Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Hawa watoto siku nyingine washindanishwe vifua wazi tuone nani ni msichana. maana naona wote wazee. Ni mtazamo tu.
Sikujua kama kifua ni kipimo cha uzee!!........hebu wajuzi mtufafanulie
Hawa watoto siku nyingine washindanishwe vifua wazi tuone nani ni msichana. maana naona wote wazee. Ni mtazamo tu.
hivi sidiria haziruhusiwi kwenye ulimbwende?
kwani yalikuwa ni mashindano ya nini haya?
kuna sidiria za aina nyingi kwa nguo tofauti.uadimu wake unasababisha bei kuwa juu.ungewaona hao watoto wanavyohangaika kujiazimia nguo na mawigi ya mashindano ungewaonea huruma.ndo maana wengine wanakuwa desperate kurudisha gharama hadi wanafanya mambo yasiyofaa!
naona vibandiko vya miss sinza.kwani yalikuwa ni mashindano ya nini haya?
wanataka kuonyesha kuwa mewata haijatumika.hivi sidiria haziruhusiwi kwenye ulimbwende?
yule wa nne amevaa sidiria!hivi sidiria haziruhusiwi kwenye ulimbwende?
ofcourse wao wanajua ni vibinti tena visivyo na watoto lakini ukiwafwatilia hawa wana watoto vijijini kwao hapohivi sidiria haziruhusiwi kwenye ulimbwende?
kwani yalikuwa ni mashindano ya nini haya?