Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 3,002
- 7,320
Kaa nyumbani mpira ukiisha nenda bar, mpira dk 90 tu unakuja kupigia watu kelele hapaNi kweli ila mnawasumbua hata wasiopenda mpira
Kaa nyumbani dk 90 zikiisha nenda kalewe
Kaa nyumbani mpira ukiisha nenda bar, mpira dk 90 tu unakuja kupigia watu kelele hapaNi kweli ila mnawasumbua hata wasiopenda mpira
Sorry mshabiki kama nimekuuziKaa nyumbani mpira ukiisha nenda bar, mpira dk 90 tu unakuja kupigia watu kelele hapa
Kaa nyumbani dk 90 zikiisha nenda kalewe
Sawa
Halafu wengi wanakunywa Tusoda mpira toka unaanza mpaka unaisha mtu ana kasoda hakohako kamojaWanywa maji hao katikati ya Wanywaji pombe ndo huonyesha uwepo wao kwa kelele zisizo na msingi
Kuna bar ambayo hawaonyeshi mpira?,siku kukiwa na mechi kila unapoenda lazima ukute mpiraKwani ni lazima uende maeneo kama hayo?. Kiherehere tu.
Kwani unakuwa umelazimishwa kukaa hapo Bar..si ukae tu nyumbani uangalie na shemejiUsiombe uende bar siku ambayo kuna mechi kama hii ya leo ukutane na jeshi la waangalia mpira,siku hiyo lazima urudi nyumbani masikio yanafanya nziiii jamaa wana kelele sana imagine wapo watu kama 50 na kila mmoja anaongea
Kama vile umekaa karibu na kanisa la walokole!Usiombe uende bar siku ambayo kuna mechi kama hii ya leo ukutane na jeshi la waangalia mpira,siku hiyo lazima urudi nyumbani masikio yanafanya nziiii jamaa wana kelele sana imagine wapo watu kama 50 na kila mmoja anaongea
Toka utarudi mpira ukiisha!.Kuna bar ambayo hawaonyeshi mpira?,siku kukiwa na mechi kila unapoenda lazima ukute mpira
Wengine ni kelele kavu b8la hata ya kinywajiKelele nyingi Mezani wana Azam Energy