The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Ukiangalia nchi za watu......hasa marekani
utakuta watu wanaoandika vitabu mbbalimbali pamoja na
vitabu vya maisha ya watu maarufu,viongozi na wengineo
utakuta wengi wa wandishi hao ni waandishi wa habari au
wana background ya uandishi wa habari
sasa hapa kwetu suala la waandishi wetu na
wahariri wao kuandika vitabu ni kama vile haliwahusu...
Binafsi natamani kusoma vitabu
biography au autobiography za watu wafuatao but sijui
lini vitakuja kuandikwa.....
Jakaya kikwete
salma kikwete
lowassa
mkapa
mwinyi
kawawa
salmin
salma salmin
regina lowasa
makamba
kingunge
zito kabwe
dr slaa
mbowe
lipumba
fundikira
mtikila
mrema
marando
lamwai
mengi
rostam
samuel sitta
msekwa
mangula
malecela
anna kilango
mwakyembe
orodha ni ndefu.......
Kwa ufupi tunahitaji vitabu vingi sana..
Mtu unaweza andika kitabu topic zifuatazo pia
inside bot
the last days of mkapa ikulu
ten years of mwinyi ikulu
the last days of nyerere
the truth about daudi balali
who is anna mkapa?
The secrets behind barrick co.
Buzwagi the real thruth.
Salim a salim.the president who never was.
Inside chadema.
Kwa ufupi ujumbe wangu kwa waandishi wa habari na wengineo
tunahitaji vitabu vingi iwezekanavyo kwa urithi wa vizazi vijavyo
so please andikeni vitabu
utakuta watu wanaoandika vitabu mbbalimbali pamoja na
vitabu vya maisha ya watu maarufu,viongozi na wengineo
utakuta wengi wa wandishi hao ni waandishi wa habari au
wana background ya uandishi wa habari
sasa hapa kwetu suala la waandishi wetu na
wahariri wao kuandika vitabu ni kama vile haliwahusu...
Binafsi natamani kusoma vitabu
biography au autobiography za watu wafuatao but sijui
lini vitakuja kuandikwa.....
Jakaya kikwete
salma kikwete
lowassa
mkapa
mwinyi
kawawa
salmin
salma salmin
regina lowasa
makamba
kingunge
zito kabwe
dr slaa
mbowe
lipumba
fundikira
mtikila
mrema
marando
lamwai
mengi
rostam
samuel sitta
msekwa
mangula
malecela
anna kilango
mwakyembe
orodha ni ndefu.......
Kwa ufupi tunahitaji vitabu vingi sana..
Mtu unaweza andika kitabu topic zifuatazo pia
inside bot
the last days of mkapa ikulu
ten years of mwinyi ikulu
the last days of nyerere
the truth about daudi balali
who is anna mkapa?
The secrets behind barrick co.
Buzwagi the real thruth.
Salim a salim.the president who never was.
Inside chadema.
Kwa ufupi ujumbe wangu kwa waandishi wa habari na wengineo
tunahitaji vitabu vingi iwezekanavyo kwa urithi wa vizazi vijavyo
so please andikeni vitabu