Waandishi wa habari Iringa wamgomea Robert Manumba!

Tutatue kwanza msingi wa tatizo, ndiyo tuje kwenye tatizo lenyewe, la sivyo, kuongea upuuzi, eti mara Dailynews halisomwi, haitusaidii. Daily news lenyewe, huenda hata wewe mwenyewe na kadigirii au kadiploma kako ka Gentleman class huwezi kulisoma na kulielewa. Chanzo cha watu kufa ni ubishani wa Chadema kulazimisha kikao eti kwa sababu CCM nao wanafanya kikao somewhere. Hiki ndo chanzo, Polisi wamefanya kazi yao tu, kwa mujibu wa Police duties and CPA 1985.Utazunguka sana, tutapiga kelele siku kadhaa, lakini damu ile hairudi. Suala la kusema Mungu amsamehe ni falsafa tu, amekwenda huyo, watoto wake wanateseka, hata wewe mwenyewe hutawasaidia kitu. Tunasema aluta continue, ebu nenda nawe angalau uvunjwe mguu ili uone. Mbona ulimboka hasemi aluta continue tena?Tujichunge, fujo zetu zitaathiri familia zetu, ni kazi ya chama chochote kile tawala duniani kutumia majeshi yake kwa wapinzani. ndiyo hali halisi, usimuhimize mwenzio kuwa chambo, anza wewe.




Nilivyoona joining date yako wala sikushangaa ni walewale waliotumwa na magamba ww mwita rudi kwenu tarime tu
 
Kuna Mwana mbeya mmoja (sina uhakika lakini pengine anajiita tu) kazi yake ni mc wa maharusi na redio moja ya ngono,music na pombe. wenyewe wanaita redio kiburudisho! tena anasemaga ni wa huko huko Tukuyu! Ukimsikia anavyoshabikia dhulma wanayofanyiwa raia daaah! Huwezi kuamini kama kweli huyu jamaa ni mmbeya kweli au kiraka.

jina lake lina herufi hizi KE?
 
Ktk muendelezo wa msimamo wa waandishi wa habari nchini kugomea kuandika habar zihusuzo polisi na maagents wao umechukua ukurasa mpya baada ya leo waandishi wa habari mkoani iringa walipogemea mwaliko wa kamishina wa makosa ya jinai nchini Robert Manumba (Gamba asilia) ambapo alihitaji kuzungumza nao.

The Struggles aluta continua.
Fear not.


Hawa waandishi wa habari waliomgomea Manumba nawapa pongezi sana.

Ninapata taabu sana na Kituo cha CH10 kukubali kurusha mahojiano na Waziri wa Mambo ya ndani Bwaba Nchimbi! Hili nazungumza kutoka moyoni kabisa kuwa nimeshindwa kabisa kuwaelewa hawa jamaa. Kwa kuzingatia kuwa Mwandishi wa Ch10 Bwana David Mwangosi ndiye aliyeuawa kinyama na Polisi walioko chini ya Nchimbi kama Waziri mwenye dhamana anayesimamia Jeshi la Polisi na IGP Mwema.

Iweje leo CH10 wanamruhusu Nchimbi kuingia Studio zao akiwa na mikono iliyolowa damu ya Mwangosi kuropoka ujinga na upuuzi huu wa kujaribu kuitupia lawama CDM wakti kila Mtanzania anajua walioua ni Polisi????

Ch10 katika hili mmechemsha. Kweli mnasema marehemu Mwangosi hakuwa mwajiriwa wenu. Well. Lakini huyu marehemu alikuwa ni mwamkilishi wenu na alikuwa akiwaletea habari za Televisheni na kuzirusha hewani. Leo amekufa mmeanza kumkana na kumkebehi kwa kuitetea CCM na serikali yake. Hapa hamjatendea haki marehemu!!!!

Nawaomba CH10 kama mnauchungu na kifo hiki basi mnatakiwa muige kile walichofanya waandishi wa habari kule Iringa. KUSUSIA KUANDIKA NA KURUSHA HABARI YOYOTE INAYOHUSIANA NA JESHI LA POLISI NA WIZARA YAKE MAMA! Hili linawezekana maana wakti ule wa Ramadhani Mapuri akiwa Waziri wa Mambo ya ndani aliwahi kususiwa na vyombo vyote vya habari kwa vurugu kama hizi za Jeshi la Polisi na hiyo ilimshikisha adabu mpaka akang'olewa kwenye nafasi hiyo.

Shame on you CH10.
 
Hivi hizi hela za walipa kodi hawa watu wanazichezea hivi kwa maana gani? au ni jinsi ya kulipana Night?ETI imeundwa tume ya kuchunguza kifo cha Mwangosi wakati imeonekana kabisa jinsi walivyomshambulia hao maaskari na picha zinaonekana kabisa wanavyomshambulia huyo bwana.Hivi hawa watu wanafikiri kila Mtanzania amelala au haelewi kinachoendelea?Siku Thelathini unachunguza kitu gani ambacho hakieleweki?kamata hao askari waliomzunguka marehemu waseme ni kitu gani na nani aliyewatuma kumuua huyo bwana.Tume tume upuuzi mtupu watakuja na majibu gani zaidi ya haya ya kwamba marehemu alipigwa na kitu kizito kichwani? wake up and live .
 
huyo bwana ni moja wa mandina tulionao kwenye jamii hana jipya inaonyesha nae ni policcm unategemea ataongea nini?
 
Hawa waandishi wa habari waliomgomea Manumba nawapa pongezi sana.

Ninapata taabu sana na Kituo cha CH10 kukubali kurusha mahojiano na Waziri wa Mambo ya ndani Bwaba Nchimbi! Hili nazungumza kutoka moyoni kabisa kuwa nimeshindwa kabisa kuwaelewa hawa jamaa. Kwa kuzingatia kuwa Mwandishi wa Ch10 Bwana David Mwangosi ndiye aliyeuawa kinyama na Polisi walioko chini ya Nchimbi kama Waziri mwenye dhamana anayesimamia Jeshi la Polisi na IGP Mwema.

Iweje leo CH10 wanamruhusu Nchimbi kuingia Studio zao akiwa na mikono iliyolowa damu ya Mwangosi kuropoka ujinga na upuuzi huu wa kujaribu kuitupia lawama CDM wakti kila Mtanzania anajua walioua ni Polisi????

Ch10 katika hili mmechemsha. Kweli mnasema marehemu Mwangosi hakuwa mwajiriwa wenu. Well. Lakini huyu marehemu alikuwa ni mwamkilishi wenu na alikuwa akiwaletea habari za Televisheni na kuzirusha hewani. Leo amekufa mmeanza kumkana na kumkebehi kwa kuitetea CCM na serikali yake. Hapa hamjatendea haki marehemu!!!!

Nawaomba CH10 kama mnauchungu na kifo hiki basi mnatakiwa muige kile walichofanya waandishi wa habari kule Iringa. KUSUSIA KUANDIKA NA KURUSHA HABARI YOYOTE INAYOHUSIANA NA JESHI LA POLISI NA WIZARA YAKE MAMA! Hili linawezekana maana wakti ule wa Ramadhani Mapuri akiwa Waziri wa Mambo ya ndani aliwahi kususiwa na vyombo vyote vya habari kwa vurugu kama hizi za Jeshi la Polisi na hiyo ilimshikisha adabu mpaka akang'olewa kwenye nafasi hiyo.

Shame on you CH10.
pesa ni kitu kibaya kuliko unavyoweza kufikiria .
 
huyu mc ni nani vileeeeee! oooh yes nimekumbuka yaani ni kisehemu nyuma ya mlima kilichodidimia kwa ndani kidogo ambacho watu wanaweza kulima ua kupata mahitaji ya maji kinahitwaje hicho? kibo...de.
 
Kila operesheni ya jeshi lolote la nchi iwe ndani ama nje lazima kuna baraka za Amiri jeshi Mkuu.

Ndo maana wana kiburi sana akina Mwema na waziri wake kwani wanakingiwa kifua na mamlaka iliyowaagiza kushughulikia raia.

Serikali inayopambana na watu wake ni wazi kwamba HAITOSIMAMA na itaanguka tu!
 
TBCCM si watakuwa wameenda ? Poleni ndugu zangu wa mbeya najiulizaga sana kwa nini mnaandamwa nyie tu.

Serikali ya awamu ya nne imedhamilia kuwapunguza na kuwaogopesha wanyakyusa kwani wamekuwa mwiba kwa wezi wa nchi hii kwa muda mrefu. ''Unajua Rais ni fisadi na anashirikiana na mafisadi kuwaibia wananchi sasa wanaomshikaa koo ndio anaowamaliza'' Nampa pole na kumtahadhalisha kuwa ajiandae kwa dhahama itakayompata na familia yake muda wake ukiisha.

Hakuna mtu tuliempania kama huyu na familia yake. ''One day Yes'' ataingia mtegoni tu.

 
Back
Top Bottom