Tetesi: Waandishi wa habari wa Jambo TV na Manara TV washikiliwa Arusha

Tetesi: Waandishi wa habari wa Jambo TV na Manara TV washikiliwa Arusha

Protect

Senior Member
Joined
Apr 4, 2020
Posts
112
Reaction score
392
Kushikiliwa Kwa waandishi wa habari wa JAMBO TV na Manara TV Jijini Arusha Arusha*

Nimepata taarifa usiku huu za kushikiliwa Kwa Mwandishi wa habari Baraka Lucas wa Jambo TV Arusha na Ezekiel wa Manara TV Arusha

Taarifa za awali zinasema walikamatwa jioni hii Jijini Arusha na hadi sasa wapo kituo kikuu Cha Polisi Arusha.

Tunaendelea kufuatilia tukio ili kujua sababu za kukamatwa kwao

Nimeongea na baadhi viongozi kwenye Taasisi za kihabari Arusha wamethibitisha kushikiliwa kwao na kuweka wazi Kwa sasa wanahitaji msaada wa Mawakili.

Waandishi wenzetu wa Arusha mnaweza kutusaidia kufika hapo kituoni Kwa sasa.
 
Untitled image.jpg
 
Kushikiliwa Kwa waandishi wa habari wa JAMBO TV na Manara TV Jijini Arusha Arusha*

Nimepata taarifa usiku huu za kushikiliwa Kwa Mwandishi wa habari Baraka Lucas wa Jambo TV Arusha na Ezekiel wa Manara TV Arusha

Taarifa za awali zinasema walikamatwa jioni hii Jijini Arusha na hadi sasa wapo kituo kikuu Cha Polisi Arusha.

Tunaendelea kufuatilia tukio ili kujua sababu za kukamatwa kwao

Nimeongea na baadhi viongozi kwenye Taasisi za kihabari Arusha wamethibitisha kushikiliwa kwao na kuweka wazi Kwa sasa wanahitaji msaada wa Mawakili.

Waandishi wenzetu wa Arusha mnaweza kutusaidia kufika hapo kituoni Kwa sasa.
Tanzagiza
 
Manara usilete taharuki wewe si veggies?
Kula chuma hiko 😹
 
Baadhi ya Waandishi uchwara wa media za Tanzania, JamiiForums inapofungiwa wanakaa kimya huku wakishangilia na kudhani hawatafikiwa.
 
Huyu mama akiendelea kumuona kila mtu ni adui, mwishowe atamkamata na Abdul.
 
Back
Top Bottom