Kumekuwepo na kasumba kwa waandishi kusubiri viongozi waaite waandishi na kutoa taarifa za 'akiongea na waandishi...' Iwe Tv iwe gazeti. Badala ya kutafuta chanzo cha habari kwa kina wanategemea group thinking badala ya mwandishi binafsi kuwa mdadisi wa jambo. Kwa sasa waandishi wajali biashara baadala ya kuangalia athari kwa msomaji. Kwa mfano tukio la arusha. Vifo habari zilianza watu 10, halafu 6 na mwisho 3. Waache uvivu wa kufuatilia jambo mpaka ujiridhishe kuwa habari hii ni sahihi. Mambo ya kwenda Habari maelezo tu haitoshi. Tupeni habari zenye uthibisho.