Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,939
- 4,117
Ninawasiwasi na baadhi yetu waswahili kuwa tunawajua juu juu tu, hawa Wayahudi, tuna lopoka tu hata tusijue hao Mayahudi ni kina nani haswa
Nilitarajia Urusi, Irani, Korea na hata China waingilie kati, kwa sababu ya uswahiba wa nchi hii ya kiyahudi na US, lakini wapi, Israeli ni nani?
Hata hivyo, naweza sema, UN ndio wanaowajua vema hawa Mayahudi, nguvu yao kijeshi, umhimu wao kwenye umoja wa Mataifa kwamba wao ni kina nani na wanamadhara gani katika karne hii ya 21, kura zaidi ya 72% zimeonyesha kupinga uvamizi wa Israel huko Gaza
Matokeo yake ndio kwaanza, vijamaa vinaendelea na mauwaji ya khalaiki huko Gaza
Wafanya kazi wa umoja wa mataifa wanauwawa, wanahabari wanachinjwa, watoto wadogo pia ukiachia mbali magaidi ya hamasi yanavyokufa kama kumbi kumbi
Nchi za Kiarabu bila shaka nao wanawajua vema hao Mayahudi, hakuna nchi inayopiga yowe juu ya mayahudi hayo ya Kiisrael
Israeli ni kina nani?
Nguvu yao, umhimu katika umoja wa mataifa ni kina nani haswaa?
Nilitarajia Urusi, Irani, Korea na hata China waingilie kati, kwa sababu ya uswahiba wa nchi hii ya kiyahudi na US, lakini wapi, Israeli ni nani?
Hata hivyo, naweza sema, UN ndio wanaowajua vema hawa Mayahudi, nguvu yao kijeshi, umhimu wao kwenye umoja wa Mataifa kwamba wao ni kina nani na wanamadhara gani katika karne hii ya 21, kura zaidi ya 72% zimeonyesha kupinga uvamizi wa Israel huko Gaza
Matokeo yake ndio kwaanza, vijamaa vinaendelea na mauwaji ya khalaiki huko Gaza
Wafanya kazi wa umoja wa mataifa wanauwawa, wanahabari wanachinjwa, watoto wadogo pia ukiachia mbali magaidi ya hamasi yanavyokufa kama kumbi kumbi
Nchi za Kiarabu bila shaka nao wanawajua vema hao Mayahudi, hakuna nchi inayopiga yowe juu ya mayahudi hayo ya Kiisrael
Israeli ni kina nani?
Nguvu yao, umhimu katika umoja wa mataifa ni kina nani haswaa?