amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
Kama ni kweli, basi naomba ruhusa hapa kazini ili nikalale maana raha niliyonayo na usingizi yahitaji kupumzika kutokana na kucheleweshwa kwa haki yetu. Yaani NEC through CCM wanafanya makusudi kuchelewesha matokeo kwenye majimbo yaliyoshinda CHADEMA au vyama vingine vya upinzani, hii ni hatari ya kuzua vurugu na maafa yasiyo ya lazima kwenye nchi yetu tulivu. Congrat's JJ Mnyika!
Sasa hivi kwa shinikizo kutoka kwa waangalizi ni kwamba Mnyika kashinda ubungo
na pia mdee kashinda Kawe
habari ndo hiyo