Waandamana kuipinga jela ya Guantanamo

Waandamana kuipinga jela ya Guantanamo

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,599
Reaction score
1,801
Wananchi wa marekani leo wameandamana maeneo mbalimbali ya Nchi hiyo ktk kilele cha kuadhimisha miaka 12 ya Jela hiyo,tangu alipoingizwa mahabusu wa kwanza ndani ya jela hiyo, wakipinga kuendelea kuwepo kwa jela hiyo ambayo rais Barack Obama aliahidi kuifunga wakati wa kampeni zake za kugombea u rais, na hajafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom