Changamoto za Spa za Dar es Salaam kwa wafanyakazi

homegirl

Senior Member
Jul 24, 2023
120
283
Amani iwe nanyi.

Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu.

Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments, body scrub) nimejifunza na kufanya hii kazi Zanzibar. Kule tumeifanya hii kazi in a very professional way, kiasi kwamba uko comfortable nayo.
  • Kwanza staff wote tuna uniform tumeshonewa na ofisi (sio nguo ya kubana wala kukuacha wazi mwili wako na unakuwa comfortable kufanya kazi ukiwa umeivaa).
  • Pili kuna muda wa kwenda kazini na kutoka, 8hrs of working + mapumziko ya siku moja kwa wiki.
  • Tatu, hufanyi kazi nje na treatments (mf. Kufua labda shuka na towels zilizotumika during treatment)
  • Nne, wanaangalia ufanyaji wako wa kazi aise, sio muonekano.
Nadhani umeona ni jinsi gani mazingira yalikuwa ni mazuri kwa mfanyakazi.

Okay, kwa wakazi wa Zanzibar nadhani watakuwa wanajua kuna kipindi ni low season so hakuna kazi kiviile. Nikasema nikapoe DSM kwanza. Katika kupitia mtandaoni nikaona spa moja DSM inataka mfanya massage, nikawachek kwamba nahitaji. Swali la kwanza TUMA PICHA nikatuma.

Kisha ndo wakauliza kama najua kufanya au nikajifunze (kwenye tangazo walisema kama unapenda na hujui tunakufundisha) nikasema najua. Wakasema njoo uanze kazi. Nikaulizia malipo yakoje wakasema ni kwa commission (nikaona duh! Ila fresh) wakasema inatakiwa uishi huku huku. Kipengele tena, ndo nikapitia page yao IG nikaona kumbe huduma ni 24/7 (nkasema tuu fresh). Kanipa address nikafika (siku ile ile just imagine ).

Kwanza nikapewa t-shirt ya ofisi ambapo ni sare tunayotakiwa kuivaa kuanzia asubuhi mpaka saa kumi jioni. Chini unavaa black tyt (sikuwa nayo nikawa navaa black jeans).

Kuanzia hiyo saa kumi sasa mnaoga mnachange mavazi (hii ilikuwa ngumu kwangu coz sikuwa na nguo type zile). Nkapewa nguo moja nkaivaa kwa siku ile (dah! ni huzuni).

Shida moja kubwa sana ni ile mteja anawachagua kama mandazi dah! Why this? Si unataka massage? Why uchague chague aah.. hii kazi nimeifanya kwa wiki moja(siku saba kamili) tu huku aisee siyawezi. Nitawaeleza niliyokutana nayo huko ndani.
 
Umeomba kazi kwenye massage parlours za kimasikini.

Huko wenzako wana njaa wanatafuta madanga, kuna mmoja aliwahi kuniambia wanaoga dawa hatari ili wavutie mda ule mteja anapochagua sabab wanakula kwa commission.

Rudi zanzibar au njoo dm nikuajiri mimi hilo battle hutoliweza kama ushaanza kulalamika hivo
 
Pole sana. Maisha ni mapambano.

Kuna dada Lili amefungua The Spa by Lili ile wapo professional sana.
Screenshot_20240319-192055.png

Ina kama mwezi nadhani ni moja wa professionals pia kwa Tanzania, ungejaribu kuwacheki.

Bongo bongo massage zote lazima uombwe happy ending.
 
Amani iwe nanyi.

Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu.

Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments, body scrub) nimejifunza na kufanya hii kazi Zanzibar. Kule tumeifanya hii kazi in a very professional way, kiasi kwamba uko comfortable nayo.
-Kwanza staff wote tuna uniform tumeshonewa na ofisi (sio nguo ya kubana wala kukuacha wazi mwili wako na unakuwa comfortable kufanya kazi ukiwa umeivaa).
-Pili kuna muda wa kwenda kazini na kutoka, 8hrs of working + mapumziko ya siku moja kwa wiki.
-Tatu, hufanyi kazi nje na treatments (mf. Kufua labda shuka na towels zilizotumika during treatment)
-Nne, wanaangalia ufanyaji wako wa kazi aise, sio muonekano.
Nadhani umeona ni jinsi gani mazingira yalikuwa ni mazuri kwa mfanyakazi.

Okay, kwa wakazi wa Zanzibar nadhani watakuwa wanajua kuna kipindi ni low season so hakuna kazi kiviile. Nikasema nikapoe DSM kwanza. Katika kupitia mtandaoni nikaona spa moja DSM inataka mfanya massage, nikawachek kwamba nahitaji. Swali la kwanza TUMA PICHA nikatuma. Kisha ndo wakauliza kama najua kufanya au nikajifunze (kwenye tangazo walisema kama unapenda na hujui tunakufundisha) nikasema najua. Wakasema njoo uanze kazi. Nikaulizia malipo yakoje wakasema ni kwa commission (nikaona duh! Ila fresh) wakasema inatakiwa uishi huku huku. Kipengele tena, ndo nikapitia page yao IG nikaona kumbe huduma ni 24/7 (nkasema tuu fresh). Kanipa address nikafika (siku ile ile just imagine ).

Kwanza nikapewa t-shirt ya ofisi ambapo ni sare tunayotakiwa kuivaa kuanzia asubuhi mpaka saa kumi jioni. Chini unavaa black tyt (sikuwa nayo nikawa navaa black jeans).

Kuanzia hiyo saa kumi sasa mnaoga mnachange mavazi (hii ilikuwa ngumu kwangu coz sikuwa na nguo type zile). Nkapewa nguo moja nkaivaa kwa siku ile (dah! ni huzuni).

Shida moja kubwa sana ni ile mteja anawachagua kama mandazi dah! Why this? Si unataka massage? Why uchague chague.. aah.. hii kazi nimeifanya kwa wiki moja(siku saba kamili) tuu huku aisee siyawezi. Nitawaeleza niliyokutana nayo huko ndani.

SPA za Dar asilimia Kubwa ni majumba yakwenda kupunguzia upwiru kwa waume na wasio waume za watu.
 
Amani iwe nanyi.

Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu.

Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments, body scrub) nimejifunza na kufanya hii kazi Zanzibar. Kule tumeifanya hii kazi in a very professional way, kiasi kwamba uko comfortable nayo.
-Kwanza staff wote tuna uniform tumeshonewa na ofisi (sio nguo ya kubana wala kukuacha wazi mwili wako na unakuwa comfortable kufanya kazi ukiwa umeivaa).
-Pili kuna muda wa kwenda kazini na kutoka, 8hrs of working + mapumziko ya siku moja kwa wiki.
-Tatu, hufanyi kazi nje na treatments (mf. Kufua labda shuka na towels zilizotumika during treatment)
-Nne, wanaangalia ufanyaji wako wa kazi aise, sio muonekano.
Nadhani umeona ni jinsi gani mazingira yalikuwa ni mazuri kwa mfanyakazi.

Okay, kwa wakazi wa Zanzibar nadhani watakuwa wanajua kuna kipindi ni low season so hakuna kazi kiviile. Nikasema nikapoe DSM kwanza. Katika kupitia mtandaoni nikaona spa moja DSM inataka mfanya massage, nikawachek kwamba nahitaji. Swali la kwanza TUMA PICHA nikatuma. Kisha ndo wakauliza kama najua kufanya au nikajifunze (kwenye tangazo walisema kama unapenda na hujui tunakufundisha) nikasema najua. Wakasema njoo uanze kazi. Nikaulizia malipo yakoje wakasema ni kwa commission (nikaona duh! Ila fresh) wakasema inatakiwa uishi huku huku. Kipengele tena, ndo nikapitia page yao IG nikaona kumbe huduma ni 24/7 (nkasema tuu fresh). Kanipa address nikafika (siku ile ile just imagine ).

Kwanza nikapewa t-shirt ya ofisi ambapo ni sare tunayotakiwa kuivaa kuanzia asubuhi mpaka saa kumi jioni. Chini unavaa black tyt (sikuwa nayo nikawa navaa black jeans).

Kuanzia hiyo saa kumi sasa mnaoga mnachange mavazi (hii ilikuwa ngumu kwangu coz sikuwa na nguo type zile). Nkapewa nguo moja nkaivaa kwa siku ile (dah! ni huzuni).

Shida moja kubwa sana ni ile mteja anawachagua kama mandazi dah! Why this? Si unataka massage? Why uchague chague.. aah.. hii kazi nimeifanya kwa wiki moja(siku saba kamili) tuu huku aisee siyawezi. Nitawaeleza niliyokutana nayo huko ndani.
Ungekomaa huku huku tu.. high season mwez wa sita tu hapo
 
maisha kama hayo nilishayapitia sana, ya kwenda spa kufanya ngono, Hadi Mungu aliponiokoa, naona ni uchafu, uchafu , uchafu zaidi ya choo. hakuna spa niliyowahi enda nikatoka bial ngono, wadada wote wa spa huwa wanajiuza, jiulize, wewe ni wa ngapi? wamefanya massage kwa wangapi, wamezini na wote, wewe ni wa ngapi?
zaidi ya yote, unafanyiwa massage na mtu mhuni ambaye yupo pale kujiuza, hana usomi wowote wa neva za mwili, anachojua ni kukandakanda tu, wengi wameathirika na jambo hili kwasababu wadada walewale wa scrub waliookotwa tu huko bar, ndio wanaminyaminya watu ati wanapiga massage kumbe wanaharibu neva na misuli. watu pekee wenye uwezo wa kufanya massage ni professional therapist wa physiotherapy, wengine wote ni malaya na wapo pale kukusisimua ili ufanye uzinzi kwa pesa.

Zaidi ya hayo yote, jiangalieni, 1Wakorintho 6:18 - 20 inasema, Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuw mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

Mungu hakutuumba kwa bahati mbaya, alituumba ili tumwabudu nakumtukuza yeye, na ametupatia hii mili ili tuishi kwa kumtukuza yeye, sio tuishi kwa kumdharau au kuichafua miili. uzinzi huchafua miili ambayo Mungu alitegemea iwe ni hekalu lake takatifu. na wote wanaoichafua, Mungu atawahukumia adhabu.

hata hivyo, hatujachelewa, kama wewe ni mzinzi au muasherati, uwe unaenda SPA au popote, hujachelewa, bado lipo tumaini, tubu dhambi zako kwa kumaanisha kuziacha, Mungu atakusamehe na atasahau kabisa kabisa, utakuwa mpya. mimi nilifanya ujinga wote huo lakini hata kama mtu atanikumbusha dhambi yeyote ya nyuma ambayo nilitubu, nitamwambia Yesu alishaifuta, sina dhambi hiyo tena, hata ningekuwa nimezini hadi kwenye porn Mungu anasamehe kama nikitubu na kuacha. hivyo wewe ambaye unajiuza au unanunua wanawake, haujachelewa, Neema ya Mungu bado ipo, utazini hadi lini? tangu uanze kuzini umefaidika nini zaidi ya kumtenda Mungu dhambi, unafikiri Mungu hakuoni, Mungu hadhihakiwi, chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna. utavuna matunda ya hicho unachokifanya siku moja. Mungu akusaidie.
 
Umeomba kazi kwenye massage parlours za kimasikini.

Huko wenzako wana njaa wanatafuta madanga, kuna mmoja aliwahi kuniambia wanaoga dawa hatari ili wavutie mda ule mteja anapochagua sabab wanakula kwa commission.

Rudi zanzibar au njoo dm nikuajiri mimi hilo battle hutoliweza kama ushaanza kulalamika hivo
Una SPA au ni idara nyingine?
 
Kwa taarifa yako watu wa Dar tunafuata wale mabinti na jinsi wanavyo tutomasa tomasa.
Sasa wewe homegirl unategemea niende nihudumiwe na MTU aliyevaa Dera au baibui au like dude wanalovaa waislamu? Tunataka tuone maziwa LIVE trako linavyotetemeka na maneno matamu.
ndo nyie nyie aise..
 
maisha kama hayo nilishayapitia sana, ya kwenda spa kufanya ngono, Hadi Mungu aliponiokoa, naona ni uchafu, uchafu , uchafu zaidi ya choo. hakuna spa niliyowahi enda nikatoka bial ngono, wadada wote wa spa huwa wanajiuza, jiulize, wewe ni wa ngapi? wamefanya massage kwa wangapi, wamezini na wote, wewe ni wa ngapi?
zaidi ya yote, unafanyiwa massage na mtu mhuni ambaye yupo pale kujiuza, hana usomi wowote wa neva za mwili, anachojua ni kukandakanda tu, wengi wameathirika na jambo hili kwasababu wadada walewale wa scrub waliookotwa tu huko bar, ndio wanaminyaminya watu ati wanapiga massage kumbe wanaharibu neva na misuli. watu pekee wenye uwezo wa kufanya massage ni professional therapist wa physiotherapy, wengine wote ni malaya na wapo pale kukusisimua ili ufanye uzinzi kwa pesa.

Zaidi ya hayo yote, jiangalieni, 1Wakorintho 6:18 - 20 inasema, Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuw mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

Mungu hakutuumba kwa bahati mbaya, alituumba ili tumwabudu nakumtukuza yeye, na ametupatia hii mili ili tuishi kwa kumtukuza yeye, sio tuishi kwa kumdharau au kuichafua miili. uzinzi huchafua miili ambayo Mungu alitegemea iwe ni hekalu lake takatifu. na wote wanaoichafua, Mungu atawahukumia adhabu.

hata hivyo, hatujachelewa, kama wewe ni mzinzi au muasherati, uwe unaenda SPA au popote, hujachelewa, bado lipo tumaini, tubu dhambi zako kwa kumaanisha kuziacha, Mungu atakusamehe na atasahau kabisa kabisa, utakuwa mpya. mimi nilifanya ujinga wote huo lakini hata kama mtu atanikumbusha dhambi yeyote ya nyuma ambayo nilitubu, nitamwambia Yesu alishaifuta, sina dhambi hiyo tena, hata ningekuwa nimezini hadi kwenye porn Mungu anasamehe kama nikitubu na kuacha. hivyo wewe ambaye unajiuza au unanunua wanawake, haujachelewa, Neema ya Mungu bado ipo, utazini hadi lini? tangu uanze kuzini umefaidika nini zaidi ya kumtenda Mungu dhambi, unafikiri Mungu hakuoni, Mungu hadhihakiwi, chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna. utavuna matunda ya hicho unachokifanya siku moja. Mungu akusaidie.
Congrats
 
Back
Top Bottom