Waandamanaji huko Hongkong waanza kuiomba USA na Trump kuwasaidia

Umeropoka halafu umebwabwaja sanaaaa.
We nakufahamugi si kosa lako.

Na hakuna swali ulilojibu had sasa bali umejiongezea maswali.
Je raia hawamfurahii Jinping????
Je kwanzia 2005 kuja juu kuna massacre yeyote ilitokea kisa maandamano huko China????
Kama raia wanapata watakayo na wanatimiliziwa kila kitu yann waandamane????
Ni nn chanzo cha wananchi kutaka waandamane kuupinga uongozi wa hawamu husika????

Ya juu yamekushinda jaribu haya.
Hayo mambo ya 1990s ya China yashakuwa outdated tutizame contemporary issues.

Mi nabwabwaja wewe unafanya nini kama hubwabwaji pia?

Au umeshona mdomo!?

Last time I checked domo lako liko wazi kama watu wengine!

Kama ligi unaamua kuipeleka kwenye maneno ya shombo uwe wazi tuipeleke huko!

Mkuu

To begin with unaona Tianamen Square kwako wewe ni sahihi wanadamu 10,000 kuuawa?

Naona upo sympathetic na hilo!

Kama nipo sahihi,basi wewe sio mzima hata kidogo!

Kwa average protests na dissent demonstrations happen in Mainland China mara 87,000 per year!

Mzee umeona hiyo number?Ni freaking 87,000 demos per year on average!

Halafu unaweka pumbu humu unasema China hakuna demonstrations!

Are you on drugs?

Soma Protests and Dissent in China,data zote zipo!

Nachokuona unaamini makala za balozi wa China anazosukuma Daily News msome disinformation kuhusu China kua ni rosy rosy country!

CCP haina miaka zaidi ya 100 ijayo!

Na Trump anapokaza uzi uchumi unashuka na CCP will be more vurnerable!

Halafu unakaa hapa kama juha unadai uchumi wa China ni mzuri wananchi hawawezi andamana!

Kwa to begin off,huo ni uongo!

Wanaandamana sema wewe huoneshwi!

Pili uchumi hauwi mzuri miaka yote milele na milele.

Uchumi unapanda na kushuka!

Uchumi unaotumia kama ni kigezo namba moja ya furaha za wanadamu wa China ushauka now...Kutoka 15% per year to now 5% growth per year na sijui hali ikiwa mbaya zaidi utasema nini zaidi!

Wanadamu hawaishi kwa hela tu.

Wanaishi kwa uhuru na self actulization ambayo uchumi hautoi ni democrasia inatoa!

China is a ticking bomb siku litalipuka!

CCP part knows this!
 
Yani daaah umeulizwa vingine unajibu vingine hii ni shiddah.
Duh umelala wapi leo jamaa ????

Najibu nachokitaka!

Hutaki andamana!

Usinipangie cha kujibu!

Umeandika mavi mengiiii na mimi najibu mavi mengi ninayotaka mwenyewe mtoa mavi!

Wewe huwezi kaa hapa na kunipangia nijibu mavi yepi unayoona wewe natakiwa nijibu,wewe kama nani??

Najibu ninavyotaka na pia sijibu vilevile!

Naandika ninachotaka mimi binafsi!
 
Najibu nachokitaka!

Hutaki andamana!

Usinipangie cha kujibu!

Umeandika mavi mengiiii na mimi najibu mavi mengi ninayotaka mwenyewe mtoa mavi!

Wewe huwezi kaa hapa na kunipangia nijibu mavi yepi unayoona wewe natakiwa nijibu,wewe kama nani??

Najibu ninavyotaka na pia sijibu vilevile!

Naandika ninachotaka mimi binafsi!
Yani hapa tuh nimepima uelewa wako uko finyu aisee.
Nan kakupangia cha kujibu???
Nimekuuliza kitu flan jibu kitu nilichokuuliza hyo ndio busara.
 
Nimekuuliza mengine na huna uliloelezea yan kadri unavyoongea unazidisha maswali halafu huna unaoyajibu.

Hong Kong wao toka muda wanataka kujitenga na China mainland haihusian na mfumo wa utawala wa China.

Sasa hv dunia inaendeshwa na globalization usitake kunaambia wananchi wakandamizwe halafu wasipiganie haki zao China mainland.

Ndio maana nikakuuliza kuna sababu zipi chinese waandamane kupinga serikali husika???
Je kuna sehem walikandamizwa kidemokrasia kwa hii current world situation ???
Hayo yote hukuyajibu unaropoka mengine.

Vichwa vya kukariri vibaya jamaniiii!!!!!!!
Halafu usilete ukichaa kufananisha uchumi wa Japan na China.
China ni ya kuipambanisha na USA onlyyyyyy.
Huwezi sema uchumi wa China hauko sophisticated.
Mimi nimeelezea maendeleo in all aspects ila ww umegusia suala la maendeleo ya kiuchumi pekeake.
As if maendeleo ni ktk uchumi peke ake.

Embu tuliza kichwa then rudia nilokuuliza ujibu upya maana daaah!!!!!!

Unauliza maswali ya hovyo ambayo hayapo China!

China hakuna Constitutional Democracy!

China hakuna Demokrasia kwa Kiswahili!

Unapouliza Wananchi wa China wanyimwaje Demokrasia unakua unaonesha upumbavu maana Katiba ya China haitoi Demokrasia kwa wananchi!

Definition ya Democracy umesoma OLevel kwenye masomo mawili ,Civics na History!

Na mtihani wa Taifa kwenye masomo haya mawili ni kazima swali la “Democracy” lije,ulijibu na ukafaulu!

Cha ajabu leo umekua mtu mzima,hujui nini maana ya “Democracy”!

Narudia tena,China hakuna Democracy system!

Hakuna Mchina alishapiga kura kumchagua rais wa China!

Haijawahi tokea!

China hakuna kitu kinaitwa “General Election”...

Kuna uchaguzi za serikali za mitaa na vijiji ndio wanachagua wawakilishi kama madiwani!

Basi!

Upumbavu unaouzungumzia wewe hapa inaelekea China hujui mfumo wa serikali yao au unafanya makusudi kusumbua watu hapa!

Na China sio “Developed Nation” na wala sio “Developing Nation”,ipo katikati!

Ndio maana hata huijui vizuri China!

Sema hivi,mimi nazungumzia Haki na Democrasia ya watu wa China halafu wewe unazungumzia Uchumi!

Vitu viwili tofauti!

Na kujibu najibu nachotaka au nisijibu niandike mambo yangu binafsi ninayotaka!

Usinipangie cha kujibu ukitakacho wewe!

Soma comment,ukikuta jibu lolote kuhusu hoja zako sawa,ukikuta hakuna pia sawa,kula kimya andika unachojisikia na siwezi kukuuliza chochote!
 
Mi nabwabwaja wewe unafanya nini kama hubwabwaji pia?

Au umeshona mdomo!?

Last time I checked domo lako liko wazi kama watu wengine!

Kama ligi unaamua kuipeleka kwenye maneno ya shombo uwe wazi tuipeleke huko!

Mkuu

To begin with unaona Tianamen Square kwako wewe ni sahihi wanadamu 10,000 kuuawa?

Naona upo sympathetic na hilo!

Kama nipo sahihi,basi wewe sio mzima hata kidogo!

Kwa average protests na dissent demonstrations happen in Mainland China mara 87,000 per year!

Mzee umeona hiyo number?Ni freaking 87,000 demos per year on average!

Halafu unaweka pumbu humu unasema China hakuna demonstrations!

Are you on drugs?

Soma Protests and Dissent in China,data zote zipo!

Nachokuona unaamini makala za balozi wa China anazosukuma Daily News msome disinformation kuhusu China kua ni rosy rosy country!

CCP haina miaka zaidi ya 100 ijayo!

Na Trump anapokaza uzi uchumi unashuka na CCP will be more vurnerable!

Halafu unakaa hapa kama juha unadai uchumi wa China ni mzuri wananchi hawawezi andamana!

Kwa to begin off,huo ni uongo!

Wanaandamana sema wewe huoneshwi!

Pili uchumi hauwi mzuri miaka yote milele na milele.

Uchumi unapanda na kushuka!

Uchumi unaotumia kama ni kigezo namba moja ya furaha za wanadamu wa China ushauka now...Kutoka 15% per year to now 5% growth per year na sijui hali ikiwa mbaya zaidi utasema nini zaidi!

Wanadamu hawaishi kwa hela tu.

Wanaishi kwa uhuru na self actulization ambayo uchumi hautoi ni democrasia inatoa!

China is a ticking bomb siku litalipuka!

CCP part knows this!
Mazeeh tuliza kichwa kwanza maana unajibu tofauti na ninachohitaji kuelezewa.
Tuliza kichwa maana unazidi kuropoka.
 
Unauliza maswali ya hovyo ambayo hayapo China!

China hakuna Constituonal Democracy!

China hakuna Demokrasia kwa Kiswahili!

Unapouliza Wananchi wa China wanyomwaje Demokrasia unakua unaonesha upumbavu maana Katiba ya China haitoi Demokrasia kwa wananchi!

Definition ya Democracy umesoma OLevel kwenye masomo mawili ,Civics na History!

Na mtihani wa Taifa kwenye masomo haya mawili ni kazima swali la “Democracy” lije,ulijibu na ukafaulu!

Cha ajabu leo umekua mtu mzima,hujui nini maana ya “Democracy”!

Narudia tena,China hakuna Democracy system!

Hakuna Mchina alishapiga kura kumachagua rais wa China!

Haijawahi tokea!

China hakuna kitu kinaitwa “General Election”...

Kuna uchaguzi za serikali za mitaa na vijiji ndio wanachagua wawakilishi kama madiwani!

Basi!

Upumbavu unaouzungumzia wewe hapa inaelekea China hujui mfumo wa serikali yao au unafanya makusudi kusumbua watu hapa!

Na China sio “Developed Nation” na wala sio “Developing Nation”,ipo katikati!

Ndio maana hata huijui vizuri China!

Sema hivi,mimi nazungumzia Haki na Democrasia ya watu wa China halafu wewe unazungumzia Uchumi!

Vitu viwili tofauti!

Na kujibu najibu nachotaka au nisijibu niandike mambo yangu binafsi ninayotaka!

Usinipangie cha kujibu ukitakacho wewe!

Soma comment,ukikuta jibu lolote kuhusu hoja zako sawa,ukikuta hakuna pia sawa,kula kimya andika unachojisikia na siwezi kukuuliza chochote!
Duh we jamaa unatia huruma.
Inaelekea kusoma kwako kote na kufanya mitihan kote umeshindwa kung'amua nn swali linahitaji.
Embu tizama nn swali linahitaji then ujibu tena.

Unakua mkali kumbe unabwatuka na kubwabwaja bila kujijua.
 
Mazeeh tuliza kichwa kwanza maana unajibu tofauti na ninachohitaji kuelezewa.
Tuliza kichwa maana unazidi kuropoka.

Wewe unachohitaji kuelezewa mimi sikitaki na wala usinipangie!

Sipo hapa kujua watu kwenye ubongo zao wanataka nini mimi niwatimilizie kwa kuwajibu watakavyo wao!

Naandika madudu yangu,ukipata jibu humo sawa ukikosa pia sawa!

Usiniweke kwenye mahakama nikujibu wewe kwa mizani zako ubongoni mwako wewe!


Ukikosa jibu unalolitaka humo kwenye madudu yangu basi nyamaza!

Na mimi sikusumbui na majibu ya aina yoyote!

Ndio maana unajibu utakavyo na sijakuuliza unijibu nitakavyo mimi maana sipo hapa kukupangia uandike nini!
 
Mazeeh tuliza kichwa kwanza maana unajibu tofauti na ninachohitaji kuelezewa.
Tuliza kichwa maana unazidi kuropoka.

Sijui kuandika paragraph ndefu ndio kuropoka?

Sijajua definition yako hasa ya kuropoka!

Pia kuropoka ni haki yangu nikiamua kuropoka!
 
Duh we jamaa unatia huruma.
Inaelekea kusoma kwako kote na kufanya mitihan kote umeshindwa kung'amua nn swali linahitaji.
Embu tizama nn swali linahitaji then ujibu tena.

Unakua mkali kumbe unabwatuka na kubwabwaja bila kujijua.

Natia huruma?

Natia huruma ili wewe unihurumie?

Wewe hapo?

Yaani wewe unihurumie kwa lipi kwa mfano?

Nahitaji huruma yako?

Be serious bwana!

Haya mambo ya kitoto achana nayo!

Nimesoma kama wewe ulivyosoma!

Unadai sijajibu swali lako,hilo swali lipo wapi?

Litaje!

Kama ni la maana kwangu mimi ntajibu kama halina maana sitajibu!

Kama ni swali ya Democrasia ya China ni la kipumbavu maan China haina mfumo wa Democracy wana mfumo wa Totalitarian system!

Unapokuja na viswali eti “demokrasia ya kupiga kura China” nakushangaa as if China kuna Uchaguzi wa Taifa wakati hakuna!

What’cha talking about?
 
Unadhani china ni wajinga mpaka kusema hayo maneno? Kwa akili yako finyu ulitaka uone watu wameunga mstari kwenye balozi za usa kupokea pesa ndio uamini kuwa cia wanafadhili hayo maandamano?
Lete ushahidi acha ushabiki maandazi.
 
Yani hapa tuh nimepima uelewa wako uko finyu aisee.
Nan kakupangia cha kujibu???
Nimekuuliza kitu flan jibu kitu nilichokuuliza hyo ndio busara.

Ni vizuri tutakumbushana Kiswahili sahihi:

Tuh=Tu

Yani=Yaani

Nan=Nani

Flan=Fulani

Hyo=Hiyo

Halafu nakaa hapa nikuchukulie serious Kiswahili chenyewe hujui!

Umeniuliza “kitu fulani” kitu gani hicho hakina jina?

Umenipangia nijibu!

Unalazimisha watu wajibu ulichouliza wewe kama nani?

Unauliza swali,linaweza kijibiwe au lisijibiwe,then unakula kimya,sio unalazimisha watu wafuate matakwa yako!
 
Ni vizuri tutakumbushana Kiswahili sahihi:

Tuh=Tu

Yani=Yaani

Nan=Nani

Flan=Fulani

Hyo=Hiyo

Halafu nakaa hapa nikuchukulie serious Kiswahili chenyewe hujui!

Umeniuliza “kitu fulani” kitu gani hicho hakina jina?

Umenipangia nijibu!

Unalazimisha watu wajibu ulichouliza wewe kama nani?

Unauliza swali,linaweza kijibiwe au lisijibiwe,then unakula kimya,sio unalazimisha watu wafuate matakwa yako!
Bro am surrendering hatutaweza elewana endesha mjadala na watu wengine.
 


Ushahidi uko wazi hapo kwa yoyote anayetaka ukweli.


Nyengine hiyo! Ringleaders wana sepa.

Msikilize former HK Chief Prosecutor


Msikilize na hapa kwa kufahamu zaidi.


CGTN (china global televison network) ulitegemea nini kutoka kwenye media hii?

Wakubali tu sababu ya maandamano ni kutaka kubatilisha sheria ili watuhumiwa wa hongkong waweze kushtakiwa mainland. Westeners has nothing to do with this zaidi ya kufurahia mvutano na kuchochea kuni kwa mbalii
 
CGTN (china global televison network) ulitegemea nini kutoka kwenye media hii?

Wakubali tu sababu ya maandamano ni kutaka kubatilisha sheria ili watuhumiwa wa hongkong waweze kushtakiwa mainland. Westeners has nothing to do with this zaidi ya kufurahia mvutano na kuchochea kuni kwa mbalii
Niambie chanzo cha maandamano ni nini?

Tukumbushane:
Swali langu halijajikita kutokua na ufahamu bali ni kuelimishana.

Karibu.
 
CGTN (china global televison network) ulitegemea nini kutoka kwenye media hii?
Wakubali tu sababu ya maandamano ni kutaka kubatilisha sheria ili watuhumiwa wa hongkong waweze kushtakiwa mainland. Westeners has nothing to do with this zaidi ya kufurahia mvutano na kuchochea kuni kwa mbalii
Tuwekane sawa kwanza. HK ni sehemu ya China. Ndiyo maana kuna The Constitution of China plus basic law of HongKong.

Kwa maana: Katiba ni moja na sheria maalum kwa zilizo kwa mji maalum ambao ni mji wa Hong Kong. Hong Kong bendera ya China na kwao ni National flag. Wimbo wa Taifa wa China nao ni wimbo wa Taifa.

Sheria maalum za Hk ndizo hizo zinazofanya HK kuwa na mamlaka yake ya kimahakama, HK kujisimamia pasipo China bara kuwaingilia. Lakini inkubali kwamba Hong Kong ipo China.

Fahamu kwamba China kwa sasa ipo kwenye taswira gani kimataifa. Ukubwa wake umekuwa ni tishio kwa nchi za kimagharibi. Nchi zenye majeshi makubwa yenye zana za kisasa na zenye uchumi unaojiweza.

HK imegawanyika sehemu 3. Kuna HK island, Kowloon Peninsula na New territories. HK Island na Peninsula zinatenganishwa na bahari. HK new territories ina' share mpaka na China bara.

Licha ya hayo, bado HK bendera ya Taifa ni ya China bara.

Basic law za HK zinaitaka China bara isiwaingilie. Tafsiri yake ni kwamba hata kama majasusi wa Uingereza+Marekani wanacheza watakavyo HK ambayo karibu sana na China, China bara hawana uwezo wa kufanya chochote. Fahamu nguvu ya China kwa sasa ipoje, fahamu nguvu ya west ipoje, na fahamu Dunia inakwendaje.

Na inatubidi tutafakari. Kwa nini China ilopotaka sehemu ya ardhi yake irudi(ambayo ni HK) kwa nini Uingereza aliweka kipengele cha China bara hatoiingilia kimamlaka HK kwa miaka 50. Na huo mkataba ni wa mwaka 1997.

Kwa hiyo kabla ya kuingia kwenye mjadala inabidi hayo tuyafahamu.
 
Back
Top Bottom