Wewe hiyo kamera ya cm uliyotumia kupiga nayo ulitumia kugoogle majibu
Raha ni pale mtu anapoingia na desa halafu yale aliyoandaa sio yaliyoulizwa kwenye mtihani...
You have a point dude!Wewe hiyo kamera ya cm uliyotumia kupiga nayo ulitumia kugoogle majibu
Wewe hiyo kamera ya cm uliyotumia kupiga nayo ulitumia kugoogle majibu
Duuh huyo lazima atakuwa mtahiniwa wa faragha (Private Candidate), maana kwa aina hiyo ya madawati na mavazi yao kama itakuwa chuo basi ni vyuo vya Kayumba.
Hii picha inamfaa Mwalim wangu gfsonwin aione jinsi wanafunzi wake wanavyo Copy na Ku paste hahhaahahah..............
Wewe hiyo kamera ya cm uliyotumia kupiga nayo ulitumia kugoogle majibu
Duuh huyo lazima atakuwa mtahiniwa wa faragha (Private Candidate), maana kwa aina hiyo ya madawati na mavazi yao kama itakuwa chuo basi ni vyuo vya Kayumba.
Kwa dada yangu mpendwa, Mheshimiwa Dokta J. Ndalichako (Katibu Mtendaji - NECTA) kiboko ya wahalifu wa Mitihani, nakuamini kwa kazi yako nzuri, pindi usomapo hii, ipange upya safu ya wasimamizi wako. Kazi bado kubwa Mheshimiwa.