satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Tutatue kwanza msingi wa tatizo, ndiyo tuje kwenye tatizo lenyewe, la sivyo, kuongea upuuzi, eti mara Dailynews halisomwi, haitusaidii. Daily news lenyewe, huenda hata wewe mwenyewe na kadigirii au kadiploma kako ka Gentleman class huwezi kulisoma na kulielewa. Chanzo cha watu kufa ni ubishani wa Chadema kulazimisha kikao eti kwa sababu CCM nao wanafanya kikao somewhere. Hiki ndo chanzo, Polisi wamefanya kazi yao tu, kwa mujibu wa Police duties and CPA 1985.Utazunguka sana, tutapiga kelele siku kadhaa, lakini damu ile hairudi. Suala la kusema Mungu amsamehe ni falsafa tu, amekwenda huyo, watoto wake wanateseka, hata wewe mwenyewe hutawasaidia kitu. Tunasema aluta continue, ebu nenda nawe angalau uvunjwe mguu ili uone. Mbona ulimboka hasemi aluta continue tena?Tujichunge, fujo zetu zitaathiri familia zetu, ni kazi ya chama chochote kile tawala duniani kutumia majeshi yake kwa wapinzani. ndiyo hali halisi, usimuhimize mwenzio kuwa chambo, anza wewe.
Nilivyoona joining date yako wala sikushangaa ni walewale waliotumwa na magamba ww mwita rudi kwenu tarime tu