Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
yap mkuu!nilikaa lumumba east!kitende nadhani kilikuja baada ya si kuondoka au kilipewa jina hilo baadaye!
Kitende kilianza baada ya ce kuingia miaka ya 2001-2003 na kilitwa ivo baada ya 2nd masta kuwa na mapnz nacho na kuwa anaenda nacho kwake na wengine kudai alikua akikitumia mpaka nyumban kwake!