenye asili ya afrika wako wengi huko.Hivi mchuuzi wa kitu na mnunuzi wa jumla nani aitwe tajiri wa bidhaa hiyo?.Kuhusu hizi caravan ikiwa uko tayari tuendelee kuwajadili Stanley,Livingstone na Tippu Tip tuone nani mkweli na nani muongo.
Umesema:
Kwenye soko muuzaji, dalali mara zote walikuwa waarabu. wanunuzi walitoka sehemu nyingi za dunia. mwanzoni karibu wote walikuwa waarabu na pengine wahindi lakini baada biashara ya trans atlantic ilipobanwa, wazungu nao walikuja kununua watumwa. Waafrika walihusika katika kuwauza ndugu zao na mateka yao kwa waarabu walioingia ndani ya nchi kama wakina Tippu Tip.
Hapa baada ya kupekua umeanza kuuona ukweli kwamba waarabu walikuwa madalali tu,sasa muna nia gani nyinyi kuwapakazia waarabu kuwa ndio wafanya biashara wakubwa wa utumwa?.
 
Kitabu ulichokiona wewe kwenye google inaonesha ni tofauti na nilichonacho mimi.Cha kwangu kinaitwa Maisha ya Hamed bin Muhammad el-Marjeb na kimetolewa na hao hao East African Literature Bureau.Hebu tutajie sehemu inayosema yeye kasema kuwa aliingia kwenye biashara ya pembe za ndovu na utumwa, ili tuone iwapo ni kitabu hicho hicho.
Katika wale waliochuchumaa na waliovaa kanzu bibi yako ni yupi na akiitwa nani na mimi babu yangu ni yupi na akiitwa nani?.Wewe unasema wale waliochuchumaa ndio wa kwako na wa kwangu ni wale waliovaa kanzu.Upuuzi wako mwengine ni kulazimisha hivyo kwa nia ya kujenga hoja mbovu,ilhali babu zako yawezekana ni wale waliovaa kanzu na mimi ni wale waliochuchumaa.Ulichonacho si uchungu kwamba bibi yako alikuwa mtumwa, bali chuki ya kulazimisha.Wewe hapana shaka umewahi kufiwa na baba ama mke,mtoto na kadhalika. Hivi machozi kwa ajili yao unayapata kila siku ukiwakumbuka.?.hilo si katika maumbile.Hivyo dalili ni ile ile kwamba wewe huna uchungu bali una chuki ya kupandikizwa.
Umesema Wakati picha hizi zikipigwa biashara ya utumwa ilikuwa imeishapigwa marufuku ulaya na marekani. Kutokana na hilo, ni kweli kuwa kuna wazungu walikuwa wanakuja Zanzibar kununua watumwa ili kuwapeleka Marekani (kaskazini na kusini) , Mauritius n.k. Hao wangepelekwa marekani wangekutana na aina nyingine ya utumwa lakini si ule wa kufanywa bidhaa.
Kwa mara ya mwanzo hapa umekiri kuwa wazungu na wakristo walishiriki biashara hii haramu ya utumwa,tofauti na hata kiini cha hii mada na ukanushaji wenu kabla.Ikiwa wazungu wakristo wakija kununua kwa meli huoni kwamba walikuwa ni wababe wa biashara hii na hivyo walichokifanya ni kuwanyang’anya waarabu dhaifu watumwa wao tu ili wakawauze wao.Au una ushahidi zaidi kuonesha nani alikuwa akiwalipa wakamataji wa watumwa na nani alikuwa akiwazuia maharamia wa meli za watumwa wasiendelee kununua na kuuza?.Na nani alikuuwa akiwafuata kuangalia walipokuwa wakiwapeleka watumwa wao?,iwapo ni Carribean au Marekani kwenyewe.Haiwi leo meli zote za kivita zimeshindwa kuzuia maharamia wa kisomali wasiteke meli itakuwa enzi hizo!.
Kuhusu nani alikuwa mfanyabiashara mkubwa wa watumwa kila mwenye akili timamu anajua kuwa ni wazungu na ndiyo sababu halisi ya mwanzo kwanini watu wenye asili ya afrika wako wengi huko.Hivi mchuuzi wa kitu na mnunuzi wa jumla nani aitwe tajiri wa bidhaa hiyo?.Kuhusu hizi caravan ikiwa uko tayari tuendelee kuwajadili Stanley,Livingstone na Tippu Tip tuone nani mkweli na nani muongo.
Umesema:
Kwenye soko muuzaji, dalali mara zote walikuwa waarabu. wanunuzi walitoka sehemu nyingi za dunia. mwanzoni karibu wote walikuwa waarabu na pengine wahindi lakini baada biashara ya trans atlantic ilipobanwa, wazungu nao walikuja kununua watumwa.Waafrika walihusika katika kuwauza ndugu zao na mateka yao kwa waarabu walioingia ndani ya nchi kama wakina Tippu Tip.
Hapa baada ya kupekua umeanza kuuona ukweli kwamba waarabu walikuwa madalali tu,sasa muna nia gani nyinyi kuwapakazia waarabu kuwa ndio wafanya biashara wakubwa wa utumwa?.

Mimi nina wasiwasi kama unajua kusoma. Sijawahi kukana kuwa wazungu walijihusisha na biashara ya watumwa. Angalia nilioandika hapo chini. Ni wewe ndiye unayedaikuwa waarabu hawakujihusisha na utumwa.

Stanley kwa taarifa yako hakupinga utumwa. Yeye alikuja kumtafuta Livingstone. Livingstone ndiye aliyekuwa akipinga utumwa ingawa wazungu wengi walikuwa bado wanaukubali. Msitake kuingiza suala la ukristu na uislamu humu ndani. Uarabu si uislamu kama vile uzungu si ukristu. Hapa wanalaumiwa waarabu waliojihusisha na biashara hiyo. Hakuna anayekana kuwa wazungu na waafrika nao hawakujihusisha na biashara hiyo. Wote hao wanastahili kulaumiwa.

Ingekuwa babu yako au bibi yako ni mmoja wa hao waliochuchumaa lana zao zingekufikia kwa jinsi unavyowatetea hao waliowafanya watumwa. Mimi ni mtu mweusi na nina hesabu wote waliokuwa victim katika biashara hii ni babu zangu na bibi zangu. Kama ndugu yangu angekuwa amekufa kwa kuteswa na mtu mwingine, ndiyo ningekuwa nina uchungu kila nikimkumbuka. Kama vile nilivyo na uchungu na wale wote waliofanywa watumwa na waarabu, wazungu, wachina na wengineo.

Sasa kama kitabu ulikuwa nacho kigugumizi cha nini kukitaja? Mbona hautaji nani alikiandika. Hao watwana 800 aliowakamata na kuwafunga aliwafanya nini baada ya safari?Mimi nilikuuliza, kibarua gani unayemfunga minyororo na umeshindwa kujibu. Na hayo ni maneno yake mwenyewe Tippu Tip.

Nimesema waarabu walikuwa WAUZAJI na madalali wewe umeona udalali tu! wamekupa nini hao waarabu?
Hakuna mahali niliposema kuwa waarabu walikuwa madalali tu. Waarabu walisimamia biashara ya utumwa katika eneo letu hata kabla Vasco da gama hajatia mguu. Sasa wakati huo walikuwa madalali wa nani? Ukweli ni kuwa waarabu walikuwa wamiliki na waendelezaji wakuu wa biashara ya watumwa hapa kwetu kama vile walivyokuwa wazungu wakristu kwenye bahari ya Atlantiki.

Amandla.......
 
Mimi nina wasiwasi kama unajua kusoma. Sijawahi kukana kuwa wazungu walijihusisha na biashara ya watumwa. Angalia nilioandika hapo chini. Ni wewe ndiye unayedaikuwa waarabu hawakujihusisha na utumwa.



Ingekuwa babu yako au bibi yako ni mmoja wa hao waliochuchumaa lana zao zingekufikia kwa jinsi unavyowatetea hao waliowafanya watumwa. Mimi ni mtu mweusi na nina hesabu wote waliokuwa victim katika biashara hii ni babu zangu na bibi zangu. Kama ndugu yangu angekuwa amekufa kwa kuteswa na mtu mwingine, ndiyo ningekuwa nina uchungu kila nikimkumbuka. Kama vile nilivyo na uchungu na wale wote waliofanywa watumwa na waarabu, wazungu, wachina na wengineo.

Sasa kama kitabu ulikuwa nacho kigugumizi cha nini kukitaja? Mbona hautaji nani alikiandika. Hao watwana 800 aliowakamata na kuwafunga aliwafanya nini baada ya safari?Mimi nilikuuliza, kibarua gani unayemfunga minyororo na umeshindwa kujibu. Na hayo ni maneno yake mwenyewe Tippu Tip.

Nimesema waarabu walikuwa WAUZAJI na madalali wewe umeona udalali tu! wamekupa nini hao waarabu? Hakuna mahali niliposema kuwa waarabu walikuwa madalali tu. Waarabu walisimamia biashara ya utumwa katika eneo letu hata kabla Vasco da gama hajatia mguu. Sasa wakati huo walikuwa madalali wa nani? Ukweli ni kuwa waarabu walikuwa wamiliki na waendelezaji wakuu wa biashara ya watumwa hapa kwetu kama vile walivyokuwa wazungu wakristu kwenye bahari ya Atlantiki.

Amandla.......
Mimi sijawatetea wafanya biashara ya utumwa bali napinga uongo kwamba wafanyaji wakubwa wa biashara ya utumwa ni waarabu.
Hapa sasa naona unatoka kwenye mada ya utumwa na kuingia kwenye ubaguzi wa rangi.Ati "Mimi ni mtu mweusi na nina hesabu wote waliokuwa victim katika biashara hii ni babu zangu na bibi zangu" kwani mimi ni rangi gani na Tippu Tipu alikuwa rangi gani.Kwa upande mwengine wamanyema na machifu waliokuwa wauzaji wa watumwa pia walikuwa rangi gani?
Wewe unaposoma inaelekea huelewi ndio maana unachanganya vitu.Tippu Tipu tumesema watu aliowafunga minyororo walitaka kumpora biashara yake huku akiwa tayari keshawalipa,hakusema kwamba aliwauza.Tunapaswa tumuamini Tippu kwa aina ya maelezo yake na alivyokuwa akiwafanyia wafanyakazi alikopita.Hakulazimisha mtu kumbebea mizigo yake.Alipokosa aliwacha mizigo yake na kwenda mbali kufuata wengine.
Stanley na Livingstone ni watu waliotaka sifa na walisema uongo mwingi kufurahissha kwao na kujipatia hiyo sifa kwa upande mmoja.Upande mwengine walikuwa wakijenga mazingira ya kuliingiza kanisa Afrika.
Wewe unashangaa watwana 800 hushangai milioni 15-20 na wengine wakasema milioni 100 waliopelekwa utumwani Ulaya.Ukiwa umesahau ngoja nikukumbushe.

Biashara ya Utumwa na Kanisa

Mnamo mwaka 1517, Mmisionari maarufu Bishop Bartholome de Les Cacas, ambaye alikuwa rafiki wa Wahindi Wekundu alimshauri Mfalme wa Hispania kuwa Waafrika toka Afrika ya kati wangefaa sana kwa kazi ya utumwa kuliko wenyeji wa Amerika, ushauri huu ulikubaliwa na mfalme wa Hispania. Mfalme wa Hispania alitoa mkataba kwa raia wake mmoja unaomruhusu kusafirisha watumwa 4,000 kwa mwaka toka Afrika kuwapeleka visiwa vya Caribean na kwa mara ya kwanza utumwa ulianzishwa kati ya Afrika ya Wareno na Marekani ya Wahispania.
Wazungu walitajirika kutokana na nguvu kazi ya utumwa toka ng'ambo kuliko walivyofaidika kutokana na nguvu kazi huru katika nchi zao. Ombi la Bishop Batholeme delas cacas lilikuwa mamilioni ya Waafrika kutiwa utumwani. Mwanasheria P. Dcuntin mwandishi wa kitabu The Atlantic Slave Trade
amekadiria kati ya milioni 15-20. Mwanamapinduzi wa Kimarekani marehemu Malcomx alisema kuwa kiasi cha milioni 100 ya Waafrika walitiwa utumwani na kufikishwa Amerika wakiwa hai. Haijulikani idadi ya waliofia safarini.
John Hawkins alifanya safari tatu Afrika Magharibi katika miaka ya 1560, na kuchukua Waafrika ambao waliwauza kwa Wahispania Marekani. Aliporudi Uingereza baada ya safari kwanza, kwa sababu ya faida kubwa aliyopata, malkia Elizabeth wa kwanza alitamani kushiriki katika safari ya pili; na alitoa meli iitwayo Jesus (Yesu) kwa safari hiyo. Hawkins aliondoka na Jesus (meli) kuchukua watumwa Waafrika zaidi na aliporudi Uingereza alipata faida kiasi kwamba, Malkia Elizabeth alimpa nishani. Hawkins aliamua kuwa nembo ya cheo chake kuwa alama ya Mwafrika aliyefungwa minyororo.(1)
Maaskofu na wachungaji wa kanisa wa ngazi za chini, walikuwa na watumwa wao waliofanya kazi mashambani, kuwabeba machela mabwana zao, wachungaji walipelekwa huko na huko katika safari zao. (2) Hayo yalifanyika sehemu nyingi za Afrika na kwingineko makanisa yalikokuwa yakijengwa enzi hizoza biashara ya utumwa. Na wale watumwa waliokamatwa Marekani walibatizwa kwa mpigo wakati wakipakiwa melini. Askofu alijengewa kiti maalum gatini kwa ajili ya kazi hiyo


progress.gif
Hapa tunaona kuwa Malkia ambaye ni mzungu zaidi alitamani kufanya biashara hii kwa jinsi ilivyokuwa na faida.Akatoa meli inayoitwa YESU kufanya biashara hii.Mapadri au maaskofu walikuwa na kiti maalum gatini kuwashika watumwa vichwa na kuwabatiza kabla kuingia melini.
Jee hawa hawakuumi au si mababu na mabibi zako,au kwa vile waliofanya hivyo ni wazungu,wakristo chini ya usimamizi maaskofu, na kwa vile si waarabu! unaowachukia.
 
Mimi sijawatetea wafanya biashara ya utumwa bali napinga uongo kwamba wafanyaji wakubwa wa biashara ya utumwa ni waarabu.

Swali unalokwepa kujibu ni: "jee waarabu walihusika na biashara ya utumwa?" Je waarabu walikuwa na watumwa? Jee waarabu walinunua na kuuza binadamu wenzao kama watumwa? Kama waarabu hawakuwa wafanyabiashara wakubwa hapa kwetu, nani alikuwa basi ndiye aliyemiliki biashara ya watumwa hapa kwetu.

Hapa sasa naona unatoka kwenye mada ya utumwa na kuingia kwenye ubaguzi wa rangi.Ati "Mimi ni mtu mweusi na nina hesabu wote waliokuwa victim katika biashara hii ni babu zangu na bibi zangu" kwani mimi ni rangi gani na Tippu Tipu alikuwa rangi gani.Kwa upande mwengine wamanyema na machifu waliokuwa wauzaji wa watumwa pia walikuwa rangi gani?

Ubaguzi wa rangi umetoka wapi? Tippu Tip alikuwa anajihesabu muarabu pamoja na kuwa alikuwa na damu ya kiafrika. Sikujui kwa hiyo siwezii kujua mwenyewe unajiweka katika kundi gani. Lakini siwezi kuamini kuwa mtu anayetetea biashara ya utumwa kiasi unavyofanya, mtu anayesema kuwa anayenishangaa mimi kuona uchungu katika hao waliochukuliwa katika utumwa. Rangi yako inawezekana ikawa nyeusi lakini roho yako ni ya kiarabu.

Unajua kweli kusoma? Mara ngapi nimekazania kuwa watu wa rangi zote walihusika na biashara hii haramu? Niliwataja wachaga na wachina. Kwani wachaga wana rangi gani? Kwani wagogo waliotoza ushuru kwa waliofanya hii biashara walikuwa na rangi gani? Tofauti na wewe ambae uko tayari kukubali kuhusika kwa rangi nyingine yeyote katika hii biashara isipokuwa waarabu, mimi sitofautishi. Wote walihusika; waarabu, wazungu, wahindi, wachina, waafrika n.k.

Wewe unaposoma inaelekea huelewi ndio maana unachanganya vitu.Tippu Tipu tumesema watu aliowafunga minyororo walitaka kumpora biashara yake huku akiwa tayari keshawalipa,hakusema kwamba aliwauza.Tunapaswa tumuamini Tippu kwa aina ya maelezo yake na alivyokuwa akiwafanyia wafanyakazi alikopita.Hakulazimisha mtu kumbebea mizigo yake.Alipokosa aliwacha mizigo yake na kwenda mbali kufuata wengine.

Hapana. Kwa nini lazima tumuamini Tippu Tip? Kwa vile alikuwa muarabu na muislamu? Abdul Sheriff amesema kuwa alikuwa na watumwa 10,000! Hao watumwa aliwapata vipi? Umechagua aya zinazokutetea na kuacha nyingine. Soma aya ya 14. Alienda Ndegereko na Mbezi na sehemu zote za uzaramu akakamata watu 800 na kuwafunga minyororo. Hao wapagazi unaowazungumzia walirudi baada ya Tippu Tip kuwakamata ndugu zao na viongozi wao karibu 200. 800 aliwakamata baada ya wapagazi kurudi! Hao 800 aliwakamata kwa ajili ya nini kama sio utumwa?

Stanley na Livingstone ni watu waliotaka sifa na walisema uongo mwingi kufurahissha kwao na kujipatia hiyo sifa kwa upande mmoja.Upande mwengine walikuwa wakijenga mazingira ya kuliingiza kanisa Afrika.
Wewe unashangaa watwana 800 hushangai milioni 15-20 na wengine wakasema milioni 100 waliopelekwa utumwani Ulaya.Ukiwa umesahau ngoja nikukumbushe.

Livingstone alitaka sifa kwa kupinga biashara ya utumwa? Hawa jamaa hawakupinga utumwa Afrika tu bali hata uingereza walikotoka. Henry Stanley hakuwa na sifa ya kupinga utumwa. Yeye alikuja ni mwandishi wa habari kumtafuta Livingstone na hakuwa mmishionari. Kuna ubaya gani wakina Livingstone kutaka kuingiza ukristu hapa kwetu? Mbona waarabu nao walifanya hivyo hivyo? Au unataka kutuambia kuwa uislamu ni dini ya asili ya hapa kwetu? Wote hao, waislamu na wakristu walikuja kwetu na ajenda zao. Hakuna aliye bora kuliko mwingine. Pamoja na kupinga biashara ya utumwa mbona Livingstone alishirikiana na wafanya biashara hiyo, wakina Mpamari? Mbona Stanley ndiye aliyependekeza nduguyo Tippu Tip awe Gavana wa Kongo? Wote hawa, waarabu na wazungu, walituona watu weusi kuwa watu wa kutawaliwa tu.

Hakuna mtu anaekana ushiriki wa nchi za magharibi katika biashara ya watumwa. Ukienda Marekani, ukienda uingereza utakuta makumbusho yakielezea ushiriki wao. Leo hii mwanasiasa yeyote Marekani hawezi kuzungumzia historia ya Marekani bila kuelezea utumwa. Bill Clinton na George W. walipokuja Afrika, waliomba msamaha kuhusu ushiriki wao katika biashara hiyo haramu. Ni lini na wapi waarabu wamekiri kuhusu kuhusika kwao? Ni lini Sultan Qaboos amezungumzia ushiriki wa waliomtangulia katika biashara hii? Hivi unategemea kweli kuna siku atakuja Afrika kuomba msamamha? Na ukiangalia, kwa nini afanye hivyo wakati apologists wake mmejaa humu mkiamini kuwa waarabu kama yeye ni haki yao kutufanya sisi watwana zake! Bila aibu unawatetea watu waliotufunga minyororo, kutuhasi na kutuuza kama njegele kwa vile tu ni waislamu wenzako! Sio siri kuwa wakristu na wazungu walishiriki na waliwafanyia mababu na mabibi zetu mabaya lakini hiyo haiwaondolei waarabu responsibility kuhusu unyama waliotufanyia. WAZUNGU WAKRISTU NA WAARABU WAISLAMU WOTE WALISHIRIKI KATIKA BIASHARA YA UTUMWA NA WOTE WANASTAHILI KULAANIWA KWA VITENDO WALIVYOWAFANYIA WALIOTUTANGULIA. Wewe unaweza kusema hivyo? Au unaona wakristu peke yao? Sasa mbaguzi ni nani, mimi au wewe?

Nilikuwepo!

Amandla....
 
Raisi Omar Albashir wa Sudan utawala wake unaoambiwa unawabaguwa waafrika kafanana sana na rais mstaafu Mkapa kwa rangi na hata umbile.
Huko kwao hawaangaliani sana kwa rangi na upuuzi kama huu ambayo ni mafundisho ya uslamu.Wenye tabu ni nyinyi huku munaochochewa makanisani kwenu na hao wanaotaka mafuta kule, mwishowe munazungumza mambo ya kichizi na kujiaibisha wenyewe.
hapa umeropoka tu nina uhakika hujui ulisemalo na ukiambiwa uthibitishe utababaika tu. Pole kwa kutoujua ukweli na kuishia kuandika uongo
 
Naishi katika nchi hii na wajomba zangu lakini hofu imekuwa ndiyo maisha yangu.Zaidi ya Waarabu 20,000 waliuawa Zanzibar kwa sababu ya Uarabu wao.Tunaposikia jazba za ubaguzi tunaelewa .
Kampeni za chuki dhidi yao zilikuwa na tag ya biashara ya utumwa iliyokuwapo katika karne zilizopita.Chuki za aina hii hazipishani na maudhui ya thread hii!
Napenda kuona tunaishi bila uchochezi wa kubaguana lakini kama kuna watu walikwisha kula kasumba ya ubaguzi uliokithiri kiasi cha kupandisha jazba ya kuua ,hofu ya kutolewa roho haitatoka moyoni mwangu na kwa vizazi vyangu vijavyo.
Kwako Noname,si wote tunaweza kuhamia Uarabuni kwa sababu tuna wajomba wanaotupenda.Tunaishi na hofu lakini na matumaini ya kuendelea kuishi yapo kwa sababu ya wajomba wenye busara ,hekima ,wengi ni wale ambao kasumba ya wakoloni wa katika miaka ile ya utawala wa Kiingereza haikuwatoa katika ubinadamu wao.
 
Swali unalokwepa kujibu ni: "jee waarabu walihusika na biashara ya utumwa?" Je waarabu walikuwa na watumwa? Jee waarabu walinunua na kuuza binadamu wenzao kama watumwa? Kama waarabu hawakuwa wafanyabiashara wakubwa hapa kwetu, nani alikuwa basi ndiye aliyemiliki biashara ya watumwa hapa kwetu.



Ubaguzi wa rangi umetoka wapi? Tippu Tip alikuwa anajihesabu muarabu pamoja na kuwa alikuwa na damu ya kiafrika. Sikujui kwa hiyo siwezii kujua mwenyewe unajiweka katika kundi gani. Lakini siwezi kuamini kuwa mtu anayetetea biashara ya utumwa kiasi unavyofanya, mtu anayesema kuwa anayenishangaa mimi kuona uchungu katika hao waliochukuliwa katika utumwa. Rangi yako inawezekana ikawa nyeusi lakini roho yako ni ya kiarabu.

Unajua kweli kusoma? Mara ngapi nimekazania kuwa watu wa rangi zote walihusika na biashara hii haramu? Niliwataja wachaga na wachina. Kwani wachaga wana rangi gani? Kwani wagogo waliotoza ushuru kwa waliofanya hii biashara walikuwa na rangi gani? Tofauti na wewe ambae uko tayari kukubali kuhusika kwa rangi nyingine yeyote katika hii biashara isipokuwa waarabu, mimi sitofautishi. Wote walihusika; waarabu, wazungu, wahindi, wachina, waafrika n.k.



Hapana. Kwa nini lazima tumuamini Tippu Tip? Kwa vile alikuwa muarabu na muislamu? Abdul Sheriff amesema kuwa alikuwa na watumwa 10,000! Hao watumwa aliwapata vipi? Umechagua aya zinazokutetea na kuacha nyingine. Soma aya ya 14. Alienda Ndegereko na Mbezi na sehemu zote za uzaramu akakamata watu 800 na kuwafunga minyororo. Hao wapagazi unaowazungumzia walirudi baada ya Tippu Tip kuwakamata ndugu zao na viongozi wao karibu 200. 800 aliwakamata baada ya wapagazi kurudi! Hao 800 aliwakamata kwa ajili ya nini kama sio utumwa?



Livingstone alitaka sifa kwa kupinga biashara ya utumwa? Hawa jamaa hawakupinga utumwa Afrika tu bali hata uingereza walikotoka. Henry Stanley hakuwa na sifa ya kupinga utumwa. Yeye alikuja ni mwandishi wa habari kumtafuta Livingstone na hakuwa mmishionari. Kuna ubaya gani wakina Livingstone kutaka kuingiza ukristu hapa kwetu? Mbona waarabu nao walifanya hivyo hivyo? Au unataka kutuambia kuwa uislamu ni dini ya asili ya hapa kwetu? Wote hao, waislamu na wakristu walikuja kwetu na ajenda zao. Hakuna aliye bora kuliko mwingine. Pamoja na kupinga biashara ya utumwa mbona Livingstone alishirikiana na wafanya biashara hiyo, wakina Mpamari? Mbona Stanley ndiye aliyependekeza nduguyo Tippu Tip awe Gavana wa Kongo? Wote hawa, waarabu na wazungu, walituona watu weusi kuwa watu wa kutawaliwa tu.

Hakuna mtu anaekana ushiriki wa nchi za magharibi katika biashara ya watumwa. Ukienda Marekani, ukienda uingereza utakuta makumbusho yakielezea ushiriki wao. Leo hii mwanasiasa yeyote Marekani hawezi kuzungumzia historia ya Marekani bila kuelezea utumwa. Bill Clinton na George W. walipokuja Afrika, waliomba msamaha kuhusu ushiriki wao katika biashara hiyo haramu. Ni lini na wapi waarabu wamekiri kuhusu kuhusika kwao? Ni lini Sultan Qaboos amezungumzia ushiriki wa waliomtangulia katika biashara hii? Hivi unategemea kweli kuna siku atakuja Afrika kuomba msamamha? Na ukiangalia, kwa nini afanye hivyo wakati apologists wake mmejaa humu mkiamini kuwa waarabu kama yeye ni haki yao kutufanya sisi watwana zake! Bila aibu unawatetea watu waliotufunga minyororo, kutuhasi na kutuuza kama njegele kwa vile tu ni waislamu wenzako! Sio siri kuwa wakristu na wazungu walishiriki na waliwafanyia mababu na mabibi zetu mabaya lakini hiyo haiwaondolei waarabu responsibility kuhusu unyama waliotufanyia. WAZUNGU WAKRISTU NA WAARABU WAISLAMU WOTE WALISHIRIKI KATIKA BIASHARA YA UTUMWA NA WOTE WANASTAHILI KULAANIWA KWA VITENDO WALIVYOWAFANYIA WALIOTUTANGULIA. Wewe unaweza kusema hivyo? Au unaona wakristu peke yao? Sasa mbaguzi ni nani, mimi au wewe?

Nilikuwepo!

Amandla....
Sentensi yako ya mwisho Nilikuwepo! Inaashiria kwamba unakimbia.Ikiwa hujafika mbali nakuomba kabla kufanya hivyo uangalie hii link uone jinsi ndugu zangu waislamu akina Abubakar na Omar Said walivyofanywa na ndugu zako wakristo.Hii link ina sauti, tafadhali weka spika yako on. http://www.skidmore.edu/uww/online/kersey/operation.htm
Si ni afadhali wangewanunua tu lakini kuwafanya kama mbuzi !.Hapo baadae kama utakuwepo nitakuonesha jinsi ndugu zako unaosema ni weusi walivyombeba msichana wa kiarabu ndani ya tundu (cage) kumpeleka kwa mapadre.Utadhani mjusi.Naona aibu kukuonesha lakini ikibidi nitafanya hivyo
Unapenda kujikweza kwamba mbona sijajibu maswali yako.Kwa hili tukihesabu aliyekuwa hajajibu maswali ya mwenzake basi wewe ni zaidi.Mimi si kwamba sijajibu, kwanza napima uwezo wako wa kufikiri, na mengine huwa naona si kitu cha kujibiwa kwa sababu jawabu zake zimo humu humu, ila wewe tu huelewi.Swali la msingi nililokuuliza ukashindwa kujibu kwanza ni pahala Tippu Tipu aliposema alikuwa akifanya biashara ya watumwa katika hicho kitabu chako.
Pili pale sokoni bibi yako na babu yangu walikuwa ni wapi?.Hapo kwenye kiungo hapo juu, ndugu zangu ni hao niliowataja ambao walikuwa wakipigwa mihuri kwa misumari ya moto na babu zako.
Wewe hujui kwamba uislamu ni dini ya asili ya kila pahala.Au kwa kifupi ilitangulia sana hapa kwetu ndiyo maana akina Omar walikuwepo kabla babu zako hawajafika.
Ikiwa waarabu hawazungumzii kuhusika kwao na biashara ya utumwa, hutaki kuona kwamba hii ni kwa vile hawakuhusika moja kwa moja.Kwanini unataka waseme kitu wasichokitenda.Waliokuwepo ni akina Tippu Tipu;kama kweli alijinasibisha na uarabu,na hawajasema hivyo.Sasa kwanini unataka wengine waliokuja baadae waseme uongo.Au unataka tufuate utamaduni wenu.
Suala la kufunga watu minyororo. Tippu Tipu siku alipotaka kuibiwa alikumbuka mbinu aliyoisikia kutoka kwa rafiki yake Stanley, ambaye alikuwa akimsimulia habari za wenzake walivyokuwa wakiwafanyia watumwa wao.
Nasubiri nikusikie ikiwa una jipya na iwapo hujafika mbali, au mwenzako mwengine mwenye hoja,sio washangiliaji akina Mokoyo.
 
kipofu kumwongoza kipofu mwenziye lazima watapotea tu, ubaguzi maana uko wapi hapo, udini uko wapi hapo, nyie hebu badirikeni mwende na wakati, siyo tu kwa sababu waliwaletea upagani wenu katika mfumo wa kitabu,
basi muwakumbatie tu hata na ushenzi wao, hapo hamtetei tabia zao bali mmevaa kofia za uislamu
hebu vueni kwanza, then tuwatazame hawa waarabu na faida za kwa jamii nzima

huwezi kuwatetea hawa ni washenzi tu, sitoshindwa kusema hivyo kwa kuonekana mbaguzi ama mdini

Wasio washenzi kina nani? je hao wazungu nao? tuwaite washenzi au hawa tunawatoa, maana nao kwa biashara ya utumwa walifanya kwa kiasi kikubwa. Au wote washenzi? tuvue kofia za dini.
 
Unfortunately, sentensi yako ya kwanza inakushitaki. Umeshajiweka categorically katika kundi la waarabu dhidi ya waafrika waliokuwa wakikunyanyasa. Kama toka mtoto ulikuwa unajihesabu ni muarabu kwa nini basi watoto wenzio wasikuite hivyo? Si dhambi kusifia damu uliokuwa nayo lakini si kwa kuidharau nyingine. Unapojiita mwarabu wakati wote wanajua mmoja wa mzazi wako ni mwafrika ni lazima watakusemea ovyo maana watoto ni wakatili.

Hakuna mwarabu ambaye aliishi pwani ya Tanzania au kwenye visiwa vyake wakati utumwa ni halali ambaye hakuhusika na utumwa kwa njia moja au nyingine. Kuwepo kwa watumwa ndiko kulikoboresha maisha yake. Kuoa mwafrika hakkuna maana kuwa hakuhusika na utumwa! Tippu Tip alikuwa na damu ya kiafrika lakini alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa wa watumwa.

......
ahhh sijafahamu... vipi eti nimejiweka kundi la waarabu dhidi ya waafrika? halafu sijasema walininyanyasa... they just mocked me.... and to be honest i didnt go back home crying.. I just ignore them,(or sometimes I would kick those little devils' asses :)becky: ) )

Why do I call myself an Arab? Let me draw u my family root... may be u will understand where I came from. From my father side, Grandfather WAS an ARAB, Grand Mother was An African/Arab (thats means my great grand mother was an African 100%) Here came my dad what u call Afro Arab?

From my mother side: Both parents were Arabs....

so my Dad is Afro Arab but my mother is pure Arab..... now if u take my DNA it will show that I am an Arab or African?

Halafu dont accuse my Granddad of human trafficking u dont know him... kwanza hakuishi pwani pili alikuwa akifanya biashara ya chakula... Hata kama alikuwa serial killer.. I got nothing to do with it... I I didnt ask to be born in that family... actually there is no much of arab in me thats means I was supposed to be born in Lag vegas or Miami :smile-big:
 
Anyway... I think it is very wise if we could move on..... ofcourse we shouldnt forget the History but lets see what we can benefit from It (may be make a blockbuster movie :target: )

As we agree that there are Arabs that are caring, that are good people, and who love the country they live in. I think I am one of them.... :hug:
 
.
Kwako Noname,si wote tunaweza kuhamia Uarabuni kwa sababu tuna wajomba wanaotupenda.Tunaishi na hofu lakini na matumaini ya kuendelea kuishi yapo kwa sababu ya wajomba wenye busara ,hekima ,wengi ni wale ambao kasumba ya wakoloni wa katika miaka ile ya utawala wa Kiingereza haikuwatoa katika ubinadamu wao.
I think u will be just fine... no need to worry....
 
usiombe uwe na uwezo mdogo wa kutazama mambo. Waarabu walikuwa vinara wa biashara ya utumwa EA hilo halipingiki. Ila ukiwapata watetezi wao wako tayari mwaafrika mwenzao aangamie kuliko Mwaarabu. Nakukumbuka kisa kimoja cha mgogoro wa DAFUR. Maadamu alikuwa anaua ni Mwaarabu hakuna wanazuoni walioibuka kullaani mauaji yale, lakini haohao waliandamana kulaani vita ya israel na lebanon. tuwe waangalifu na yale tunayoyatetea.WAZUNGU wameshiriki slave trade WEST AFRICA and EA ni WAARABU:angry:
 
The Boss unakosea. Hapa sijaongea tu bali nimeuliza na swali! Usiniambie kwamba vile vile kuna kitu kama "no research, no right to ask!" Hilo la kutembea dunia nzima kabla ya kuongea nafikiri hata wewe huna ubavu wa kufanya hivyo, eti nikitaka kujua juu ya aborigin wa Australia, nifunge safari mpaka huko kwanza, strange indeed!

hakumaanisha utembelee kwa kupanda ndege
 
usiombe uwe na uwezo mdogo wa kutazama mambo. Waarabu walikuwa vinara wa biashara ya utumwa EA hilo halipingiki. Ila ukiwapata watetezi wao wako tayari mwaafrika mwenzao aangamie kuliko Mwaarabu. Nakukumbuka kisa kimoja cha mgogoro wa DAFUR. Maadamu alikuwa anaua ni Mwaarabu hakuna wanazuoni walioibuka kullaani mauaji yale, lakini haohao waliandamana kulaani vita ya israel na lebanon. tuwe waangalifu na yale tunayoyatetea.WAZUNGU wameshiriki slave trade WEST AFRICA and EA ni WAARABU:angry:
Hii Darfur issue is another complicated issue....its not smart or logic ukianza kuchanganya warabu wote... However for the sake of argument Do you know who is trying to stop the fighting? Peace talks between Khartoum and Jem (Justice and Equality Movement ) are being sponsored by Qatar, the United Nations, the African Union and Arab League...

Anyway I still didnt get the clear message Bachanan is trying to convey here...
 
Waarabu ni watu waliofanya biashara ya utumwa kwa muda mrefu sana na victim wakubwa wa biashara hiyo haramu ni Waafrika! Wazungu pia walifanya biashara hiyo kwa muda mrefu. Kwa upande wa Wazungu wao walizaa na Waafrika ambao walichukuliwa utumwani na ndio maana kuna Wamarekani wenye asili ya Kiafrika. Hata hivyo sijawahi kusikia Waarabu wenye asili ya Kiafrika! Tuseme kwamba waarabu hawakuzaa na Waafrika au kilitokea nini hasa?

Soma kitabu kipya cha Mahmood Mamdani, kinaonesha kuwa kuna Waarabu wenye asili ya Afrika huko Sudan. Tena ni wazawa kabisa wa Afrika. Kitabu hicho kinaitwa Saviours and Survivors: Darfur, Politics, and the War on Terror.
 
Back
Top Bottom