Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Kwenye maelezo yako umesema Mungu ndiye aliyemtuma Yesu kristo, na yesu anamitume yeke ambao huubili injili, na nyinyi katika kuomba huwa mnatumia jina la Yesu kristo.
Naomba nikuulize
Kunatofauti gani kati ya Mungu na Yesu?
Hakuna tofauti ni nafasi tu za utendaji.
Mtu mmoja anao uwezo wa kujigawa akafanya Kazi nyingi mfano mfano nne .John ni Mwalimu, ni dereva, ni mkulima ni mfanyabiashara hapa hakumaanishi John wapo wanne. John ni jina na anafanya Kazi zote au ana taaluma nne. Hapa ndo inakuja hoja ya Utatu Mtakatifu.