ndio tupo hapa Loyora tunashangilia ushindi wa Mnyika
kashinda kwa kishindo
hahaha mkuu COMPANERO ulipiga kura lakini? LOL
Mkuu walikuwa zaidi sana ya KILO!...Nilikuwapo kati ya makundi ya hao watu, mi nakadiria watu laki3!Mkuu Pj hongera sana kwa kazi TAKATIFU jana hapo geneva ya africa......watu laki moja almost agaist polisi wangapi sijui? waliachia wenyewe!
Jamani mbona hawamtangazi rasmi Mbunge wangu mheshimiwa Halima Mdee?:doh::doh::doh:
Mkuu walikuwa zaidi sana ya KILO!...Nilikuwapo kati ya makundi ya hao watu, mi nakadiria watu laki3!
Kwakweli wasingemtangaza Lema, mngesikia calamity ya ajabu mno A-Town!...Labda nikwambie kwamba tayari kulikiwa na vidumu kibao vya petrolikwenye kila bodaboda, na sime za hatari!...BOT(Arusha Branch) ingekuwa ya kwanza kupigwa kiberiti, then oFISI YA RC, then manispaa, mount meru hosp, Central Police na taasisi zinGinezo zote za serikali!
Kwakweli serikali ya ccm ndiyo muanzishaji mkuu wa vurugu na UMWAGAJI DAMU!