Ebwana Bob mifano yako hai huwa naizimia kichizi! Huo wa sinia la pilau siku ya Maulidi kali..!!
Eniwei...huu mjadala hauwezi kuisha. Every now and then lazima mtu aunzishe...
Hii ya microwave kuvumbuliwa na mbongo mi sijaisikia....umeto wapi hiyo?
Mzee Bob,
Shukrani mkuu, mimi ninaamini hiyo ni point ndogo lakini kubwa sana katika kuchangia mtataizo yetu ya uchumi Afrika, maana haiwezekani kuwa tuna viongozi wengi ambao ni ex-World bank, na IMF leaders, lakini wakisharudi Afrika tu basi wanabadilika na kuwa kama the locals,
Halafu na sisi wa-Afrika tumezidi sana siasa mpaka kwenye uchumi, nafikir hiyo ndio hasa one ishu ya downside ya Mwalimu, na mpkak leo hatuja-recover bado!
Mzee Es,
Mwalimu skills za uchumi- yeye kwanza hakuwa mwanauchumi.
Ila uwezo wake kuwaweka watu pamoja- kama taifa (Nation Building) is unqustionable-makabila 122, wakristo na waislam! Nadhani wakati ule we needed Mwal. ila alihitaji Waziri Mkuu Mchumi. Kwa uwezo wake ndo maana mambo kama ukabila, udini Tz ni kidogo ukilinganisha na nchi zingine. Angalia Kenya Kenyata alijenga kweli uchumi- ila hakufaulu sana kujenga utaifa kama Tz. Pia Nyerere uwezo wake kuweka watu pamoja siyo tu kwa Tanzania, hata EA, na SADC na hata South South!
Sasa ilibidi hawa wengine baada ya Nyerere wajenge uchumi- maana tushakuwa wamoja by 1985!
Lakini kwa upande mwingine sisi sote hatuna utaalamu wa kila kitu so kiongozi bora sio lazima awe na skills za ki-uchumi, kama Mwl hakuwa na hizo skills hata Kenyata Sifikiri kwamba alikuwa Mchumi. Tatizo la Nyerere alizidiwa na Mapambano, he had to many things to fight for at that time, na kiu yake kubwa ilikuwa liberation struggles so hata hao wachumi wakimwambia usipeleke huko asinge wasikiliza , ndio hapo ubishi wake ulianza, maana to him liberation struggle ndio ilikuwa his first priority at that time, pili sabotage kama wayo fanyiwa cuba na Amerika ktk uchumi, Na Nyerere hakutaka kugeuka jiwe, au kumpigia Magoti mtu, hasa wa Magharibi. So Nyerere uchumi ulivyo yumba alijua, so immidiate solution ilikuwa ni wote kuchangia ktk hizo deficit, ambazo wengine hawa kukubaliana nae, ndipo ilipozuka Rushwa kubwa na madhila mengine kwa walio kuwa na nafasi.
Aliamini Msuya kwa kuwa alisomea uchumi ange kuwa waziri mkuu Bora, kwa hiyo sioni kwamba alikuwa anawabeza wachumi au kukata ushauri wao
Wazee naomba kuuliza swali, hawa kina Balali na mkewe walikuwa kwenye mashirika ya pesa ya kimataifa na waka-perfom perfectly na hatujkusikia negativity, sasa wakishaingia tu serikalini bongo basi tunaanza kusikia noma, je nayo ni low IQ au elimu ndogo?
Just curious?