DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,563
- 5,957
Mshahara wa mwalimu unaisha haraka zaidi ya bao la mbakaji.
Sasa kama mshahara hautoshi afanyeje? Afe njaa ?Mkuu sasa Huyo mwalimu atapata wapi muda wa kuandaa somo ili madent wapate kilicho bora?ataishia tuu kuzuga class ,mind u kwamba mwalimu in MTU was kusoma muda wote
Wacha upuuzi wako wewe kama umeridhika na mshahara wa Tsh.700000 kwa mwezi ni wewe. Hiyo pesa haitoshi na haitakaa itoshee. Huyo aliyezuia walimu wasiendeshe Boda Boda analipwa milioni 4 na upuuzi kwa mwezi sasa mwambie umlipe hata milioni kwa mwezi kama atakuelewa.Kwani walimu wanamishahara midogo kiasi cha kuonewa huruma kiasi hicho? Si mishahara ambayo hata sisi watumishi wengine wa umma tunapokea. Hilo la kwenda kufanya bodaboda ni maamuzi yao lakini sio kwamba wanashida sana au wanalipwa kiasi kidogo tofauti na sie wengine ambao sio walimu
Sio Tanzania hii mwalimu ni wa kusoma muda wote.Labda kwengineko wanako heshimu kila taaluma na Ujuzi wa watu.Sio sisi,wanapenda kufanya hivyo ila mazingira na mifumo yetu ipo hovyooooooo....upo sahihi kabisa.Ila mifumo ipo hovyooooo kabisa.Mkuu sasa Huyo mwalimu atapata wapi muda wa kuandaa somo ili madent wapate kilicho bora?ataishia tuu kuzuga class ,mind u kwamba mwalimu in MTU was kusoma muda wote
Mkuu wa Mkoa amepiga marufuku kujiingiza kwa walimu katika biashara ya uendeshaji bodaboda na upigaji picha mitaani kwa sababu kunashusha kiwango cha taaluma kwa wanafunzi.
Telack alitoa katazo hilo juzi baada ya kupokea taarifa kuwa baadhi ya walimu wanatoroka shuleni na kwenda kufanya shughuli zao binafsi, ikiwemo ubebaji abiria kwa pikipiki.
Akizungumza na wakuu wa shule zote za manispaa ya Shinyanga, waratibu elimu na maofisa elimu, Telack alisema atawafukuza kazi walimu wanaokacha vipindi.
Kwa habari zaidi nunua nakala yako ya NIPASHE LEO
My take;
Roho inaniuma mpaka natamani kuhama nchi hii. Maisha ni watu na watu ndio sisi tuwajali basi waalimu wetu. Roho imeninyonga nyonga asubuhi hii kwa hii taarifa. Inauma walahi
Hapa kazi tu ili mradi uko kisheriaAliamua kuwa mwalimu ili apate kipato, ni maamuzi yake binafsi.
Nimewahi kubebwa kwa pikipiki na mwl mmoja hapo shy (baada ya masaa ya kazi). Mie nilimpongeza. Wafanyeje hawa walimu kama mishahara ni midogo sana, promotion hakuna na tuition ni marufuku. Naamini siyo Shinyanga peke yake maana naamini ndiyo njia baadhi yao wameamua kama namna ya ku-cope na hali halisi ya sasa.
Mkuu wa Mkoa amepiga marufuku kujiingiza kwa walimu katika biashara ya uendeshaji bodaboda na upigaji picha mitaani kwa sababu kunashusha kiwango cha taaluma kwa wanafunzi.
Telack alitoa katazo hilo juzi baada ya kupokea taarifa kuwa baadhi ya walimu wanatoroka shuleni na kwenda kufanya shughuli zao binafsi, ikiwemo ubebaji abiria kwa pikipiki.
Akizungumza na wakuu wa shule zote za manispaa ya Shinyanga, waratibu elimu na maofisa elimu, Telack alisema atawafukuza kazi walimu wanaokacha vipindi.
Kwa habari zaidi nunua nakala yako ya NIPASHE LEO
My take;
Roho inaniuma mpaka natamani kuhama nchi hii. Maisha ni watu na watu ndio sisi tuwajali basi waalimu wetu. Roho imeninyonga nyonga asubuhi hii kwa hii taarifa. Inauma walahi
Tgts d wakikata makato yao toka 716000 inabaki 400000+ hapo hajaenda kukopa bank, ana familia zinamtegemea alipe nyumba, chakula na mavazi. Waache waingie huko tuMkuu sasa Huyo mwalimu atapata wapi muda wa kuandaa somo ili madent wapate kilicho bora?ataishia tuu kuzuga class ,mind u kwamba mwalimu in MTU was kusoma muda wote
Hakika maana walimu hawana posho wala vijisemina vya chaiAcheni walimu wajiongeze.Hivi yeye anataka kuwakamua wakati hawapi malisho stahiki? 480000 kwa mwezi,pango 60000-80000,nauli za uhakiki 30000,photocopy 6000,maji 28000,umeme 20000,chakula 120000,tahadhari 200000.Hapo hajatoa 10%.michango mbalimbali.Hivi katika hii hali unawezaje kuhoji walimu kupiga picha ama kuendesha boda?
Huyo mkuu wa mkoa kama amefanya utafiti kwamba walimu hao hawaingii madarani badala yake wanaendesha bodaboda basi ni sawa kabisa kuzuia illa kama hajafanya uchunguzi wowote basi ni mwendelezo wa mizuka. Nijuacho mimi ni kosa mtumish wa umma kushuhulika na shughuli zake binafsi saa za kazi na kama hao walimu wanaendesha hizo boda na hawaendi kazin kufundisha basi ni haki kuwakataza tena na kuwachukulia hatua kali za kinidhamu lakin kama wanatimiza majukumu yao ya kiualimu na hizo boda wanaziendesha nje ya saa za kazi ,kuna haja ya kupima kiwango cha uelewa kwa baadhi ya viongozi.huenda wamewehuka na madaraka.
Mkuu wa Mkoa amepiga marufuku kujiingiza kwa walimu katika biashara ya uendeshaji bodaboda na upigaji picha mitaani kwa sababu kunashusha kiwango cha taaluma kwa wanafunzi.
Telack alitoa katazo hilo juzi baada ya kupokea taarifa kuwa baadhi ya walimu wanatoroka shuleni na kwenda kufanya shughuli zao binafsi, ikiwemo ubebaji abiria kwa pikipiki.
Akizungumza na wakuu wa shule zote za manispaa ya Shinyanga, waratibu elimu na maofisa elimu, Telack alisema atawafukuza kazi walimu wanaokacha vipindi.
Kwa habari zaidi nunua nakala yako ya NIPASHE LEO
My take;
Roho inaniuma mpaka natamani kuhama nchi hii. Maisha ni watu na watu ndio sisi tuwajali basi waalimu wetu. Roho imeninyonga nyonga asubuhi hii kwa hii taarifa. Inauma walahi