bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,141
- 2,020
Wabongo kama mojawapo ya Waafrika tumekuwa na tabia mbaya sana ya kujibeza: kwamba hatuna akili, kwamba tuna rasilimali nyingi lakini bado masikini. Ndugu zangu kiuhalisia Haya mawazo ya kujilaumu hayana mashiko yoyote kwani kama ni Rasilimali basi Warussi walibidi wawe matajiri kweli kweli - na ukitizama wao ni weupe.
Sasa kama Russia ni masikini wa kutupwa mimi naona hakuna haja ya kuwasimanga Wakongo kwamba wana rasilimali nyingi lakini bado masikini. ukiangalia nchi zinazoongoza kwa GDP Russia anashika nafasi ambayo hastahili kabisa, hivi India, France, germany wanamzidi vipi mrusi na ukiangalia mrusi nchi umetulia wala hakuna vita kama Congo.
Kwa hiyo Mambo nchi ni tajiri au ni maskini hizo ni kurda na mwenyezi Mungu wala tusisutane. Basi ndo hayo wandugu nipo zangu kwenye kigoda nakunywa zangu uji wa blueband.
ndevu kakosa ng'ombe lakini mbuzi kapewa.
Sasa kama Russia ni masikini wa kutupwa mimi naona hakuna haja ya kuwasimanga Wakongo kwamba wana rasilimali nyingi lakini bado masikini. ukiangalia nchi zinazoongoza kwa GDP Russia anashika nafasi ambayo hastahili kabisa, hivi India, France, germany wanamzidi vipi mrusi na ukiangalia mrusi nchi umetulia wala hakuna vita kama Congo.
Kwa hiyo Mambo nchi ni tajiri au ni maskini hizo ni kurda na mwenyezi Mungu wala tusisutane. Basi ndo hayo wandugu nipo zangu kwenye kigoda nakunywa zangu uji wa blueband.
ndevu kakosa ng'ombe lakini mbuzi kapewa.