Waafrika Tuna Bongo Ndogo?

Kuna hili jambo ambalo limekuwa linanisumbua kila mara:

Nimekuwa nikiwaza sana na mwisho nikafikia hitimisho kwamba Mungu aliwapendelea WAZUNGU sana, akawapa AKILI NYINGI wao, na uwezo wa kufikiri MKUBWA NA MPANA, KULIKO SISI WAAFRIKA, ndio maana wamefika huko waliko kimaendeleo na mfumo wa maisha kijumla!

Hata tukilaumu kwamba walitununua kama bidhaa enzi za biashara ya utumwa, bado hoja hiyo haifuti hoja ya msingi kwamba wana AKILI nyingi zaidi, maana walinunua watumwa baada ya kugundua kwamba KAZI zimewazidi, na wanahitaji wafanyakazi zaidi kwenye mashamba na viwanda!

Mbona sisi hatukuwa wa kwanza kuwachukua wao kama watumwa, na kuwaleta huku Africa? Tulikuwa wapi? - basi mimi nasema , ni kwasababu tuna akili kidogo , au akili yetu IMEPELEA, kulinganisha na wao.
Nawasilisha, nikiomba mitizamo yenu.

Lakini kweli ni wabunifu, mpaka wameibua 'papuchi' za kishoga..!!!! na sasa mdume anaweza kumtokea mdume mwenzake...!!!! duh...!!! IQ yao ni infinity.
 
Sasa Bongolander, ubovu wa system ya huku, si ndo yote imejumuishwa na kuonekana kwamba tuna upungufu wa Bongo Kidogo?

Nina uhakika hata wewe ungepewa nafasi ya u`kigogo usingefanya tofauti sana na waliopo sasa, coz, like father like son!

Au unasemaje mzee?

Mzee hapa sipingani na wewe hata kidogo, ndio maana nasema tuna system ya kutuvuruga na kujivuruga, hatufikirii kama nchi tunafikiria mmoja mmoja.
 
Average IQ ya wa tz ni ndogo ila sio individual IQs

Kuna watz wana akili sana and they are exceptional

Solution ya hili tatizo la average IQ ni ku promote interbreeding ya jamii mbali mbali.Nature will sort itself out and bring balance
Kupromote kwa vipi broda?
Tanzania ni moja ya nchi zenye freedom ya interbreeding ya uhakika kabisa duniani, unlike nchi zingine ambazo kuna restriction za ukabila etc!
Wachina walipokuja kujenga reli ya uhuru miaka ya 72 huko walizaa sana sehemu zote ilimopita reli hiyo.Ukienda maeneo ya Makambako, Pwani na Morogoro unakutana na wababa kibao wenye rangi ya kichina, lakini ni mazuzu tu!
Vivyo hivyo naamini huko kwenye migodi yetu kuna wanawake kibao wanaopewa watoto na wazungu, je hii interbreeding bado haitoshi?
Wale Maprofesa wetu wanaobaka, kuwa'Kapuya na kugawa mimba huko mitaani, bado hawahamishi genes za akili zikaleta kauwiano japo kadogo na sisi tukapaa kuanzia enzi hizo?
Labda ufafanue vema hoja yako mkubwa!
 
Kupromote kwa vipi broda?
Tanzania ni moja ya nchi zenye freedom ya interbreeding ya uhakika kabisa duniani, unlike nchi zingine ambazo kuna restriction za ukabila etc!
Wachina walipokuja kujenga reli ya uhuru miaka ya 72 huko walizaa sana sehemu zote ilimopita reli hiyo.Ukienda maeneo ya Makambako, Pwani na Morogoro unakutana na wababa kibao wenye rangi ya kichina, lakini ni mazuzu tu!
Vivyo hivyo naamini huko kwenye migodi yetu kuna wanawake kibao wanaopewa watoto na wazungu, je hii interbreeding bado haitoshi?
Wale Maprofesa wetu wanaobaka, kuwa'Kapuya na kugawa mimba huko mitaani, bado hawahamishi genes za akili zikaleta kauwiano japo kadogo na sisi tukapaa kuanzia enzi hizo?
Labda ufafanue vema hoja yako mkubwa!

Mkuu Taifa letu ndo kwanza limefikisha miaka hamsini juzi.Hatujavuka hata karne.

Interbreeding inahitajika ya muda mrefu itayo span generartions.Mfano nchi kama China imeanza ku exist as a state tangu enzi za ma dynasties huko miaka BC.Wame interbreed vya kutosha

Kuondoa ukabila ilikuwa moja wapo ya steps za ku promote interbreeding. Tunahitaji jitihada zaidi
 
Sasa akili zitatoka wapi wakati tuko kwenye udaku, bao, gahawa, mbege ukiongeza lishe duni, watu wanawaza buku ya kula maisha inakuwa hivyo hadi uzeeni. Ili kuwa na akili ni lazima uwe na uwezo wa kufikiri sawasawa. Hamna njia nyingine.
 
Hebu nami nichangie kwa kweli mwenyezi Mungu ametuumba wote sawa tunapozidiana ni IQ. Waafrika IQ iko chini kwa wengi kwa kazi za kufagia ndio wanaweza na simple task kama hizo inabidi umueleweshe mara kumi yaani kila wakati waulizeni hata wanaofanya kazi na wazungu inawachukua miezi mingapi kuelewa kitu? Don't get me wrong kuna mengi tunaweza kama kukimbia baada ya kuiba kudanganya we are good at it pia tuna waalimu wazuri tu lakini hata kama tunatoka baadhi ya watu na kuwa katika ngazi za juu bado punctuality hakuna atachelewa kazi ataondoka mapema kazi hamalizi kwa ufupi akili ya mwafrika haimtumi kubuni na kujiendeleza. Kwa kumaliza we are smart but lazy
 
Akili ya mzungu na mwafrica zipo sawa ila tatizo tunazitumiaje hizo akili ? Wakati wazungu wakitumia muda mwingi kufanya tafiti mbalimbali ili kuifanya dunia iwe sehem bora zaid kuishi huku mwafrica ye Yuko busy na ngono na srarehe
 
wapo wenye uwezo ila si wengi kama tunavyofikiri, wengi wao ni wa kawaida kabisa..katika kila jamii kuna kizazi cha asilimia 5 ambacho kina watu wenye akili na vipaji vya kipekee, pia waafrika wenye akili nyingi wapo , lakini kama umepata nafasi ya kuwa na hawa mabwana hawapendi kumuona mweusi anayewazidi uwezo, wanachukia haswa...
 
Akili ya mzungu na mwafrica zipo sawa ila tatizo tunazitumiaje hizo akili ? Wakati wazungu wakitumia muda mwingi kufanya tafiti mbalimbali ili kuifanya dunia iwe sehem bora zaid kuishi huku mwafrica ye Yuko busy na ngono na srarehe

Sasa ndio umeandika nini? Kama uwezo wa kufikiri uko sawa kwa nini huyu awaze ngono na mwingine awaze Kujisomea?

 
Sasa ndio umeandika nini? Kama uwezo wa kufikiri uko sawa kwa nini huyu awaze ngono na mwingine awaze Kujisomea?


mkuu tatizo cyo akili tatizo ni matumiz ina maana km mwafrica akitumia muda mwingi kufanya tafiti anaweza kugundua vitu vya maana
 
kila binadamu ana akili hakuna mwenye uwezo wa kuweza kumpita mwingine
inategemea na msingi alioupata hapo mwanzo

watu husema kuwa chakula bora unachoweza kumpa mtoto akiwa mchanga
ni maziwa fleshi aya mama ambayo yanavirutubisho tosha kwa ukuaji wa mfumo
wa ubongo wake
na wengine wanasema kuwa chakula kikuu cha mtoto ni kumlisha chakula chenye
lishe bora yani DONA linafaa kukuza na kujenga uwezo wa ufahamu mzuri pindi
awapo mdogo ila sijui kama ni kweli haya

Kuna hili jambo ambalo limekuwa linanisumbua kila mara:

Nimekuwa nikiwaza sana na mwisho nikafikia hitimisho kwamba Mungu aliwapendelea WAZUNGU sana, akawapa AKILI NYINGI wao, na uwezo wa kufikiri MKUBWA NA MPANA, KULIKO SISI WAAFRIKA, ndio maana wamefika huko waliko kimaendeleo na mfumo wa maisha kijumla!

Hata tukilaumu kwamba walitununua kama bidhaa enzi za biashara ya utumwa, bado hoja hiyo haifuti hoja ya msingi kwamba wana AKILI nyingi zaidi, maana walinunua watumwa baada ya kugundua kwamba KAZI zimewazidi, na wanahitaji wafanyakazi zaidi kwenye mashamba na viwanda!

Mbona sisi hatukuwa wa kwanza kuwachukua wao kama watumwa, na kuwaleta huku Africa? Tulikuwa wapi? - basi mimi nasema , ni kwasababu tuna akili kidogo , au akili yetu IMEPELEA, kulinganisha na wao.
Nawasilisha, nikiomba mitizamo yenu.
 
mkuu tatizo cyo akili tatizo ni matumiz ina maana km mwafrica akitumia muda mwingi kufanya tafiti anaweza kugundua vitu vya maana

Sasa kwa nini hatutumii huo Muda? Kumbuka kama tungekuwa na akili ina maana tungeweza kuona umuhimu kufanya hivyo kuboresha maisha yetu, lkn maadamu hatufanyi ina maana hatuoni wanachoona wenzetu na hapo ndipo IQ inapokuja, ni rahisi kihivyo tu
 
Wakati unajiuliza hilo na kujiona kilaza wengine wanafikiria wafanye nini kujiendeleza. Unaona tofauti hiyo?
Utakua kilaza kweli
 
Ukitaka kujua mtu mweusi noma angalia ricky rose ana utajir usiozid $100m lakin juz kanunua nyumba ya vyumba 20,tajir wa facebook ana utajir wa. Zaid ya$30billion lakin anakaa nyumba simple ya vyumba vitatu afu ajiiti richforever km uyu mtegemea mziki sehemu kubwa ya maisha yake!,kwel black People ni nouma

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kuna hili jambo ambalo limekuwa linanisumbua kila mara:

Nimekuwa nikiwaza sana na mwisho nikafikia hitimisho kwamba Mungu aliwapendelea WAZUNGU sana, akawapa AKILI NYINGI wao, na uwezo wa kufikiri MKUBWA NA MPANA, KULIKO SISI WAAFRIKA, ndio maana wamefika huko waliko kimaendeleo na mfumo wa maisha kijumla!

Hata tukilaumu kwamba walitununua kama bidhaa enzi za biashara ya utumwa, bado hoja hiyo haifuti hoja ya msingi kwamba wana AKILI nyingi zaidi, maana walinunua watumwa baada ya kugundua kwamba KAZI zimewazidi, na wanahitaji wafanyakazi zaidi kwenye mashamba na viwanda!

Mbona sisi hatukuwa wa kwanza kuwachukua wao kama watumwa, na kuwaleta huku Africa? Tulikuwa wapi? - basi mimi nasema , ni kwasababu tuna akili kidogo , au akili yetu IMEPELEA, kulinganisha na wao.
Nawasilisha, nikiomba mitizamo yenu.

Ni hoja muhimu kuielewa cha ajabu ni kwamba duniani mwenye akili kubwa kuliko wote sio tena huyo mzungu aliyetutangulia mbali kwa maendeleo bali asian wenye asili ya mongolian ndie mwenye IQ kubwa duniani.
 
Kama waling'oa koki basi kumbe wana akili, maana hata hao wazungu wakifika hapa tz siku za mwanzo tu huaga wanang'oa dhahabu, almasi, faru, kahawa, n.k. kwa mikataba feki ilioanza tangia enzi za akina Kimweri.

kwani iyo mikataba fake wanafanya wenyewe?
wanaokubali ndo akili hamna.
 
Back
Top Bottom