Waafrika Tuna Bongo Ndogo?

Ujue kwamba waafrica akili zao ni pungufu angalia viongozi wetu. Wako tayari mamilion ya watu wafe ili wao wabaki madarakani. huu ni ufinyu wa akili.

angalia wanasiasa wetu hawana hata akili ya kufikiria maendeleo ya watu wao. Wanachojali ni matumbo yao. Hivi ndivyo waafrica walivyo.
 
Ukitaka uone kama nyani ngabu ana akili au hana akili mpeleke US, atahaha miaka miwili mitatu ataji-adjust ku-survive na ku-thrive. Ukitaka kuona hana akili mlete bongo, sababu unazijua. Ambako systems zimevurugwa na kuoza, ambako profesa hana maana lakini wababaishaji wanamaana kweli, ambako mwalimu na dakati ni kama ombaomba na mwanasiasa tapeli ana maana na heshima kubwa, ambap member wa opposition anayetetea taifa hana akili na aliyemadarakani mwizi anapewa na ulinzi juu na heshima, ambako ukifanya kazi kwa nguvu jasho lako anakula mwingine, kuishi kwa akili kwenye mazingira kama hayo ni kutumia vibaya akili, au kuzitumia kubmoa to the fullest. Huku ndiko mpini ulikoungua na jembe likabaki.
 
Hata kama tuna akili sawa lakini fact is wao wame tumia zao kuliko sisi. Kuwa na ubongo na kuto utumia hauona faida yoyote. That's what separates a "could be" and a "already is". It's time we lived up to our potential badala ya kujiona "sleeping giants" kila siku. We need to wake up from our slumber.
Sasa nakubaliana na hoja ya kutotumia akili tulizonazo, ni changamoto kubwa kwa waafrika wengi japo wachache wanafanya hivyo.
 
Ukitaka uone kama nyani ngabu ana akili au hana akili mpeleke US, atahaha miaka miwili mitatu ataji-adjust ku-survive na ku-thrive. Ukitaka kuona hana akili mlete bongo, sababu unazijua. Ambako systems zimevurugwa na kuoza, ambako profesa hana maana lakini wababaishaji wanamaana kweli, ambako mwalimu na dakati ni kama ombaomba na mwanasiasa tapeli ana maana na heshima kubwa, ambap member wa opposition anayetetea taifa hana akili na aliyemadarakani mwizi anapewa na ulinzi juu na heshima, ambako ukifanya kazi kwa nguvu jasho lako anakula mwingine, kuishi kwa akili kwenye mazingira kama hayo ni kutumia vibaya akili, au kuzitumia kubmoa to the fullest. Huku ndiko mpini ulikoungua na jembe likabaki.
Nimekukubali Bongolander, wewe unatafakarinami. Huo ndio ukweli yani uliobaada ya ukweli kabisa.
 
Ukitaka uone kama nyani ngabu ana akili au hana akili mpeleke US, atahaha miaka miwili mitatu ataji-adjust ku-survive na ku-thrive. Ukitaka kuona hana akili mlete bongo, sababu unazijua. Ambako systems zimevurugwa na kuoza, ambako profesa hana maana lakini wababaishaji wanamaana kweli, ambako mwalimu na dakati ni kama ombaomba na mwanasiasa tapeli ana maana na heshima kubwa, ambap member wa opposition anayetetea taifa hana akili na aliyemadarakani mwizi anapewa na ulinzi juu na heshima, ambako ukifanya kazi kwa nguvu jasho lako anakula mwingine, kuishi kwa akili kwenye mazingira kama hayo ni kutumia vibaya akili, au kuzitumia kubmoa to the fullest. Huku ndiko mpini ulikoungua na jembe likabaki.

Uko sahihi kabisa mkuu
 
Ukitaka uone kama nyani ngabu ana akili au hana akili mpeleke US, atahaha miaka miwili mitatu ataji-adjust ku-survive na ku-thrive. Ukitaka kuona hana akili mlete bongo, sababu unazijua. Ambako systems zimevurugwa na kuoza, ambako profesa hana maana lakini wababaishaji wanamaana kweli, ambako mwalimu na dakati ni kama ombaomba na mwanasiasa tapeli ana maana na heshima kubwa, ambap member wa opposition anayetetea taifa hana akili na aliyemadarakani mwizi anapewa na ulinzi juu na heshima, ambako ukifanya kazi kwa nguvu jasho lako anakula mwingine, kuishi kwa akili kwenye mazingira kama hayo ni kutumia vibaya akili, au kuzitumia kubmoa to the fullest. Huku ndiko mpini ulikoungua na jembe likabaki.

Sasa Bongolander, ubovu wa system ya huku, si ndo yote imejumuishwa na kuonekana kwamba tuna upungufu wa Bongo Kidogo?

Nina uhakika hata wewe ungepewa nafasi ya u`kigogo usingefanya tofauti sana na waliopo sasa, coz, like father like son!

Au unasemaje mzee?
 
Sasa kama sisi tuna akili kama wao kwa nini wao wakaja wakatuacha kwa mbali?
Halafu huyo Rodney mzushi flani tu hivi. Kwanza hakuwepo kwenye hiyo karne ya 16. Yeye ana mtazamo wa ki Afrocentric na ktk kujitutumua ili asionekane hamnazo ndo akaja na hizo simulizi za eti viwango vya maendeleo vya Afrika vilikuwa sawa na vya Ulaya wakati huo. Give me a long break! I'm not buying that cow manure.
Mkuu, kupitana ni jambo la kawaida sana. Kumbuka kwa mfano hivi majuzi tu USSR (sasa Russia) ilikuwa bega kwa bega kimaendeleo na Marekani. Lakini Urusi imeachwa na Marekani majuzi tu tena si zaidi ya miaka 20 iliyopita. Ni kawaida kuachana.

Wazungu na waafrika tulikuwa sambamba kimaendeleo. Kumbuka himaya za Oyo, Mali, Mwanamtapa, nk. Watu walikuwa wanafua chuma na kutengeneza vitu mbalimbali. Kulikuwa na viwanda vya nguo, nk. Sasa hayo si maendeleo?

Wazungu walituzidi walipoanza kusafiri kuja kwetu na kwenda nchi za mbali. Ndo wakaja na utumwa na kuvuruga maendeleo yetu moja kwa moja.

Natetea kwamba akili tunazo. Shida yetu hatuna mipango madhubuti na nia ya kusimamia tunakotaka kwenda.
 
Narejea."Tuna AKILI PUNGUFU kuliko wazungu!"
Umenivunja mbavu kwa huu msisitizo! Nimecheka sina hamu. Duh! Humu JF kuna watu. Ukija wakati mwingine unapunguza msongo na tension maana jamaa wanavogangamalia hoja. Hakika inafurahisha. Haya mkuu!
 
inawezekana kweli waafrika hatuna akili mfano mzuri profu kufagilia utamaduni wa lugha ya watu wengine na kuacha ya kwake! kazi tunayo
 
Waafrika ndivyo walivyo……ni kweli

Ili kutatua tatizo kwanza waafrika tulitambue tatizo ni nini?
 
Ujue kwamba waafrica akili zao ni pungufu angalia viongozi wetu. Wako tayari mamilion ya watu wafe ili wao wabaki madarakani. huu ni ufinyu wa akili.

angalia wanasiasa wetu hawana hata akili ya kufikiria maendeleo ya watu wao. Wanachojali ni matumbo yao. Hivi ndivyo waafrica walivyo.
Haya ni matumizi mabaya ya akili si kukosa akili. Akili zipo ila wanazitumia ovyo: kibinafsi, na kinyume na maadili.
 
tatizo lenu watanzania maduka ya vitabu ni sawa kituo cha polisi....
mmewahi kusoma kitabu cha Dr Bundara Malima Eng?
460%3E_632244.jpg


Msikilizeni hapo chini

PodOmatic Player
 
Mie nadhani tuna akili vizuri sana, tatizo letu hatujui kutumia akili zetu. Mie naona hatuna utundu wa kukaa na kufikiri kudiscover vitu mbali mbali. Watu wote waliovumbua vitu mie nadhani walikuwa na utundu fulani + akili, ndio maana walifanikiwa. Akili tunazo sana cha msingi tuwake up, na tujifunge mkanda.
 
I think the problem is not we are or we are not intelligent..the problem is how do we encourage the best brains to prevail and do good to our society..as we speak and most african governments people are not concerned on which idea or priority should prevail but they caught in individualism, partysm, tribalism and the likes..so i would say tht our problem is not lack of intelligence but rather lack of use of intelligence...
 
Ukitaka uone kama nyani ngabu ana akili au hana akili mpeleke US, atahaha miaka miwili mitatu ataji-adjust ku-survive na ku-thrive. Ukitaka kuona hana akili mlete bongo, sababu unazijua. Ambako systems zimevurugwa na kuoza, ambako profesa hana maana lakini wababaishaji wanamaana kweli, ambako mwalimu na dakati ni kama ombaomba na mwanasiasa tapeli ana maana na heshima kubwa, ambap member wa opposition anayetetea taifa hana akili na aliyemadarakani mwizi anapewa na ulinzi juu na heshima, ambako ukifanya kazi kwa nguvu jasho lako anakula mwingine, kuishi kwa akili kwenye mazingira kama hayo ni kutumia vibaya akili, au kuzitumia kubmoa to the fullest. Huku ndiko mpini ulikoungua na jembe likabaki.

Uchumi mzuri huongozwa na soko huru.

Hao maprofesa, walimu, madaktari, na wasomi wengine wanatakiwa wazalishe ili waweze kuleta maendeleo ya kiuchumi.

Tatizo letu watanzania hatuzalishi, na kama hatuzalishi tunategemea maisha mazuri yatoke kwenye ruzuku ya nani?

Pili, Waafrika bado tuko nyuma sana. Katika karne hii tuliyonayo bado asilimia kubwa ya waafrika inategemea habari za kusikia na wala si za kujisomea wao wenyewe. Kana kwamba haitoshi wasomi wetu hushika vitabu pale tu wanapotaka kufanya mitihani. Aidha wasomi hao wengi hawafanyi tafiti zinazolenga kutatua matatizo ya waafrika bali hufanya tafiti kutokana na vile wanaofadhili hizo tafiti wanataka.

Halafu tunalalamika hatuendelei.
 
Nini maana ya Akili? wewe uliondika hoja hii ukijibu hilo nitakujibu swali lako.

popo;529169

Kwa jinsi nijuavyo mimi, AKILI ni uwezo wa kupambanua mambo barabara.
Lakini, for the purpose of this article, AKILI inachukua mkondo wa juu zaidi, kwa maana kwamba sio ile tu kuwa na common sense!
Ni uwezo wa juu kabisa wa kufikiri, kufanya utafiti na ugunduzi na ku`implement matokeo ya utafiti na nadharia, ili nadharia hiyo ionekane kwa macho, kama chombo, au sera ya kufanyia kazi!
Kwa ufupi ni hivyo kwa mijibu wangu.
 
Mkuu, kupitana ni jambo la kawaida sana. Kumbuka kwa mfano hivi majuzi tu USSR (sasa Russia) ilikuwa bega kwa bega kimaendeleo na Marekani. Lakini Urusi imeachwa na Marekani majuzi tu tena si zaidi ya miaka 20 iliyopita. Ni kawaida kuachana.

Wazungu na waafrika tulikuwa sambamba kimaendeleo. Kumbuka himaya za Oyo, Mali, Mwanamtapa, nk. Watu walikuwa wanafua chuma na kutengeneza vitu mbalimbali. Kulikuwa na viwanda vya nguo, nk. Sasa hayo si maendeleo?

Wazungu walituzidi walipoanza kusafiri kuja kwetu na kwenda nchi za mbali. Ndo wakaja na utumwa na kuvuruga maendeleo yetu moja kwa moja.

Natetea kwamba akili tunazo. Shida yetu hatuna mipango madhubuti na nia ya kusimamia tunakotaka kwenda.
Hili nalo haliwezi kuwa tatizo la kiakili?
 
Hili nalo haliwezi kuwa tatizo la kiakili?

Nakuunga mikono FM.
Hilo pia ni tatizo la akili. Kukosa Mipango ni shida kubwa, maana hutajua unakoenda.
Bado nasisitiza, WAAFRIKA TUNA UPUNGUFU WA AKILIukilinganisha na wazungu! ...ndio ukweli..
 
Back
Top Bottom