Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Ahahahahaaah!!!lloooool huyo wapili utadhani samaki anakaangwa meno ypte 32 nje lool tabasamu la kichina la uongo
Ahahahahaaah!!!lloooool huyo wapili utadhani samaki anakaangwa meno ypte 32 nje lool tabasamu la kichina la uongo
Mara nyingi wauza mavazi, vipodozi na hata mawigi hutumia fursa hizi ( BSS,Miss Tz etc) kuwavalisha ili wajitangaze bidhaa zao.Hii inaelezea kwanini hawawezi kupiga darts na mapunguzo mengine ili ziwatoshe vilivyo.
SIPENDI mnavyowazalilisha watu wa uwanja wa fisi kama kwamba huko wanaishi fisi tuuuuuuuuuu!tabasamu ovyoo hafu warembo wenyewe ovyoo utadhani walichukuliwa uwanja wa fisi chek huyo wa kwanza kifua wahuni walishakipiga flat, sijui nani alimdanganya avae hako ka nguo sijui ni over size? manake mavikwapa lol,hya mashindano yanaandaliwa na kina nani? ovyooooo!!!!!!