Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,666
- 3,049
Wewe hivi upo dunia gani? Mainvestor wakubwa Marekani, Uingereza ni Wahindi na Waarabu. Waarabu wana stake kubwa ktk kila kampuni Marekani. Walitaka hadi kununua port, lakini Udini ukaletwa kuwazuia. Wewe unafikiri hela za mafuta za Waarabu zinafanya kazi gani?
Post by: Tom Mucha |
View attachment 34907
..nimepita kule michuzi blog nikashtuka kuona picha ya waagizaji wa mafuta nchini.
..jamani sijawahi kuona ktk nchi yoyote ile wananchi wake wakiwa under-represented kiasi hiki.
..kwanini hakuna Watanzania halisi ktk biashara hii?
..hivi serikali imeridhika na hali ilivyo kwamba biashara hii iwe monopoly ya Wahindi na Waarabu tu?
..call me mbaguzi or whatever you want, but we need to AFRICANIZE this business without any delay or excuses.
Why being racist......ni suala la kufanya biashara with 100% commitment.......wanaowauzia mafuta dealers wa Tanzania ni International Energy agencies ambao hawaangalii rangi yako bali pesa yako......pili EWURA hawakatai kumpa mtu leseni kama una plan yako as kwao wao wanazidi kupata hela ya marking at 6 Tshs per every ltr somebody imports..........Tatu biashara ya mafuta ni yenye hela na at the same time requires huge capital to risk.........unaweza ukaingia hasara kama unategemea kuimport with intention of kuhifadhi mzigo kwenye matanki ya makampuni mengine........
TOTAL, ENGEN NA BP ( the final one's asset have been sold to foreign form) all are not wahindi, waarabu owned company.........
GAPCO is owned by Reliance Industries which ofcourse owned by Indlian Tycoon Ambani......but these guys are also Largest in Tanzania but also in world with BP recently investing in Reliance........
Problem ya nchi yetu ni hivi watu wanaongea pumba nyingi rather than working hard and once they are not achieving their potential wanaanza kutafuta mchawi......
My take on fuel business: It can be done with huge capital involved and huge risks at the same time as Prices are monitored by global market forces and not local......secondly after fiasco ya EWURA na fuel stakeholders...... nimekuja kujua kwa nini mashirika ya umma yanakufa.....tunafanya maamuzi kwa kufurahisha watu rather than looking at profit and loss margin.......na kwa hali hii serikali ikifanya biashara ya bulk importation ya fuel ......i am pretty much sure they are going to screw it kama kawaaaaaaaaaaaaa......
Tuache ubaguzi bali tufanye kazi kwa bidii na kurekebishana .........kwani hivi Serikalini huwa kuna wahindi tu na waarabu.......na kule ndio ufisadi umenoga sawa sawa
Umelanguliwa nini wakati bei za mafuta zinapangwa na EWURA kwa muda sasa. Unanchekesha!
Huyo alianza kwa bucha ya nyama pale mtaa wa Jamhuri, karibu na Naaz Hotel enzi hizo, siku hizi kuna Chinese Restaurant. Si unaona katokea wapi? kwenye bucha ya nyama!
Na ndugu yake (Marehem Abdallah Bahashwan) alikuwa na duka la kuuza viungo (spices) ambalo mbaka sasa linaendelezwa na wanawe, huko uhindini.
Bado hujajibu maswali: jina la "duka la viungo"? mtaa? majina ya hao "watoto tu"?
Kumbe unawajua eeh, biashara zao kubwa ni za magendo magendo kama pembe za ndovu ila wao hupenda kujichanganya na waafrika hata damu wanachanganya...hizo biashara za viungo na mabucha ni geresha tu, lakini most of them made their money thr' uwindaji haramu.
Mkuu, ukiitwa mahakamani kutoa ushahidi wa maneno yako upo tayari kuithibitishia mahakama?Kumbe unawajua eeh, biashara zao kubwa ni za magendo magendo kama pembe za ndovu ila wao hupenda kujichanganya na waafrika hata damu wanachanganya.
Acha mikwalaMkuu, ukiitwa mahakamani kutoa ushahidi wa maneno yako upo tayari kuithibitishia mahakama?
Hatuwezi kushangaa kwa crap hizi ulizoweka hapa-hilo jina lako linaonyesha wazi kuwa we ni 'mali toka bombay'
Eehh?? Hilooo, liangalie kwanza! Kwa mara nyingine tena, nimekuumbua jinsi ulivyo mwongo na mzushi mkubwa! Umezoea majibu ya mkato na kujifanya kila kitu wewe unajuwa. Nyambaaf!
Ukweli hubaki kuwa ukweli.
Leo tunalalamika wakati tunajijua wazi kabisa kuwa hata makazini hatuishi:
Kufiwa: Leo mjomba kesho anti, kesho kutwa bibi, mpaka wengine wanasahau leo sijui waseme wamefiwa na nani. Kuumwa, kwenda kunywa chai saa za ofisi, masababu kibaao.
Hatujui kuwajibika kabisa, kila kitu baadae, njoo kesho, leo hayupo kenda kuzika, ametoka kwenda kula, atarudi sasa hivi msubiri kidogo.
Nenda kwenye biashara za wahindi na waarabu, hukuti kitu kama hicho. Akiumwa anaumwa kweli, akifiwa kafiwa kweli. Halafu tunataka kushinda nao?
..hizo biashara za viungo na mabucha ni geresha tu, lakini most of them made their money thr' uwindaji haramu.
<br />are they (localpetroleum companies owned by arabs) doing clean business??
Nawe FF upunguze u-majinuun siku mojamoja-Sasa kama hawa jamaa hawatulanguli kwa nini kakaako nepi na chama chake walikuja na proposal ya kushusha bei? na walipopandisha mafuta ya taa kwa kisingizio cha kuwa awa jamaa zako wa kihindi wanachakachua huo pia si ulanguzi? Acha bibi, kwa kuwa wewe ndo ushasema kwako hapo lumumba (possibly makao makuu ya chama) ukiwa busy kutetea huo ujuha wa chama chako lakini kwa sisi tunaokaa madongo poromoka mafuta+uchakachuaji is a big issue! Hawa ni walanguzi tu tena wabaya kabisa. Just imagine wamekuwa majeuri hata kufikia kuipa serikali ultimatum ya 24 hours! Kweli, serikali iliyowekwa na dola yenye jeshi, polisi,jkt, mgambo,TISS inapewa ultimatum na kijitu kimoja tu? Nimeililia sana tzania yangu siku ile kauli ilipotolewa!
Kama kawa badala ya kujibu hoja umekimbilia ubaguzi......atleast I have balls kuandika jina langu.....wewe Zinedine ni jina la babu yako I doubt more likely Karumanzira.......dont be shy bout ur name dude........Nipinge kwa hoja.....sio kwa rangi.......Ndio maana nchi haiendelei......unajenga hoja huijaifanyia mada research.........l feel sorry for you Zinedine......mmhhh sorry KArumanzira......
Haya unayosema Faizafoxy ni kweli kwasababu nimekulia maeneo hayo na hiyo bucha ya akina Bahashwan karibu na Naaz hotel pale nyuma ya iliyokua Odeon Cinema ilikuwa ni bucha pekee upande wa kaskazini mashariki mwa barabara ya morogoro pale uhindini.
Jina la duka ni Bahashwan.
Huyo Abdallah Bahashwan alianzisha duka la viungo kwenye barabara Morogoro karibu na mtaa wa mshihiri lilikuwa ni duka pekee uhindini la kuuza viongo/mafuta/nafaka kwa bei ya chee sana. Kawaida maduka haya ya viungo yalikuwa kariakoo tuu, kuanzia mtaa wa pemba au hata mkunguni au ule mtaa wa ukami pale karibu na msikiti wa Manyema na new street (Lumumba) moja kwa moja ukielekea kusini magharibi ya Dar mpaka msimbazi hapo palikuwa na msururu wa viduka vya warabu na wahindi koko (wale walio changanya damu na waafrika).
Waarabu wa zamani hapa Tanzania walikuwa na biashara za maduka ya rejareja, karibu yote Dar.
Wamepand kidogo kidogo mpaka sasa wana hayo makampuni makubwa makubwa, sasa wewe unataka uanze kukimbia hata kutambaa hujaanza?
Wachaga ni mfano mzuri wa biashara (wana ila moja tu, ambayo waarabu hawana), wanaanza kibanda cha sigara, mara viwili, mara vitatu, mara wanaenda Dubai mara wanashindana na AM.
<br />
<br />
NOPE! I DONT THINK SO, HAO HASWA WAHINDI NI WAKWEPA KODI WAKUU, WANAPENDA SANA MAGUMASH NA NJIA ZA PANYA! NADHANI NDO MANA HATA WESE NI FULL KUCHAKACHULIWA LOOOL
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34907&stc=1" attachmentid="34907" alt="" id="vbattach_34907" class="previewthumb" /><br />
<br />
..nimepita kule michuzi blog nikashtuka kuona picha ya waagizaji wa mafuta nchini.<br />
<br />
..jamani sijawahi kuona ktk nchi yoyote ile wananchi wake wakiwa under-represented kiasi hiki.<br />
<br />
..kwanini hakuna Watanzania halisi ktk biashara hii?<br />
<br />
..hivi serikali imeridhika na hali ilivyo kwamba biashara hii iwe monopoly ya Wahindi na Waarabu tu?<br />
<br />
..call me mbaguzi or whatever you want, but we need to AFRICANIZE this business without any delay or excuses.