Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Kwa muda gan watagoma????
Usiojulikana.
Kwa muda gan watagoma????
Hao hata wakienda huwa wanauza nakala 20 tuu za magazeti yao halafu mimi nina karibu miezi nane sijatune TBC
Nadhani cha msingi ni kugomea habari za wizara ya mambo ya ndani na jeshi la polisi.
Kuna Mwana mbeya mmoja (sina uhakika lakini pengine anajiita tu) kazi yake ni mc wa maharusi na redio moja ya ngono,music na pombe. wenyewe wanaita redio kiburudisho! tena anasemaga ni wa huko huko Tukuyu! Ukimsikia anavyoshabikia dhulma wanayofanyiwa raia daaah! Huwezi kuamini kama kweli huyu jamaa ni mmbeya kweli au kiraka.
TBCCM si watakuwa wameenda ? Poleni ndugu zangu wa mbeya najiulizaga sana kwa nini mnaandamwa nyie tu.
me nimei-delete hiyo chanel
Ktk muendelezo wa msimamo wa waandishi wa habari nchini kugomea kuandika habar zihusuzo polisi na maagents wao umechukua ukurasa mpya baada ya leo waandishi wa habari mkoani iringa walipogemea mwaliko wa kamishina wa makosa ya jinai nchini Robert Manumba (Gamba asilia) ambapo alihitaji kuzungumza nao.
The Struggles aluta continua.
Fear not.
Nimemsikia Waziri asiye na Wizara Maalum Mark Mwandosya katika Ebony FM akisema vyama vya siasa vinahusika na mauaji, ameelekeza wazi lawama kwa CDM kwamba ni wauaji.
Sijui kwa nini wanaogopa kuwataja Polisi?
Walichofanya polisi ni sawa na kulala na mama wa kambo tena kwenye kitanda cha baba yako, halafu ukafumwa. You never kill a journalist.
By the way anataka aseme nini wakati tume iko kazini?
TBCCM si watakuwa wameenda ? Poleni ndugu zangu wa mbeya najiulizaga sana kwa nini mnaandamwa nyie tu.
RED: Linasomwa kwenye ofisi za chama na serikali tu (tena na mawaziri na manaibu wao tu)
Blue: Haliuzwi Tandale kwa Mtogole
Nimemsikia Waziri asiye na Wizara Maalum Mark Mwandosya katika Ebony FM akisema vyama vya siasa vinahusika na mauaji, ameelekeza wazi lawama kwa CDM kwamba ni wauaji.
Sijui kwa nini wanaogopa kuwataja Polisi?
Ktk muendelezo wa msimamo wa waandishi wa habari nchini kugomea kuandika habar zihusuzo polisi na maagents wao umechukua ukurasa mpya baada ya leo waandishi wa habari mkoani iringa walipogemea mwaliko wa kamishina wa makosa ya jinai nchini Robert Manumba (Gamba asilia) ambapo alihitaji kuzungumza nao.
The Struggles aluta continua.
Fear not.
Hao hata wakienda huwa wanauza nakala 20 tuu za magazeti yao halafu mimi nina karibu miezi nane sijatune TBC
Nadhani cha msingi ni kugomea habari za wizara ya mambo ya ndani na jeshi la polisi.
Precise Pangolin!!!! naona wewe unafanana na hilo avatar lakowewe ni nani?