Umesoma na waliokuwahi kumaliza topics wakati wa likizo otherwise impact yao hao jamaa zako tungeiona huku kwenye changamoto halisi za maisha ambako huhitaji tuition ,unahitaji maamuzi ya papo KWA papo bila kuwa na hand out yoyoteSema hujawahi kusoma na magenius tu ueleweke.
Kwa ambao tumesoma na vipanga shughuli yao twaijua